Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 2,246
- 4,544
Huu ndio ujinga mliolishwa na wapuuzi wa CCM na nyie mkaamini, katiba mpya na tume huru vyote vitapatikana na hakuna mtu atakufa Kwa kudai au kutoa maoni yake, CCM mkijaribu uharamia wenu wote mtaishia jela mwisho wa sikuKatiba mpya na tume huru hakuna rais atakayethubutu kuziunda. Hivi vitu hupiganiwa kwa jasho na damu. Siyo kwa kelele za mitandaoni.
Inabidi tuuane kwanza ndiyo vitapatikana.