Rais Samia akutanana Amina J. Mohammed Dodoma

Rais Samia akutanana Amina J. Mohammed Dodoma

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
709
Reaction score
634
LEO KATIKA KUMBUKUMBU


11 Septemba 2021: Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alikutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed, Ikulu Chamwino, Dodoma. Mazungumzo yalihusu ushirikiano wa UN na Tanzania, maendeleo endelevu, afya ya mama na mtoto, maji safi na salama, pamoja na kukabiliana na COVID-19.
IMG-20260911-WA0031.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom