Hali ya Hewa ya Leo ya Dar inashawishi sana.

Hali ya Hewa ya Leo ya Dar inashawishi sana.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
38,822
Reaction score
90,227
Habari za Sabato!

Kwa kweli hali ya hewa ya jiji la Chalamila inashawishi sana.
Nawasiliana na wanasheria wananiambia hapa kuwa leo ukifanya makosa sheria zitaangalia. Sasa sijajua kama ni kweli au laa. Maana hawa Wanasheria siku hizi wa ChatGPT wanaweza kukuingiza mkenge ukabaki unabung'aa.

Hali ya hewa inashawishi. Na nimeshawishika.

Hallelujah
 
IMG_20260617_190118_524~3.jpg
 
Habari za Sabato!

Kwa kweli hali ya hewa ya jiji la Chalamila inashawishi sana.
Nawasiliana na wanasheria wananiambia hapa kuwa leo ukifanya makosa sheria zitaangalia. Sasa sijajua kama ni kweli au laa. Maana hawa Wanasheria siku hizi wa ChatGPT wanaweza kukuingiza mkenge ukabaki unabung'aa.

Hali ya hewa inashawishi. Na nimeshawishika.

Hallelujah

kama ukipata wasaa. Na uko karibu na bahari. Basi Unaenda kufanya mazoez na kunyosha viungo.
au hata Jogging Mbili tatu barabarani.

Na kwasababu hali ya hewa inashawishi kuchangamsha mwili.
Basi wale wanaofanyaga mazoezi kwenye uwanja mdogo wa 6×6 wapige simu kuset mazingira na mwenza wao 😊😊😊😊.
 
kama ukipata wasaa. Na uko karibu na bahari. Basi Unaenda kufanya mazoez na kunyosha viungo.
au hata Jogging Mbili tatu barabarani.

Na kwasababu hali ya hewa inashawishi kuchangamsha mwili.
Basi wale wanaofanyaga mazoezi kwenye uwanja mdogo wa 6×6 wapige simu kuset mazingira na mwenza wao 😊😊😊😊.

Na haya manyunyu kukimbia barabarani ni uongo.
Wataalam wa hali ya hewa hawajashauri chochote siku ya jana?
 
Back
Top Bottom