Issa SLuu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 2,303
- 1,801
aisee,watu hawajielewi kabisaHayati hakusafiri watu wakasema tatizo ni kingereza huyu wa sasa anasafiri watu wanadai gharama ni nyingi wakati chanzo ni tozo!.
Mtanzania akiambiwa hajielewi anarusha ngumi.