Rais Samia ameutendea haki Urais

Katiba mpya na tume huru hakuna rais atakayethubutu kuziunda. Hivi vitu hupiganiwa kwa jasho na damu. Siyo kwa kelele za mitandaoni.

Inabidi tuuane kwanza ndiyo vitapatikana.
Huu ndio ujinga mliolishwa na wapuuzi wa CCM na nyie mkaamini, katiba mpya na tume huru vyote vitapatikana na hakuna mtu atakufa Kwa kudai au kutoa maoni yake, CCM mkijaribu uharamia wenu wote mtaishia jela mwisho wa siku
 
Ukweli ni kwamba utawala mbovu na dhaifu kupata kutokea ndani ya Tanganyika wa kwanza ni awamu ya 4 ya JK kisha ikafuata hii ya Mama!.
Hata upambe namna gani ila huo ndo ukweli hata wao wanajua hivyo tena wanakushangaa.
Huu ni utawala bora kabisa katika miaka ya hivi karibuni.ndio maana unaona tunapiga hatua za kimaendeleo kwa kasi ya mshale
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Rais samia mama mchapa kazi,mzalendo wa kweli, nuru ya wanyonge, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini,chuma cha Reli,mama wa upendo ameutendea haki sana Urais. Viatu vya urais alivyo vaa vimemuenea , kumkaa vizuri sana na kumpendeza mama yetu.

Ndio maana tunaona kila sehemu amegusa ,kufika na kuweka mkono wake.ndio maana watanzania wana imani na matumaini makubwa sana na uongozi wa Rais samia,kwa kuwa ni uongozi ambao umeleta na kuinua matumaini ya ndoto ya kila mtanzania katika kufikia na kutimiza malengo yake.

Katika uongozi wa Rais samia ukifanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa lazima ufaidike na kupata matunda ya jasho lako. kila mtu ana nafasi sawa katika kufanikiwa.fursa zipo kwa kila aliye tayari kuzitumia. Rais samia ameshamaliza kazi ya kuweka mazingira wezeshi kwa watanzania wote kunufaika kwanza na fursa zilizopo nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Neno shujaa wa Afrika linatumika vibaya na limeanza kutumika awamu ya 5, kwa tanzania shujaa wa Africa ni nyerere tu, sina mengi ya kuongezea kasomeni historia
 
Tusisahau pia mama amefanya yafuatayo:-
(a) Ameongeza mishahara ya watumishi na kuwapandisha madaraka. Ikumbikwe dikteta alizuia kwa miaka 5.
(b) Ameondoa zuio batili la vyama siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara lililowekwa na dikteta.
(c) Aliruhusu chanjo ya korona iliyokuwa imekataliwa na dikteta.
(d) Ametoa ajira nyingi Sana kwa vijana na bado anaendelea. Dikteta hakuwahi kumuajiri hata kijana mmoja .
(e) Dikteta alijenga uadui kati ya wapinzani na ccm. Mama kaondoa chuki na uadui.
(f) Dikteta alipora fedha za wafanyabiashara wa fedha za kigeni, mama kawarudishia.
(g) Aliwaweka ndani wafanyabiashara na wapinzani kwa makosa ya kubambikiza, mama kawatoa wote .
(h) Dikteta aliunda kikosi cha wasiojulikana kwa lengo la kuua na kuteka wanaomkosoa . Mama kakifagilia mbali kikosi hicho.

Pamoja na mapungufu yake mengi lkn mama ni bora mara 1000 kwa yule dikteta.
Ni akili za kipumbavu tu kufananisha JPM na hangaya. Magufuli kama aligusa maslahi yako moja kwa moja una haki ya kumchukia ila kiuongozi huyo Bibi tozo hana uwezo wa kushindana nae hata kidogo. Samia anapendwa na nyinyi machawa wake tu na nyinyi mnampenda inawezekana kimaslahi na si uongozi bora, hakuna sehemu nyingine anapokubalika. Sasa we jifariji tu.
 
"....mama mchapa kazi, mzalendo wa kweli, nuru ya wanyonge, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, chuma cha reli,mama wa upendo...."
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Rais samia mama mchapa kazi,mzalendo wa kweli, nuru ya wanyonge, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini,chuma cha Reli,mama wa upendo ameutendea haki sana Urais. Viatu vya urais alivyo vaa vimemuenea , kumkaa vizuri sana na kumpendeza mama yetu.

Ndio maana tunaona kila sehemu amegusa ,kufika na kuweka mkono wake.ndio maana watanzania wana imani na matumaini makubwa sana na uongozi wa Rais samia,kwa kuwa ni uongozi ambao umeleta na kuinua matumaini ya ndoto ya kila mtanzania katika kufikia na kutimiza malengo yake.

Katika uongozi wa Rais samia ukifanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa lazima ufaidike na kupata matunda ya jasho lako. kila mtu ana nafasi sawa katika kufanikiwa.fursa zipo kwa kila aliye tayari kuzitumia. Rais samia ameshamaliza kazi ya kuweka mazingira wezeshi kwa watanzania wote kunufaika kwanza na fursa zilizopo nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Mhh! Nafikiri hata msifiwa akisoma uzi wako, ni dhahiri atatambua kuwa sifa hizo ni kutoka kwa chawa mchovu na asiyejitambua.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Rais samia mama mchapa kazi,mzalendo wa kweli, nuru ya wanyonge, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini,chuma cha Reli,mama wa upendo ameutendea haki sana Urais. Viatu vya urais alivyo vaa vimemuenea , kumkaa vizuri sana na kumpendeza mama yetu.

Ndio maana tunaona kila sehemu amegusa ,kufika na kuweka mkono wake.ndio maana watanzania wana imani na matumaini makubwa sana na uongozi wa Rais samia,kwa kuwa ni uongozi ambao umeleta na kuinua matumaini ya ndoto ya kila mtanzania katika kufikia na kutimiza malengo yake.

Katika uongozi wa Rais samia ukifanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa lazima ufaidike na kupata matunda ya jasho lako. kila mtu ana nafasi sawa katika kufanikiwa.fursa zipo kwa kila aliye tayari kuzitumia. Rais samia ameshamaliza kazi ya kuweka mazingira wezeshi kwa watanzania wote kunufaika kwanza na fursa zilizopo nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Huteuliwi ng'o hata unge dhikri uchi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Rais samia mama mchapa kazi,mzalendo wa kweli, nuru ya wanyonge, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini,chuma cha Reli,mama wa upendo ameutendea haki sana Urais. Viatu vya urais alivyo vaa vimemuenea , kumkaa vizuri sana na kumpendeza mama yetu.

Ndio maana tunaona kila sehemu amegusa ,kufika na kuweka mkono wake.ndio maana watanzania wana imani na matumaini makubwa sana na uongozi wa Rais samia,kwa kuwa ni uongozi ambao umeleta na kuinua matumaini ya ndoto ya kila mtanzania katika kufikia na kutimiza malengo yake.

Katika uongozi wa Rais samia ukifanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa lazima ufaidike na kupata matunda ya jasho lako. kila mtu ana nafasi sawa katika kufanikiwa.fursa zipo kwa kila aliye tayari kuzitumia. Rais samia ameshamaliza kazi ya kuweka mazingira wezeshi kwa watanzania wote kunufaika kwanza na fursa zilizopo nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hivi kulipwa kwako kwa uchawa unaona ni tija? Jifunze kujitegemea. Urais una kikomo. Utaishije akistaafu?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
CCM mkijaribu uharamia wenu wote mtaishia jela mwisho wa siku
Utawapekeka jela hao ccm kwa nguvu ipi ya kisheria? Hivi hujui kuwa kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya ubovu wa katiba na kukosekana kwa haki mahakamani!??

Nchi imejaa mazuzu hii
 
Ni akili za kipumbavu tu kufananisha JPM na hangaya. Magufuli kama aligusa maslahi yako moja kwa moja una haki ya kumchukia ila kiuongozi huyo Bibi tozo hana uwezo wa kushindana nae hata kidogo. Samia anapendwa na nyinyi machawa wake tu na nyinyi mnampenda inawezekana kimaslahi na si uongozi bora, hakuna sehemu nyingine anapokubalika. Sasa we jifariji tu.
Orodhesha mazuri ya dikteta jiwe kama nilibuoorodhesha mazuri ya Samia. Acha kutoa povu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom