Rais Samia hajui Idadi ya Wabunge wa Serikali yake

Rais Samia hajui Idadi ya Wabunge wa Serikali yake

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
2,116
Reaction score
3,495
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Novemba 18, 2025 akiwa katika hafla ya uapisho wa baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino Dodoma ameshindwa kujua idadi ya wabunge ambao wapo katika Serikali yake

 
Atajuaje wakati hakuchaguliwa na hata hao wengine hawakuchaguliwa.

Huyu muuaji anajua idadi ya watu waliouwawa tu.
 
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Novemba 18, 2025 akiwa katika hafla ya uapisho wa baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino Dodoma ameshindwa kujua idadi ya wabunge ambao wapo katika Serikali yake

Kazi yake siyo kuhesabu wabunge. Kazi ya wabunge ni Spika.

Katoliki ipo na wapumbavu wengi sana.
 
Ile Novema watu walikua wanaichukulia poa sana matokeo yake mpaka mtu aokote makopo ndio mtaelewq
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Novemba 18, 2025 akiwa katika hafla ya uapisho wa baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino Dodoma ameshindwa kujua idadi ya wabunge ambao wapo katika Serikali yake

 
Unamuitaje raisi huyu zimwi wa kizanzibar mzee?

Ana sifa gani za kuwa raisi huyu..!?

Kitendo tu cha kutojua idadi ya watu aliyewachagua yeye mwenyewe kwenda kugonga meza kule Dodoma, kinamnyima kabisa sifa ya uongozi wa aina yoyote ile, maana mpaka hapo anaonekana ana dementia.
 
Marehemu JPM nilimkubali sana kwenye takwimu ukimsiliza anavyoshusha hesabu mpaka unafurahi. Au Tundu lissu akionhea hata kama humjui unaogopa kama akitoa takwimu za majimbo ya.uchaguzi dhidi ya wapiga kura
 
Back
Top Bottom