Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
- Thread starter
- #21
Tupe ushahidi wa umiliki wa hivyo vitalu kwa huyo msoga!We kima, utalambaje asali wakati vitalu vyote ni mali ya msoga? Kwani shida ya Tanzania unaifahamu wewe?
Tatizo si kukosa watalii, bali mapato yake yanakwenda wapi?
Kama unasikiliza bunge mlilotaka liwe live, iko hivi MSD wanatumia sh 117m kununua dawa ambayo kwenye soko la dunia ni sh 32m tu.
Hata Tanzania tupate fedha kiasi, tutabaki maskini kwa kuwa matumizi hayana huruma na Watanzania.
Ndipo utaona Magufuli anathamani kubwa kiasi kwenye kupambana na hilo.
Tatizo unalolisema la Msd umeligundua baada ya huyo Samia kuweka mambo wazi na hadi aliposema wanatakiwa kufanya mabadiliko! Ndo mana akateua Mtendaji Mkuu mpya