Rais Samia itisha Press, ongea na Taifa kutuliza hali ya hewa

Rais Samia itisha Press, ongea na Taifa kutuliza hali ya hewa

Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe. Walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate. Usipofuata, ni hiari yako pia.
  1. Itisha press, uongee na Taifa. Inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya, wewe upo kimya? Safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. Kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa, usisite. Kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo, fanya. Jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before it's too late for you.
  2. Batilisha ufugwaji wa makanisa. Watu wanakuona wewe kama Rais Muislam, unafanya hivyo kwa sababu una udini. Wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida. Hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga, siku ipite kuokoa legacy yako. Fungua uhuru wa kuabudu.
  3. Issue ya Tundu Lissu itakugarimu sana. Elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano. Kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. Kama adhabu TL umeshampa, inatosha. Dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake. Shida nini, kwani?
  4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa, na kuteka na kuua watu. CHADEMA hata wangesema no reform, no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.
  5. Au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda. Hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako. Wamekushauri tu vibaya. Zaidi sana wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.
  6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu. Watu watabadilika mioyo. Wazungu wakisababisha maandamano tu, watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani magumu kutokana na vikwazo. Wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. Hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. Hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.
  7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata), umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa gharama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka Ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha. Kijifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa. Tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.
  8. Anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako. Anakupoteza. Hata kama una jeshi, polisi, TISS n.k., wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa, hawaogopi. Pia, wazungu wakikuamlia, it will be too late for you. Nakushauri kwa nia njema kabisa.
  9. Mwisho, nakuomba: fungua makanisa, ni doa kubwa kako. Hao kina Mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni Wakristo. Huwa tunawaona ni wapiga dili tu, hata wao wanajijua. Fungua makanisa watu wasali. Futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho. Fukuza au badilisha washauri wako. Ukipenda, peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike. Utanishukuru. Mungu akusaidie.
 
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe. Walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate. Usipofuata, ni hiari yako pia.
  1. Itisha press, uongee na Taifa. Inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya, wewe upo kimya? Safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. Kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa, usisite. Kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo, fanya. Jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before it's too late for you.
  2. Batilisha ufugwaji wa makanisa. Watu wanakuona wewe kama Rais Muislam, unafanya hivyo kwa sababu una udini. Wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida. Hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga, siku ipite kuokoa legacy yako. Fungua uhuru wa kuabudu.
  3. Issue ya Tundu Lissu itakugarimu sana. Elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano. Kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. Kama adhabu TL umeshampa, inatosha. Dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake. Shida nini, kwani?
  4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa, na kuteka na kuua watu. CHADEMA hata wangesema no reform, no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.
  5. Au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda. Hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako. Wamekushauri tu vibaya. Zaidi sana wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.
  6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu. Watu watabadilika mioyo. Wazungu wakisababisha maandamano tu, watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani magumu kutokana na vikwazo. Wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. Hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. Hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.
  7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata), umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa gharama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka Ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha. Kijifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa. Tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.
  8. Anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako. Anakupoteza. Hata kama una jeshi, polisi, TISS n.k., wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa, hawaogopi. Pia, wazungu wakikuamlia, it will be too late for you. Nakushauri kwa nia njema kabisa.
  9. Mwisho, nakuomba: fungua makanisa, ni doa kubwa kako. Hao kina Mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni Wakristo. Huwa tunawaona ni wapiga dili tu, hata wao wanajijua. Fungua makanisa watu wasali. Futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho. Fukuza au badilisha washauri wako. Ukipenda, peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike. Utanishukuru. Mungu akusaidie.


SASA SAMIA UNADHANI ATAONGEA NINI?
 
Mwisho, nakuomba: fungua makanisa, ni doa kubwa kako. Hao kina Mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni Wakristo. Huwa tunawaona ni wapiga dili tu, hata wao wanajijua. Fungua makanisa watu wasali.
Ndio.
 
Hakuna haja hiyo

Hali ya hewe ambayo ni hewa ya mitandaoni

Mitaani na vijijini kuko shwari watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida

Wanaosali ambao lengo lao ni kuabu
du Mungu tu sio kitu kinginr wanaendelea kusali kama kawaida bila kubughudhiwa na yeyote wakiendelea kutimiza haki yao ya kuabudu


Wewe ni mwongo mkubwa. Ukienda maeneo ya vijijini, tena kwenye makundi ya wanaCCM, ukiongea na watu 10, ukawapata hata watu 2 wanaomsema positively, una bahati sana. Tena hata katikati ya wanaCCM, jina lake linatajwa kwa ubaya.
 
akili zako zitakuwa kwenye masaubri kama hadi leo hii hadi watanzania wasio na akili wanajua nani anauwa watu, wewe unajifanya hujui. kifo na kikufuate ili pengine ndugu zako wajue kweli wauwaji wapo. usifikiri upo salama sana, wakimaliza wanaowatafuta watakuja kwako hata kama unashirikiana nao au uanwashabikia watakujia tu. na kama wewe ni mmoja wa hilo genge, damu za watu mlizomwaga hazitaishia kwako tu, zitaenda hadi kwa watoto wenu hadi kizazi cha nne.
Nenda Sudan Kusini uone watu wanavyopotezwa kila siku. Nenda DRC uone watu wanavyouwawa kila kukicha.

Nenda Marekani uone wingi wa kesi za mauaji ya miaka ya nyuma ambazo bado zipo wazi mpaka leo.

Punguzeni roho ya uoga mkiwa bado mnapumua. Kichekesho ni kwamba mnaolalamika mauaji na kupotezwa watu ndio wa kwanza kuja na kauli za 'kinuke', punguzeni roho za uoga.

Usinitishie kifo mkuu, leo asubuhi nimehudhuria misa ya kwanza hapa mbezi beach St Thomas More.
 
Ukiwa umeshika simu, vidole vyako vya kuchapa andiko na macho yako ndo yanaona hatari...

TUNDU LISU SI WA KUACHIWA, TUNDU LISSU SI KUACHIWA..
mahakama isimamie sheria kila mtu apate haki yake ya msingi kama ambavyo watanzania wengne wanapata haki zao mahakamani..

kupitia kukinukisha ni watanzania wangapi wangekufa?

kupitia uasi, ni watu wangapi wangekufa?

DPP peleka kesi mahakama kuu, kila upande upate haki yake..

NI AFADHALI KULA KIDOGO WAKATI WA AMANI KULIKO KUSHIBA SANA WAKATI WA VURUGU!
 
Hakuna haja hiyo

Hali ya hewe ambayo ni hewa ya mitandaoni

Mitaani na vijijini kuko shwari watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida

Wanaosali ambao lengo lao ni kuabu
du Mungu tu sio kitu kinginr wanaendelea kusali kama kawaida bila kubughudhiwa na yeyote wakiendelea kutimiza haki yao ya kuabudu
Huko vijijini muitikio wa "No Reform No Election" Umekuwa mkubwa zaidi?🤔
 
Labda mwingine akiongea hasa Makamu Rais, Waziri Mkuu ama Naibu Waziri Mkuu, walau watu wanaweza kwa mbali kuelewa na sio huyu wa mipasho yake, asiyejali maisha ya binadamu, anayedriki kusema kifo ni kifo na kuendelea kuligawa Taifa kwa misingi ya udini kwa kukandamiza uhuru wa kuabudu kwa upande mwingine kwa kisingizio cha amani ili hali haki haipo. Labda hiyo hutuba iwe kwa wanachama wa kijani tena wale wenye fikra mgando
 
Nenda Sudan Kusini uone watu wanavyopotezwa kila siku. Nenda DRC uone watu wanavyouwawa kila kukicha.

Nenda Marekani uone wingi wa kesi za mauaji ya miaka ya nyuma ambazo bado zipo wazi mpaka leo.

Punguzeni roho ya uoga mkiwa bado mnapumua. Kichekesho ni kwamba mnaolalamika mauaji na kupotezwa watu ndio wa kwanza kuja na kauli za 'kinuke', punguzeni roho za uoga.

Usinitishie kifo mkuu, leo asubuhi nimehudhuria misa ya kwanza hapa mbezi beach St Thomas More.
ndio naomba Mungu na wewe upotezwe ili mfanane na hao wasudan na nchi ulizotaja ila sisi wenzio tunatamani kuishi na tutaishi kwa Jina la Yesu. akili yako ni sawa na mtu anayesema nyumba ya jirani wanakunya sebuleni hivyo na wewe ukinya sebuleni sio ajabu. umejaa matope matupu kichwani.
 
Kwanza hakuna mahala mambo yanaenda vibaya zaidi ya hizi propaganda za Wapinzani na makundi ya wasaka uais ndani ya Chama chake ambayo ndio Yana engineer hizi propaganda yakitumia makanisa na kufadhili Wapinzani.

Pili,Rais hawezi leta reforms za kupoteza chama chake na pia hakuna Wana CCM watakubali hili unless wapige kura au wakubaliane ndani ya vikao kama wako tayari Kukaa pembeni.

Kama hawako tayari Kukaa pembeni basi hawezi lazimisha maana hapo ni hatari kwake kuliko kutumia mababu Kukaa kwenye kiti kama Mataifa mengi tuu ya viongozi wa Africa ambao hata wewe unajua.

Kwa mtizamo wangu wanaomyumbisha ni Watu wa Chama chake waliojipanga Kwa Urais na alishachelewa kufanya hisabati mapema basi anaweza ongoza transition wakiendelea wenyewe hutosikia tena stori za Mzanzibar kauza Tanganyika.

Nongwa ni Urais,jinsia na upande anaotokea mengine ni porojo zisizo na msingi.

Mama hakufahamu kwamba siasa ni propaganda na kwamba watu wa Tanzania Bara hawamchagui mtu Kwa kuangalia matokeo Bali Kwa vigezo vyao vusivyo na mashiko kama hivyo vya jinsia,dini,kutiana Wazalendo na trash zingine.Pia ni jamii ya watu wasahaulifu wanaenda Kwa matukio na hawajui walikotoka Wala wanakoenda na pengine hawajui wanachotaka,ndio maana usishangae watu kama kina Slowslow,Gwajiboy and the likes waliojenga na kushiriki mfumo wa ukatili awamu Ile eti Leo wanaitwa Wazalendo 😁😁

View: https://www.instagram.com/reel/DME2BMro1NG/?igsh=cWY4MmY2NG1lMzU5

Wangekuwa wanaangalia matokeo kwenye ground basi Samia ni best president kwenye delivery. Wajinga Wakiwa wengi ni hatari Wakiwa spinned umekwisha.

ngurumo atulie, yeye kama mkimbizi apatane na waongee lugha moja na mkimbizi mwenzie, manake wazungu washampa ukimbizi polepole na wanaona polepole ana faida kuliko ngurumo, akianza kuchafua mipango ya wazungu, yeye ngurumo watamrudisha bongo aje apambane na hali yake. mark my words.
 
WE JAMAA UKO NDANI KABISA..
KWENYE CHAMA
trust me, sijawahi kuwa mwanaccm tangu nizaliwe, ila naipenda sana Tanganyika, na nahofia maisha waliyoishi watanganyika kipindi cha magufuli kwasababu ya kugombana na wazungu, yanakuja hivi karibuni, yale maisha magumu, najaribu kumshauri pengine atabadilika ili tuendelee vyema.
 
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe. Walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate. Usipofuata, ni hiari yako pia.
  1. Itisha press, uongee na Taifa. Inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya, wewe upo kimya? Safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. Kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa, usisite. Kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo, fanya. Jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before it's too late for you.
  2. Batilisha ufugwaji wa makanisa. Watu wanakuona wewe kama Rais Muislam, unafanya hivyo kwa sababu una udini. Wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida. Hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga, siku ipite kuokoa legacy yako. Fungua uhuru wa kuabudu.
  3. Issue ya Tundu Lissu itakugarimu sana. Elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano. Kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. Kama adhabu TL umeshampa, inatosha. Dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake. Shida nini, kwani?
  4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa, na kuteka na kuua watu. CHADEMA hata wangesema no reform, no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.
  5. Au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda. Hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako. Wamekushauri tu vibaya. Zaidi sana wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.
  6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu. Watu watabadilika mioyo. Wazungu wakisababisha maandamano tu, watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani magumu kutokana na vikwazo. Wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. Hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. Hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.
  7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata), umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa gharama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka Ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha. Kijifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa. Tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.
  8. Anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako. Anakupoteza. Hata kama una jeshi, polisi, TISS n.k., wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa, hawaogopi. Pia, wazungu wakikuamlia, it will be too late for you. Nakushauri kwa nia njema kabisa.
  9. Mwisho, nakuomba: fungua makanisa, ni doa kubwa kako. Hao kina Mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni Wakristo. Huwa tunawaona ni wapiga dili tu, hata wao wanajijua. Fungua makanisa watu wasali. Futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho. Fukuza au badilisha washauri wako. Ukipenda, peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike. Utanishukuru. Mungu akusaidie.
Nakiri kulisoma andiko lako, nakupongeza, umeandika kwa moyo wa kizalendo sana, una mapenzi makubwa sana na nchi yako. Ni ushauri mzuri sana, bahati mbaya tu aliyeshauriwa kupitia taasisi anayoiongoza wanaweza wakaona ushauri huu kama uchafu na kuutuputilia mbali. Ungekuwa umeutoa kwa njia ya press kama akina Gwajima wangetafutwa wahuni kama akina Steve Mengere, Jerry Muro nk waje kuukejeri. Ila hongera
 
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe. Walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate. Usipofuata, ni hiari yako pia.
  1. Itisha press, uongee na Taifa. Inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya, wewe upo kimya? Safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. Kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa, usisite. Kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo, fanya. Jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before it's too late for you.
  2. Batilisha ufugwaji wa makanisa. Watu wanakuona wewe kama Rais Muislam, unafanya hivyo kwa sababu una udini. Wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida. Hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga, siku ipite kuokoa legacy yako. Fungua uhuru wa kuabudu.
  3. Issue ya Tundu Lissu itakugarimu sana. Elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano. Kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. Kama adhabu TL umeshampa, inatosha. Dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake. Shida nini, kwani?
  4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa, na kuteka na kuua watu. CHADEMA hata wangesema no reform, no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.
  5. Au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda. Hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako. Wamekushauri tu vibaya. Zaidi sana wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.
  6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu. Watu watabadilika mioyo. Wazungu wakisababisha maandamano tu, watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani magumu kutokana na vikwazo. Wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. Hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. Hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.
  7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata), umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa gharama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka Ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha. Kijifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa. Tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.
  8. Anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako. Anakupoteza. Hata kama una jeshi, polisi, TISS n.k., wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa, hawaogopi. Pia, wazungu wakikuamlia, it will be too late for you. Nakushauri kwa nia njema kabisa.
  9. Mwisho, nakuomba: fungua makanisa, ni doa kubwa kako. Hao kina Mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni Wakristo. Huwa tunawaona ni wapiga dili tu, hata wao wanajijua. Fungua makanisa watu wasali. Futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho. Fukuza au badilisha washauri wako. Ukipenda, peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike. Utanishukuru. Mungu akusaidie.
Umeshauli vizuri Sana mkuu.

Nimerudia mara nyingi kusoma huu USHAULI wako.
 
Back
Top Bottom