Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,675
- 59,778
Leo saa tatu usiku kutakuwa na hotuba ya Mh. Rais Samia. Hotuba ya kufunga mwaka
Yanga watakuwa wanacheza. Ngoja anipime ubavu na akina pacomeLeo saa tatu usiku kutakuwa na hotuba ya Mh. Rais Samia. Hotuba ya kufunga mwaka
View attachment 2858531
Ndio maana itarushwa muda huo wengi tukiwa makanisaniSidhani kama hiyo hotuba ina mvuto kwa wasikikilizaji waliopoteza imani na matumaini, na pia kukata tamaa.
Ni kundi la watu wachache sana katika jamii bila shaka ndiyo wataifuatilia.
Hataki wengi wafuatilie maana hakuna point zaidi ya mipashoNdio maana itarushwa muda huo wengi tukiwa makanisani
kwaniniSidhani kama hiyo hotuba ina mvuto kwa wasikikilizaji waliopoteza imani na matumaini, na pia kukata tamaa.
Ni kundi la watu wachache sana katika jamii bila shaka ndiyo wataifuatilia.
Na wengine muda huu tuko busy kuangalia mechi ya Yanga dhidi ya Jamhuri. Na ni kipindi cha pili hiki tunaongoza 5-0.Ndio maana itarushwa muda huo wengi tukiwa makanisani
Mkuu umewai sanaAmesemaje mama yenu.? Mm nlkuwa busy na mpira
Ukiona wako kimya kuja kutoa mrejesho, basi ujue tu hakuna jipya alilo ongea.Amesemaje mama yenu.? Mm nlkuwa busy na mpira