Rais Samia amepoteza ushawishi kwa wananchi

Tuko vyuoni tuliaminishwa Mwinyi hafai, tukapoteza tukafukuzwa vyuoni na vyuoni vikafungwa kwa mwaka mzima, akaja Mkapa tukaambiwa hakufai, akaja Kikwete tukaaminishwa hafai, akaja Magufuli tumeambiwa hakufaa. Na sasa yuko Samia tukaambiwa hivyo hivyo, na wote hawa wana staili tofauti ya Uongozi.
Jee nyinyi mnaona nani anafaa Lissu?, Mbowe? au nani?

Mnacho sahau hawa ni kuwa viongozi hawa wote ni wa Tanzania wenzetu tunaongea nao, tunakunywa não, tuna cheka não na tunasikitika não.

Tuna wafahamu uzuri, Ubaya na upungufu wao. Mnapo tushawishi kuwa wanafaa watu pumbavu pumbavu mnafanya kila mnae ona anafaa tumuangilie kwa jicho la tatu, na tunapogundua hafai hatuwasikilizi tena..

Watanzania tunapata viongozi kutoka miongoni mwetu na uwakilishi wa sisi tulivyo na sio kutoka mbinguni.
Kama hawafai hawafai tu hata wawe 1000.
 
Wakimaliza kufanya tafiti itakuwa ni July 2025. Tume ya uchaguzi itatoa masharti na miongozo na wao kwa kuwa kila wakiitwa na tume hawataki basi watakosea masharti na miongozo yote.

Kitakachofuata ni wao mapambano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. 25th October 2025 wakipasuliwa tutakayoyaskia ni vilio

😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
🤣🤣Muda utaongea....

CCM si chama Cha Jana.....

#SiempreCCM
 
Viongozi wanapatikana miongoni mwetu, si kwa utashi wa wengi, bali kwa utashi wa wachache. Matokeo ni wengi kutawaliwa kwa mabavu na kutumia raslimali za nchi kudhibiti, badala ya kuleta maendeleo nchini.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Oposition in this country has never won any Presidential general election, I have been part of change for over 21 years, so my level of bias was and will never weight heavily toward the ruling party unfounded .

I am not a person who is prevelaged to be informed with facts and never recognise the winner. Tujipange nguvu zaidi inatakiwa, tusijilazimishe kutengeneza uongo na tuuamini huo uongo kwa nguvu zetu zote.
 
Kuna mbibi huku kitaa anasema samih angefaa kuimba taarabu kwenye urais wame........
 
In general…. Hakutakua na rais atakayeridhisha kila mtu unless awe mjinga na asiyeweza kusimamia utawala wa sheria

Na Bahati mbay zaidi ni kwamba sisi online community ni the biggest complainers without offering any solutions

hata familia tu zinatushinda

acheni mama afanye kazi
 
Watu wa namna hii hata mkija kuongozwa na Malaika mtalalamika tu. Nahisi hata kujiongiza wenyewe ni ngumu. Na kwa namna hiyo basi kwa kuwa mmezoea kulalamika hata siku mkipewa nchi mtaanza kugombania vyeo na kuleta mgawanyiko mkubwa wa kikanda au ukabila katika nchi.
 
Watu wa namna hii hata mkija kuongozwa na Malaika mtalalamika tu. Nahisi hata kujiongiza wenyewe ni ngumu. Na kwa namna hiyo basi kwa kuwa mmezoea kulalamika hata siku mkipewa nchi mtaanza kugombania vyeo na kuleta mgawanyiko mkubwa wa kikanda au ukabila katika nchi.
Exactly
 
Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.

Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.

Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.

Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k

Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc

Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa

Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.

Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani
Fikra za Bavicha bana 😁
 
Back
Top Bottom