Rais Samia jifunze kitu kutokana na kifo cha Raila Odinga

Rais Samia jifunze kitu kutokana na kifo cha Raila Odinga

Angalia upendo wa Raia wote (naweza kusema hivyo, wote) wanaouonesha kwa Raila!
Nadhani una kitu cha kujifunza na pia kwa watanzania wote.

TENDA HAKI, HAKI, HAKI utapendwa na kuombewa na wenye heri ya Mungu ndani yao na kila mmoja!

Rais wangu historia yako umeiandikaje mpaka sasa?
Mnachosahau kuwa Rais ni binadamu kama wewe na mimi. Sio roboti kwamba kila neno utakalomrushia akaushie tu. Wewe ukirushiwa maneno ya hovyo kila mara utakubali? Pia heshima ni kitu cha bure. Jinsi unavyoheshimu wakubwa huko kwenu jitahidi kumheshimu Rais yeye binafsi.
 
Angalia upendo wa Raia wote (naweza kusema hivyo, wote) wanaouonesha kwa Raila!
Nadhani una kitu cha kujifunza na pia kwa watanzania wote.

TENDA HAKI, HAKI, HAKI utapendwa na kuombewa na wenye heri ya Mungu ndani yao na kila mmoja!

Rais wangu historia yako umeiandikaje mpaka sasa?
Hivi unadhani huyo Raila alitenda mema sana?? Je umesahau mauaji baada ya uchaguzi wa 2007? Watu walichomwa kwenye kanisa?
 
Mama yuko vizurii
1000167205.jpg
 
Ajifunze? Hivi Hawa ccm kwanza wa kipindi hiki ..hii ccm mtandao wanaamini Kuna kufa? Hawa Wana uwezo hata wa kumpa Mungu rushwa ili wapewe uwezo wa kuishi milele waendelee kula raha na kufanya najis kwa nchi
 
Juzi nimekuta hii story ina trend X kutoka kwa akaunti ya Tanzania Leaks.

Inasema Rais Samia kampiga pini Jaji Joseph Sinde Warioba nyumbani kwake, asiongee na waandishi wa habari.

Nikasema hawa watu wa familia ya Warioba nawajua muda mrefu, najua wengine hawapendi maongezi ya siasa, lakini hili ni jambo muhimu.

Nikamtafuta mtu mmoja wa ndani kabisa kwenye familia, nikamuuliza vipi hii habari?

Akasema hakuna kitu hapo, huu ni uzushi tu.

Jamani wanaharakati kama mnataka kumsema Samia ana mambo lukuki ya kweli ya kumsema, kumzushia uongo kunaondoa kuaminika kwenu tu.

View attachment 3490274
Mkuu unafikiri yote mabaya yote anayosemwa Nyerere huwa kayafanya? Au mabaya yote anayosemwa kikwete unafikiri kayafanya? Mabaya anayosemwa magufuli unafikiri yote kayafanya?

Hata mazuri unayoyasikia kuhusu kikwete, magufuli au samia sio kuwa yote ni ya jweli

Kwene mitandao kuna watu wa kila aina. Huyo mwenye hiyo page hata hajulikani ni nani, anaandika tu anachoamua. Hata huku pia mtu anaweza kuandika lolote
 
Angalia upendo wa Raia wote (naweza kusema hivyo, wote) wanaouonesha kwa Raila!
Nadhani una kitu cha kujifunza na pia kwa watanzania wote.

TENDA HAKI, HAKI, HAKI utapendwa na kuombewa na wenye heri ya Mungu ndani yao na kila mmoja!

Rais wangu historia yako umeiandikaje mpaka sasa?
Chura.kixiwi
 
Back
Top Bottom