Labda aitishe press ya kwenye mitandao ya jamii maana ndiyo kuna hali mbaya. Otherwise wa Tz wako busy kupambana na fursa za kiuchumi.
Nimepita jana Vikindu, Mbagala, Temeke na Ilala wa Tz wanapigania maisha ya familia zao. Hiyo hatari unayoiona kwenye andiko lako ni ya kufikirika tu. Kwenye ground watu wanasubiri kutiki OKTOBA
Kwamba nyie mlitaka watu wasifanye kazi kisa kuna hali mbaya ya hewa, achana na hii ya hapa kwetu vp kule Sudan na DRC kwenye vita watu wamekaa tu wakisubiri vita viishe ndo waendelee na maisha sio?
Kipi kipimo cha kuwa raia hawajari kinachoendelea?
Endeleeni kumpa ushauri huo, inawezakana mnamtega kwa kuwa mnajua lijalo mnataka kumtoa kimkakati
Lkn kama mimi ningekuwa karibu yake nisingemshauri hivyo
Mtaani watu hawaelewi kabisa hii hali wamechoka, No reforms, No election imewaingia na nakuambia subiri uone mwitikio wa kwenda kupiga kura hiyo October kama watu watajitokeza kwa wingi huo
Raia ni kama walianza kumuelewa JPM, Mama alivyopiga U-turn watu walibaki kushangaa kulichowafanya CHADEMA kupata mwitikio wa uungwaji mkono na mpaka kupelekea kupata majimbo mengi sana ya ubunge 2015 ni ufisadi uliokuwa umekithili awamu ya nne, waliolalamikiwa awamu hiyo ndo hao hao wamerudishwa
Ukiongea na raia wanakuambia mbona hii serikali inafanya mambo ya awamu ya nne, wanahisi kuna namna awamu ya nne imerudi madarakani
Hali ni mbaya mkuu, na msije kumdanganya kabisa mama afanye reforms atashindwa vibaya mno, maana nyie ni kama mnamutegeshea bomu lije limlipue na mmempotosha sana Rais wetu maana alianza vizuri sana
Yote kwa yote sisi wote ni wa Mungu, tunapenda Rais wetu msimfanyie hivyo kwani hastahiri