ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,835
Kwa mwaka wa 2023 Rais Samia amezulu na kutembelea Jumla ya Mataifa 18 Duniani kote.
Kwenye ziara hizo ameinadi vyema diplomasia ya Uchumi na Diplomasia ya Tanzania ambapo Kupitia ziara zake hizo Nchi imenufaika katika nyanja mbalimbali kuanzia biashara, uchumi,Utalii, uwekezaji,Ajira,Elimu,masoko mapya nk.
COUNTRIES SAMIA VISITED IN 2023She attended global high-profile events in Switzerland, Senegal, Burundi, Ethiopia, South Africa x2, Namibia, Uganda, Nigeria, Malawi, Kenya, Qatar, India, Zambia, Rwanda, Angola, Morocco, Saudi Arabia. UAE
My Take
Kuna Nchi muhimu na za kimkakati Bado mama hajazifikia mfano Nchi za Scandinavia,Japan,Australia,Canada,DRC Congo,Korea Kusini,Brazil,Egypt na Algeria.
Ni matumaini yangu kwamba Mwaka 2024 atazifikia hizo Nchi hapo Juu.
Kwenye ziara hizo ameinadi vyema diplomasia ya Uchumi na Diplomasia ya Tanzania ambapo Kupitia ziara zake hizo Nchi imenufaika katika nyanja mbalimbali kuanzia biashara, uchumi,Utalii, uwekezaji,Ajira,Elimu,masoko mapya nk.
COUNTRIES SAMIA VISITED IN 2023She attended global high-profile events in Switzerland, Senegal, Burundi, Ethiopia, South Africa x2, Namibia, Uganda, Nigeria, Malawi, Kenya, Qatar, India, Zambia, Rwanda, Angola, Morocco, Saudi Arabia. UAE
My Take
Kuna Nchi muhimu na za kimkakati Bado mama hajazifikia mfano Nchi za Scandinavia,Japan,Australia,Canada,DRC Congo,Korea Kusini,Brazil,Egypt na Algeria.
Ni matumaini yangu kwamba Mwaka 2024 atazifikia hizo Nchi hapo Juu.