benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
"Mikopo ni fedha. Tangu shughuli ya kukopesha fedha imeanza miaka 19-20 takriban Tril.7. 3 zimewekezwa. Huu unaitwa ni uwekezaji wa Serikali katika rasilimali watu. Na wanufaika Laki Saba wamepata mikopo.
"Katika miaka Mitano au Sita kuanzia 2020-21 kiasi cha bajeti kilichopitishwa ni Bil. 464 na wanufaika walikuwa Laki na Nusu. Mwaka uliofuata ni Bil. 570
"Wakati Mama, Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia mwaka 2021-22 ameongeza kwa kiasi kikubwa sana kutoka Bil. 464 hadi 570 ni ongezeko kubwa sana na halijafanyika kwa miaka mingi wakanufaika wanafunzi Laki moja na sabini na saba.
"Na mwaka Jana ilikuwa Bil. 654 wanufaika Laki moja na tisini na huu mwaka wanufaika watakuwa Laki mbili na ishirini na bajeti ni Bil.786." Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul-Razaq Badru
#PBCloudsFM
"Katika miaka Mitano au Sita kuanzia 2020-21 kiasi cha bajeti kilichopitishwa ni Bil. 464 na wanufaika walikuwa Laki na Nusu. Mwaka uliofuata ni Bil. 570
"Wakati Mama, Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia mwaka 2021-22 ameongeza kwa kiasi kikubwa sana kutoka Bil. 464 hadi 570 ni ongezeko kubwa sana na halijafanyika kwa miaka mingi wakanufaika wanafunzi Laki moja na sabini na saba.
"Na mwaka Jana ilikuwa Bil. 654 wanufaika Laki moja na tisini na huu mwaka wanufaika watakuwa Laki mbili na ishirini na bajeti ni Bil.786." Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul-Razaq Badru
#PBCloudsFM