livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,937
- 5,558
Story za vijiweni
Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na watu,Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na baadhi ya watu
Mama atengeneze maadui wake mwenyewe,Msilazimishe kila adui wa JPM awe adui wa Samiah
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakama ndio inathibitisha wezi na siyo CAG
Watu mnafahamu maana ya Auditing?
Auditor hata malipo yakiwa halali ila tarehe ya malipo watu walisahau kuandika kwenye invoice ana ona kuna hatari ana ireport na kuandika kuna malipo hewa,Sasa typing error au kusahau ni mambo ya kawaida huko serikalini
Auditor hata muhuri ukikosekana kwenye document ya muhuri wa PAID ana report kuwa kuna issue? Sasa kusahu muhuri kugonga hata Bank wanasahau sembuse huko halmashauri ni kawaida watu kusahau kugonga mihuri
Ndio maana watu wanapewa muda kujibu hoja ,La sivyo utafunga wafanyakazi wote jela serikalini
Kuna maswali mengine aachiwe Internal auditor apambane nayo na siyo CAG
Tatizo kubwa hapa Tanzania ni elimu ...elimu...elimu
Watu wengi hawajui kazi ya ofisi ya CAG na hata maana ya report yake na mpaka kuna wabunge nao hawaelewi ,Elimu ni muhimu kuhusu Auditing na kazi ya CAG
Kaa kwa Kutulia , Mfa Maji hakosi kutapatapa, Magu hapa anakujaje !