hii ni hatari zaidi ya unavyo fikilia umuweke waziri mkuu nje na mawaziri wake, katibu mkuu serkalini, katibu mkuu ccm na viongozi wengine wa umma na usalama kwngu naon hii ingeleta ugumu kwa 2024 au ingebidi huyu mama kbl hajafika 2025 wngmfanyia hujuma amabyo asingsahauKosa alilifanya yeye mama kwa kushindwa kumalizia kupiga deki jengo zima.
Angeafisha kabisa ili aanze upya lkn akawabakisha wenye ufuasi wa jiwe ndiyo maana sasa hivi anaonekana kuishiwa pumzi
Nimekuelewa sana na nafurahi pia nawe kuonyesha kuwa kuna kundi ndani ya serekali linamfanyia sivyo mamahii ni hatari zaidi ya unavyo fikilia umuweke waziri mkuu nje na mawaziri wake, katibu mkuu serkalini, katibu mkuu ccm na viongozi wengine wa umma na usalama kwngu naon hii ingeleta ugumu kwa 2024 au ingebidi huyu mama kbl hajafika 2025 wngmfanyia hujuma amabyo asingsahau
mwache awachanganye wengine wapate wengine wakosa ila wakose umoja ukiitoa serikali iliyopo usuke mpya wanasuka mipngo mizito na unaweza usfanye kazi kwa uhuru, kama tu saiv kuna utofauti wa kauli baina ya viongozi basi kwa chini kuna mengi na wengine hawataki kujionysha,
aise una roho ngumu kwel babu ka muzimu,,kwamba nchi ilivyo hivi unasema tunenda vzur duuu!!..Hayo ni mawazo yenu Wana chadema
Mama ana wafuasi kibao na tumeridhika na mambo anayoyafanya
kwanza hatuna uchovu wa kisiasa kwani Mwendazake ameshaondoka na tumegundua tulipigwa sana akiwemo Gwajima na Makonda
Pia Mama ni mvumilivu sana kuna ka kitu kanaitwa mfumo dume kanamtaka aondoke
Ungesikiliza Bunge leo ndio ungejua Mama anahitajika kwa miaka mingine 9
hata Clouds 360 huko Mbeya wananchi wanamkubali sana
Mahali wanapomkataa kwa asilimia chache ni JF na Chadema,
lkn TLP, ACT wote wameridhika
Ukiacha unafki hata wewe Ukweli unaujua .kupanda ghalama za maisha kunamuumiza Kila mtu.Hayo ni mawazo yenu Wana chadema
Mama ana wafuasi kibao na tumeridhika na mambo anayoyafanya
kwanza hatuna uchovu wa kisiasa kwani Mwendazake ameshaondoka na tumegundua tulipigwa sana akiwemo Gwajima na Makonda
Pia Mama ni mvumilivu sana kuna ka kitu kanaitwa mfumo dume kanamtaka aondoke
Ungesikiliza Bunge leo ndio ungejua Mama anahitajika kwa miaka mingine 9
hata Clouds 360 huko Mbeya wananchi wanamkubali sana
Mahali wanapomkataa kwa asilimia chache ni JF na Chadema,
lkn TLP, ACT wote wameridhika
Ukiacha unafki hata wewe Ukweli unaujua .kupanda ghalama za maisha kunamuumiza Kila mtu.
ninyi mmezaliwa juzi tu hamkumkuta Magufuli, hata michango ya kejeli haikuruhusiwa humu JF sembuse Magazetiaise una roho ngumu kwel babu ka muzimu,,kwamba nchi ilivyo hivi unasema tunenda vzur duuu!!..
Viongozi wanapatikana miongoni mwetu, si kwa utashi wa wengi, bali kwa utashi wa wachache. Matokeo ni wengi kutawaliwa kwa mabavu na kutumia raslimali za nchi kudhibiti, badala ya kuleta maendeleo nchini.Tuko vyuoni tuliaminishwa Mwinyi hafai, tukapoteza tukafukuzwa vyuoni na vyuoni vikafungwa kwa mwaka mzima, akaja Mkapa tukaambiwa hakufai, akaja Kikwete tukaaminishwa hafai, akaja Magufuli tumeambiwa hakufaa. Na sasa yuko Samia tukaambiwa hivyo hivyo, na wote hawa wana staili tofauti ya Uongozi.
Jee nyinyi mnaona nani anafaa Lissu?, Mbowe? au nani?
Mnacho sahau hawa ni kuwa viongozi hawa wote ni wa Tanzania wenzetu tunaongea nao, tunakunywa não, tuna cheka não na tunasikitika não.
Tuna wafahamu uzuri, Ubaya na upungufu wao. Mnapo tushawishi kuwa wanafaa watu pumbavu pumbavu mnafanya kila mnae ona anafaa tumuangilie kwa jicho la tatu, na tunapogundua hafai hatuwasikilizi tena..
Watanzania tunapata viongozi kutoka miongoni mwetu na uwakilishi wa sisi tulivyo na sio kutoka mbinguni.
Mama ameshapoteza usikivu amekuwa kama mtangulizi wake.Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.
Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.
Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.
Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k
Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc
Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa
Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.
Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani
Katiba mpyaTuko vyuoni tuliaminishwa Mwinyi hafai, tukapoteza tukafukuzwa vyuoni na vyuoni vikafungwa kwa mwaka mzima, akaja Mkapa tukaambiwa hakufai, akaja Kikwete tukaaminishwa hafai, akaja Magufuli tumeambiwa hakufaa. Na sasa yuko Samia tukaambiwa hivyo hivyo, na wote hawa wana staili tofauti ya Uongozi.
Jee nyinyi mnaona nani anafaa Lissu?, Mbowe? au nani?
Mnacho sahau hawa ni kuwa viongozi hawa wote ni wa Tanzania wenzetu tunaongea nao, tunakunywa não, tuna cheka não na tunasikitika não.
Tuna wafahamu uzuri, Ubaya na upungufu wao. Mnapo tushawishi kuwa wanafaa watu pumbavu pumbavu mnafanya kila mnae ona anafaa tumuangilie kwa jicho la tatu, na tunapogundua hafai hatuwasikilizi tena..
Watanzania tunapata viongozi kutoka miongoni mwetu na uwakilishi wa sisi tulivyo na sio kutoka mbinguni.
Katiba mpyaLakini pia tuseme tu ukweli. Kuwaongoza Watanzania siyo kazi rahisi kivile. Hata kama tungekupa wewe leo hii uwe rais. Watanzania hawa hawa wangekupiga madongo tu hata kama ungefanya mazuri kiasi gani.
Mimi nadhani kwa viongozi hawa njia ni rahisi tu. Watambue kuwa hawatapendwa na kila mtu hata kama wangefanyeje. Cha muhimu tu wafanye kila wakifanyacho kwa kuzingatia katiba na sheria zilizopo basi. Mengine wawaachie keyboard warriors na watukanaji wa mitandaoni humu.
Subiri uchaguzi utajua ushawishi umepotea au upo.Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.
Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.
Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.
Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k
Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc
Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa
Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.
Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani