Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Ziara yake iwe yenye mafanikio kwa watanzania haswa kwenye mahusiano ya kibiashara,
Rwanda ni ndugu zetu hivyo lazima ushirikiano wetu uwe wa vitendo ili pande zote ziweze kunufaika vilivyo.
 

Raisi SSH kapata mwaliko kutoka kwa Raisi Kagame,Nahisi ni maswala ya usalama nchi katika
maziwa makuu,hasa machafuko ya mara kwa mara katika DRC mji wa Goma.
Kumbuka Tanzania ina majeshi yake pale DRC

Jambo jingine ni makubaliano ya SGR Reli ya kati kuelekea Rwanda lakini sidhani Rwanda ina uwezo wa kujenga kipande hicho bila kupata msaada wa wafadhili.

Na labda jingine ni msimamo wa nchi hizo mbili kuhusu matumizi ya mto Nile.

Mwisho ni jinsi ya kupambana na Covid-19.
 
Raisi SSH kapata mwaliko kutoka kwa Raisi Kagame,Nahisi ni maswala ya usalama nchi katika
maziwa makuu,hasa machafuko ya mara kwa mara katika DRC mji wa Goma.
Kumbuka Tanzania ina majeshi yake pale DRC

Jambo jingine ni makubaliano ya SGR Reli ya kati kuelekea Rwanda lakini sidhani Rwanda ina uwezo wa kujenga kipande hicho bila kupata msaada wa wafadhili.

Na labda jingine ni msimamo wa nchi hizo mbili kuhusu matumizi ya mto Nile.

Mwisho ni jinsi ya kupambana na Covid-19.
Kwahio wewe zile story za SGR tunaijenga kwa pesa zetu za ndani unazikubali?
 
Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji

Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.

Anae okota almasi barabarani sio sawa na anaeichimba mgodini.
 
Una hoja ya msingi sana hapa mkuu... Ni kweli ilibidi atembelewe lakini ndo kwanza kodi ya hiari inatumika bila tija!!!! Kwa mfano apo kwa Kagame kuna issue gani yenye faida kwetu kwa tz mpaka afunge safari... Wakati mwamba hata kuja kwa msiba hakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
M7 na yule rais wa Burundi wao walikuja msibani?
 
Anaenda kupata short course
Nimetoka kusikiliza remarks za rais akiwa rwanda nikajiuliza hivi kuna utamaduni wa kabla rais hajaapiswa Tz labda anaapiswa kwanza kuwa mnafikina kusema uongo. Ndiyo kesho aapishwe rasmi maana samia anaongopa hadharani kuwa Tanzania kuna amani na utulivu baina ya wanainchi na serikali nimesikitika sana.
 
Nimetoka kusikiliza remarks za rais akiwa rwanda nikajiuliza hivi kuna utamaduni wa kabla rais hajaapiswa Tz labda anaapiswa kwanza kuwa mnafikina kusema uongo. Ndiyo kesho aapishwe rasmi maana samia anaongopa hadharani kuwa Tanzania kuna amani na utulivu baina ya wanainchi na serikali nimesikitika sana.
😄😄😄 Sasa mkuu ulitaka asemaje?
 
Kaenda kuchota ujuzi wa kuua upinzani nchini!!Rwanda hakuna chochote cha maana cha sisi kupata zaidi ya mbinu za kidikteta!!!ZIARA HAINA AFYA KWA USTAWI WA NCHI YETU!!!NOTE THIS COMMENT!!!
Tutaanza kuokota watu kwenye sandarusi kule Coco Beach
 
Kagame akili kubwa huwenda siku moja akatutawala

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Unaloongea ni sahihi kabisa. Kagame yule marekani ni mlezi wake si umeona ametoka uganda kaenda kuchukua rwanda hajabanduka hadi leo na angalia alivyoiharibu congo hadi leo mashariki ya congo hakukaliki yeye na masela wenzake wanazoa rasilimali anajenga rwanda kama ulaya bongo haiifikii. Sasa subirini mkizubaa tu kutengeneza katiba mpya nchi itakuwa ya kupelekeshwa kama ilivyo sasa mkianza kupigana tu wanazama kuanza kuzoa rasilimali wazi wazi huku mnaangali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom