Rais Samia amepoteza ushawishi kwa wananchi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,626
51,583
Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.

Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.

Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.

Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k

Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc

Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa

Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.

Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani
 
Hayo ni mawazo yenu Wana chadema
Mama ana wafuasi kibao na tumeridhika na mambo anayoyafanya
kwanza hatuna uchovu wa kisiasa kwani Mwendazake ameshaondoka na tumegundua tulipigwa sana akiwemo Gwajima na Makonda
Pia Mama ni mvumilivu sana kuna ka kitu kanaitwa mfumo dume kanamtaka aondoke
Ungesikiliza Bunge leo ndio ungejua Mama anahitajika kwa miaka mingine 9
hata Clouds 360 huko Mbeya wananchi wanamkubali sana
Mahali wanapomkataa kwa asilimia chache ni JF na Chadema,
lkn TLP, ACT wote wameridhika
 
Wananchi nasi tulikuwa na matumaini makubwa kupitiliza baada ya mtangulizi wake kutuburuza sana, automatically tukaamini baada ya dhiki ni faraja, kumbe lile jiko lililotumika kupika chuki bado wapishi wake waliobaki wanaendelea kulitumia.
 
Dikteta Samia
UHPIp.jpg
 
Hayo ni mawazo yenu Wana chadema
Mama ana wafuasi kibao na tumeridhika na mambo anayoyafanya
kwanza hatuna uchovu wa kisiasa kwani Mwendazake ameshaondoka na tumegundua tulipigwa sana akiwemo Gwajima na Makonda
Pia Mama ni mvumilivu sana kuna ka kitu kanaitwa mfumo dume kanamtaka aondoke
Ungesikiliza Bunge leo ndio ungejua Mama anahitajika kwa miaka mingine 9
hata Clouds 360 huko Mbeya wananchi wanamkubali sana
Mahali wanapomkataa kwa asilimia chache ni JF na Chadema,
lkn TLP, ACT wote wameridhika
Kilichoandikwa kweli tupu
 
Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.

Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.

Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.

Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k

Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc

Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa

Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.

Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani
Tuko vyuoni tuliaminishwa Mwinyi hafai, tukapoteza tukafukuzwa vyuoni na vyuoni vikafungwa kwa mwaka mzima, akaja Mkapa tukaambiwa hakufai, akaja Kikwete tukaaminishwa hafai, akaja Magufuli tumeambiwa hakufaa. Na sasa yuko Samia tukaambiwa hivyo hivyo, na wote hawa wana staili tofauti ya Uongozi.
Jee nyinyi mnaona nani anafaa Lissu?, Mbowe? au nani?

Mnacho sahau hawa ni kuwa viongozi hawa wote ni wa Tanzania wenzetu tunaongea nao, tunakunywa não, tuna cheka não na tunasikitika não.

Tuna wafahamu uzuri, Ubaya na upungufu wao. Mnapo tushawishi kuwa wanafaa watu pumbavu pumbavu mnafanya kila mnae ona anafaa tumuangilie kwa jicho la tatu, na tunapogundua hafai hatuwasikilizi tena..

Watanzania tunapata viongozi kutoka miongoni mwetu na uwakilishi wa sisi tulivyo na sio kutoka mbinguni.
 
Tumepotezwa sana ndugu zangu-chombo kiko mrama ile mbaya.
Nahodha hata amebaki kushangaa ukubwa wa chombo anachokiongoza badala ya mwelekeo atupekako.
🛶🐟🐟🐳🐋🏊🏊
Hapa mapapa lazima yatoke vitambi sii kwa uogeleaji huu kwenye bahari iliyojaa papa na nyangumi.
 
Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.

Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.

Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.

Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k

Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc

Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa

Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.

Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani
utakuwa ulienda mtaa wa Ufipa
 
Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.

Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.

Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.

Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k

Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc

Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa

Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.

Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani
Mbowe ni gaidi?,au ni tuhuma tu?
 
Back
Top Bottom