Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,523
- 33,164
Pro-Chadema wengi wao ni watu wa kishikiwa akili wanakubalina kila pumba alimuladi ziwafurahishe tu eti wanakubalia mtaani kuna wafuasi wengi wa Chadema🤣🤣Watu wa namna hii hata mkija kuongozwa na Malaika mtalalamika tu. Nahisi hata kujiongiza wenyewe ni ngumu. Na kwa namna hiyo basi kwa kuwa mmezoea kulalamika hata siku mkipewa nchi mtaanza kugombania vyeo na kuleta mgawanyiko mkubwa wa kikanda au ukabila katika nchi.