alumelunda
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 745
- 903
Umesahau mawaziri waliapishwa nyumbani kwa JPM?Siku hizi barua za uteuzi zinasainiwa hotelini. Haya mama endelea kuupiga mwingi.
Umesahau mawaziri waliapishwa nyumbani kwa JPM?Siku hizi barua za uteuzi zinasainiwa hotelini. Haya mama endelea kuupiga mwingi.
Unamkumbuka Daudi Balali ?
Kusimamishwa sio shida inawezekana uchunguzi umefanyika ikabainika hakuhusika ,hongera sana Raymond Mungu akubarikiRaymond Mndolwa aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Operesheni za Mikoa pale NHC. Kumbukumbu zinaonyesha alisimamishwa kazi kwa tuhuma za ufisadi na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Mhe Lukuvi.
Sasa leo tunaona amepata uteuzi wa Rais. Je zile tuhuma zilikuwa ni malicious!?
Au alitaka ateuliwe baba yakeDuuh 😳🤣🤣
Mkuu si kwa povu hili usiku mkubwa....
Ok....twende taratibu...
Sasa ulitaka amteue nani hapo MSD?!!!!
Hapo anaenda kupiga pesa tuBongo mradi kunakucha.
Anapenda kuteua kama niniMama si yupo marekani?, huyu alifanya huu uteuzi ni nani??
CAG hatafuti sifa za kijinga kama unavyodai,bali anafanya kazi professionally kwa mujibu wa viwango vya kimataifa vya ukaguzi(International Standards of Auditing) hivyo kazi yake ni ku-Audit,Kutoa Taarifa na kutoa Reccomendation.Kwenye Report husika CAG karipoti kuwa Deni la MSD limefikia 382 Bln na akashauri lilipwe ili kulinda Mtaji wa MSD,hapo CAG kishafanya kazi yake,Utekelezaji(Implimentantion) inabaki kuwa Taasisi Husika Chini ya Serikali.Hsta hivyo,Kuidai serikali siyo Justification ya MSD kuvunja taratibu xa manunuzi ya Umma(Public Ptocutement) kama kulipa suppliers bila contracts, kununua madawa bila ku-involve PMU wala TenderBoard ya MSD,kununua dawa overseas za 17Bln kwa Mikataba ambayo haikufanyiwa vetting na AG?,n.k,ambavyo vimechangia kula kichwa cha Mjeshi Maj.General MhidzeCAG naye awe anaimulika serikali je ilipeleka msd pesa ya kununua dawa Kama ilivyopitishwa bajeti ya dawa bungeni? Sio unampima ili umdhalilishe ikiwa unaelewa serikali imepeleka pesa 40% na madeni ya nyuma kibao hujalipa alafu unataka matokeo yawe 100 kwa 100.
CAG nao huwa vilaza msiwashabikie muda wote Kuna baadhi ya maeneo hawasaidii nchi zaidi ya sifa za kijinga na mbwembwe kwenye ripoti zao
Nimekuelewa baadhi ya categories, nililenga lile kasambaza dawa 34% hii iko proportion na approved budget, je zilipelekwa fedha hizo za kununua dawa. Note: Kama una madeni kwa washitiri huwa nao ni wajanja ukimpa tenda nyingine anachukua anafanya partial delivery hadi ulipe lile . Hivyo mbinu jinsi ya kupata dawa zitumike. Maana ukitenda wanajitokeza hao hao wanakudai. Hivyo kuwe na ustaarabu wa serikali kulipa deni la msd na kutekeleza bajeti ya dawa Kama ilivyopitishwa bungeni na msd ilipe washitiri iliowakopaCAG hatafuti sifa za kijinga kama unavyodai,bali anafanya kazi professionally kwa mujibu wa viwango vya kimataifa vya ukaguzi(International Standards of Auditing) hivyo kazi yake ni ku-Audit,Kutoa Taarifa na kutoa Reccomendation.Kwenye Report husika CAG karipoti kuwa Deni la MSD limefikia 382 Bln na akashauri lilipwe ili kulinda Mtaji wa MSD,hapo CAG kishafanya kazi yake,Utekelezaji(Implimentantion) inabaki kuwa Taasisi Husika Chini ya Serikali.Hsta hivyo,Kuidai serikali siyo Justification ya MSD kuvunja taratibu xa manunuzi ya Umma(Public Ptocutement) kama kulipa suppliers bila contracts, kununua madawa bila ku-involve PMU wala TenderBoard ya MSD,kununua dawa overseas za 17Bln kwa Mikataba ambayo haikufanyiwa vetting na AG?,n.k,ambavyo vimechangia kula kichwa cha Mjeshi Maj.General Mhidze
View attachment 2188312
Ipo kila sababu hizi nafasi za juu wawe wanaomba badala ya teuzi zenye malengo ya maslahi binafsiAmemteua Rosemary William Slaa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bohari ya Dawa (MSD), Bi. Slaa ni Afisa Mwandamizi katika Kampuni ya Picenaterhouse Coopers PWC.
Amemteua Mavere Ali Tukai kuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Tukai ni Kiongozi Mkuu wa Mradi wa USAID Global Health Supply Chain Technical Assistance.
Amemteua Raymond William Mndolwa kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Mndolwa ni Mtaalam wa Operesheni, Kampuni ya STC Construction, Dar es Salaam
View attachment 2187838
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi jioni ya Aprili 14, 2022 kama ifuatavyo:
Amemteua Rosemary William Slaa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bohari ya Dawa (MSD), Bi. Slaa ni Afisa Mwandamizi katika Kampuni ya Picenaterhouse Coopers PWC.
Amemteua Mavere Ali Tukai kuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Tukai ni Kiongozi Mkuu wa Mradi wa USAID Global Health Supply Chain Technical Assistance.
Amemteua Raymond William Mndolwa kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Mndolwa ni Mtaalam wa Operesheni, Kampuni ya STC Construction, Dar es Salaam.
Taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus ni kuwa uteuzi huo unaanza mara moja.
View attachment 2187787
🤣🤣Au alitaka ateuliwe baba yake
Majungu si mtaji....Akiboronga tu tunamtoa, na badala yake anawekwa Miraji Kikwete. Hivi leo ni siku gani
Duuh 😳Wewe jamaa umesomea uchawa? Wewe ni kichwa wa uchawa na Hakika kazi ya uchawa unaitendea haki kabisa
Zama zimebadilika sana , hizi ni enzi za E government, , mtu anaweza kufanya mkutano na wakirugenzi kadhaa akiwa mbali kabisa na ofisi alimradi tu kuna internet.Siku hizi barua za uteuzi zinasainiwa hotelini. Haya mama endelea kuupiga mwingi.
Akitaka kufanikiwa wale wakurugenzi wote wa idara aombe kibali wapangiwe Kazi nyingne... Otherwise Bado atanyoshwa tu Kama mwenzake na watu wanaojiita wazoefu wa kazHuyu ndugu Mavere Tukai ni "kichwa" haswaa.....
Ni "pharmaceutical management specialist"....
Jamaa yuko FOCUSED na DETERMINED sana.....
Alikuwa pale USAID....wamarekani wanamfahamu kwa uwezo mkubwa alionao....watammiss sana.....
Imefika muda atutumikie katika MSD.....
Kila la heri kwake kamarada Mavere Tukai ,amen🙏
#Siempre JMT🙏
#YetzerHatov🙏