Rais Samia kuhutubia ulimwengu kupitia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Septemba 23, 2021

the horse

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
652
441
RAIS SAMIA KUHUTUBIA ULIMWENGU KUPITIA BARANa Bwanku M Bwanku.

Mabibi na Mabwana, kesho Alhamisi Septemba 23, 2021 Mwanamke wa shoka Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia ulimwengu kupitia Mkutano Mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN) Jijini New York, Marekani. Rais Samia atahutubia Baraza hilo lenye Wakuu wa nchi, Serikali na Wakubwa wote wa dunia baada ya kupita miaka 6 bila Mkuu wa nchi ya Tanzania kuhudhuria Baraza hilo muhimu sana kwa uchumi, uwekezaji, biashara na maendeleo ya Taifa letu.

Kitendo tu cha Rais Samia ambaye ametajwa na Jarida la Avance Media la nchini Ghana kuwa moja ya Wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa barani Afrika na dunia kwa ujumla kushiriki Mkutano huo kunamuwezesha kukutana na Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa dunia, Wakuu wa taasisi kubwa za kifedha ulimwenguni kama Benki ya Dunia (WB), Shirika la Biashara duniani (WTO) na wengine wengi na moja kwa moja kuwezesha kushusha uwekezaji mkubwa wa biashara na utalii nchini ambao utatoa ajira kwa Watanzania na kuimarisha uchumi wetu maradufu. Nani Kama Mama Samia?

0657475347

IMG-20210922-WA0055.jpg


IMG-20210922-WA0044.jpg
 
RAIS SAMIA KUHUTUBIA ULIMWENGU KUPITIA BARANa Bwanku M Bwanku.

Mabibi na Mabwana, kesho Alhamisi Septemba 23, 2021 Mwanamke wa shoka Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia ulimwengu kupitia Mkutano Mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN) Jijini New York, Marekani. Rais Samia atahutubia Baraza hilo lenye Wakuu wa nchi, Serikali na Wakubwa wote wa dunia baada ya kupita miaka 6 bila Mkuu wa nchi ya Tanzania kuhudhuria Baraza hilo muhimu sana kwa uchumi, uwekezaji, biashara na maendeleo ya Taifa letu.

Kitendo tu cha Rais Samia ambaye ametajwa na Jarida la Avance Media la nchini Ghana kuwa moja ya Wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa barani Afrika na dunia kwa ujumla kushiriki Mkutano huo kunamuwezesha kukutana na Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa dunia, Wakuu wa taasisi kubwa za kifedha ulimwenguni kama Benki ya Dunia (WB), Shirika la Biashara duniani (WTO) na wengine wengi na moja kwa moja kuwezesha kushusha uwekezaji mkubwa wa biashara na utalii nchini ambao utatoa ajira kwa Watanzania na kuimarisha uchumi wetu maradufu. Nani Kama Mama Samia?

0657475347

View attachment 1948864

View attachment 1948865
Hujasema muda wa kuhutubia ulimwengu

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Rais Samia anajisikiaje kuhutubia Baraza hilo, wakati kiongozi mkuu wa upinzani nchini, Freeman Mbowe, yuko ndani hivi sasa, kwa zaidi ya miezi miwili, kwa kesi ya kubambika ya ugaidi??
Una uhakika gani kuwa kabambikiwa? Acheni kuichezea sheria kwa siasa zenu cheap!! Kama ni hivyo basi Sabaya naye ana haki ya kusema kabambikiwa, na kila mtu sasa akishtakiwa atakuwa anasema kabambikiwa!! Itakuwa nchi ya ajabu sana kila mtu akishtakiwa atangaze kabambikiwa!! mnachoshindwa kusubiri maamuzi ya mahakama ni nini?? Miezi 2 tu mnapiga mayowe kama majuha, Ruge aliyekaa miaka 4 naye asemeje??
 
Rais wa Zambia amepeata mapokezi ya heshima kutokana na kusimamia demokrasia nchini mwake.

Rais aliyechaguliwa na wapiga kura halali kupitia uchaguzi uliokuwa wa haki na huru hapo tarehe 12 August 2021 kupitia sanduku la kura awa kivutio.

Ni rais tofauti na wale waliochaguliwa kupitia uchaguzi usiyo haki na huru, na hivyo kubebwa na wahesabu kura / washindilia kura zisizo halali sandukuni bila kushinda Uchaguzi :

22 Sept 2021
🇿🇲 Zambia - President Addresses United Nations General Debate, 76th Session (English) | #UNGA



Hakainde Hichilema, President of the Republic of Zambia, addresses the general debate of the 76th Session of the General Assembly of the UN (New York, 21-27September 2021). The UN General Assembly (UNGA) is the main policy-making organ of the Organization. Comprising all Member States, it provides a unique forum for multilateral discussion of the full spectrum of international issues covered by the Charter of the United Nations. Each of the 193 Member States of the United Nations has an equal vote. The United Nations is an international organization founded in 1945. Currently made up of 193 Member States, the UN and its work are guided by the purposes and principles contained in its founding Charter. The UN has evolved over the years to keep pace with a rapidly changing world. But one thing has stayed the same: it remains the one place on Earth where all the world’s nations can gather together, discuss common problems, and find shared solutions that benefit all of humanity.
Source : United Nations
 
RAIS SAMIA KUHUTUBIA ULIMWENGU KUPITIA BARANa Bwanku M Bwanku.

Mabibi na Mabwana, kesho Alhamisi Septemba 23, 2021 Mwanamke wa shoka Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia ulimwengu kupitia Mkutano Mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN) Jijini New York, Marekani. Rais Samia atahutubia Baraza hilo lenye Wakuu wa nchi, Serikali na Wakubwa wote wa dunia baada ya kupita miaka 6 bila Mkuu wa nchi ya Tanzania kuhudhuria Baraza hilo muhimu sana kwa uchumi, uwekezaji, biashara na maendeleo ya Taifa letu.

Kitendo tu cha Rais Samia ambaye ametajwa na Jarida la Avance Media la nchini Ghana kuwa moja ya Wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa barani Afrika na dunia kwa ujumla kushiriki Mkutano huo kunamuwezesha kukutana na Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa dunia, Wakuu wa taasisi kubwa za kifedha ulimwenguni kama Benki ya Dunia (WB), Shirika la Biashara duniani (WTO) na wengine wengi na moja kwa moja kuwezesha kushusha uwekezaji mkubwa wa biashara na utalii nchini ambao utatoa ajira kwa Watanzania na kuimarisha uchumi wetu maradufu. Nani Kama Mama Samia?

0657475347

View attachment 1948864

View attachment 1948865
Tupe muda (SAA ngapi) kwa E.A.G.T.mkuu .Tumtazame Rais wetu akihitubia.
 
Awamu ya tano tulikuwa na Rais wa hovyo kabisa,aliigeuza nchi kuwa kama serikali ya mtaa, sasa kwa kweli tuna Rais wa kujivunia, ndani na nje ya nchi, sio yule aliyekuwa anazunguka anakula mahindi mabarabarani
 
22 September 2021

DEMOKRASIA NA UHURU WA HABARI TANZANIA

Aliyekuwa mgombea wa urais Tundu Antipas Lissu na wenzie wa kutoka vyombo vya sekta ya habari wafutiwa mashtaka na DPP nchini Tanzania.

Kesi namba 208 ya mwaka 2016 ni miongoni ya kesi nyingi zilizofungiliwa kimkakati na serikali ya CCM ili kuhakikisha zinadhoofisha upinzani, asasi za kiraia na vyombo huru vya habari kuelekea chaguzi za mwaka 2020.

 
HOTUBA YA RAIS BIDEN MKUTANO WA BARAZA KUU UN...NEW YORK



Hii ni Hotuba ya Rais wa Marekani Joe Biden kwenye mkutano wa bazara kuu la la umoja wa mataifa.

Rais Joe Biden awashukia vikali watawala wenye ndoto za kuua demokrasia na kujaribu kunyamazisha sauti nyingi za kudai haki zao za kimsingi za kibinadamu .. kwa visingizio mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa Covid-19 na hali mbaya ya kiuchumi...

Rais Joe Biden ameuhakikishia ulimwengu kupitia hotuba yake ya kwanza mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lenye nchi wanachama 153 kuwa Marekani itasimama na wanyonge wasio na nguvu wanaogandamizwa na utawala wa kimabavu uliopo Venezuela, Syria, Burma na nchi zingine.
 
RAIS SAMIA KUHUTUBIA ULIMWENGU KUPITIA BARANa Bwanku M Bwanku.

Mabibi na Mabwana, kesho Alhamisi Septemba 23, 2021 Mwanamke wa shoka Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia ulimwengu kupitia Mkutano Mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN) Jijini New York, Marekani. Rais Samia atahutubia Baraza hilo lenye Wakuu wa nchi, Serikali na Wakubwa wote wa dunia baada ya kupita miaka 6 bila Mkuu wa nchi ya Tanzania kuhudhuria Baraza hilo muhimu sana kwa uchumi, uwekezaji, biashara na maendeleo ya Taifa letu.

Kitendo tu cha Rais Samia ambaye ametajwa na Jarida la Avance Media la nchini Ghana kuwa moja ya Wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa barani Afrika na dunia kwa ujumla kushiriki Mkutano huo kunamuwezesha kukutana na Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa dunia, Wakuu wa taasisi kubwa za kifedha ulimwenguni kama Benki ya Dunia (WB), Shirika la Biashara duniani (WTO) na wengine wengi na moja kwa moja kuwezesha kushusha uwekezaji mkubwa wa biashara na utalii nchini ambao utatoa ajira kwa Watanzania na kuimarisha uchumi wetu maradufu. Nani Kama Mama Samia?

0657475347

View attachment 1948864

View attachment 1948865
Twende sawa kwanza anahutubia ulimwengu au dunia, mtoa mada majibuuu
 
Mama anaenda kuaibika tu...

Sasa ishu za Demokrasia..Mauaji..kupotea kwa watu...kununua wapinzani...wapinzani gerezani..kupora mapesa ya watu benki....kuuwa bishara..Lissu kupigwa risasi...

Atayasemeaje hayo.
!??

Hatutaki kusikia mihabari ya COVID....
 
RAIS SAMIA KUHUTUBIA ULIMWENGU KUPITIA BARANa Bwanku M Bwanku.

Mabibi na Mabwana, kesho Alhamisi Septemba 23, 2021 Mwanamke wa shoka Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia ulimwengu kupitia Mkutano Mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN) Jijini New York, Marekani. Rais Samia atahutubia Baraza hilo lenye Wakuu wa nchi, Serikali na Wakubwa wote wa dunia baada ya kupita miaka 6 bila Mkuu wa nchi ya Tanzania kuhudhuria Baraza hilo muhimu sana kwa uchumi, uwekezaji, biashara na maendeleo ya Taifa letu.

Kitendo tu cha Rais Samia ambaye ametajwa na Jarida la Avance Media la nchini Ghana kuwa moja ya Wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa barani Afrika na dunia kwa ujumla kushiriki Mkutano huo kunamuwezesha kukutana na Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa dunia, Wakuu wa taasisi kubwa za kifedha ulimwenguni kama Benki ya Dunia (WB), Shirika la Biashara duniani (WTO) na wengine wengi na moja kwa moja kuwezesha kushusha uwekezaji mkubwa wa biashara na utalii nchini ambao utatoa ajira kwa Watanzania na kuimarisha uchumi wetu maradufu. Nani Kama Mama Samia?

0657475347

View attachment 1948864

View attachment 1948865
Katika hotiba yake hakutakuwa jipya zaidi ya uongo mwingi na mipasho maana mara nyingi hotuba zake huwa ni kichefu chetu kuzisikiliza
 
Hapo hakuna jipya, huwezi kwenda kuidanganya dunia wakati maisha mafupi ya utawala wake yanatia Shaka tunapokwenda.serikali ya awam ya 5 alikuwa makamu hivyo alishiriki Kila ovu lililofanywa na serikali ikiwemo kuteka,kutesa,kutapeli raia wake,kuuwa na kutupa maiti majini,kupiga watu risasi,kubambikiwa kesi.

Leo mama anakwenda kuiambia Nini dunia wakati nchini mwake watu wameparaganyika.kashiriki kumtengenezea mbowe kesi chafu ya kihuni isiyo na uungwana kwa raia wake.

Mama lazima aelewe kuwa familiya ya Mbowe ilijitoa kwa pesa,muda na nguvu na walivuja jasho wazazi kuwa kuhakikisha nchi inakuwa huru wakati yeye na wazazi wake wakiwa wamestarehe Zanzibar.

FREE FREEMAN MBOWE
 
Back
Top Bottom