Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,054
- 71,341
Mimi Huwa nikiwaambia, tuna Rais Kazi yake ni KUSAINI TU muwe mnanielewa, yaan tuna Rais akiletewa makaratasi hajishughulishi kwenda Ndani zaidi, ajiridhishe Kisha atoe ruksa.
Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu, kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela, haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa.
Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela. Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela, watashtukiwa. Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi?
Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa?
Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya? Kwamba kakuomba msahama? Kakiri hatorudia, alisingiziwa?
Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi? Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK?
Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha?
Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.
2. Msongela Palela wa zamani.
80 Palela Msongela Mpya🤣
Mambo ya Ovyo kabisa !!.
Ebwana eeh Leo katika Kupitia majina ya UDED japo nione jina langu, kijana Mzalendo kama Mimi, nikakutana na hili jina la Palela, haraka haraka nikakumbuka aliwah kutumbuliwa.
Mwezi wa kwanza alitumbuliwa Kwa jina la Msongela Nitu Palela. Wahuni ameona sio tabu, wakajua wakianza Kwa jina la Msongela, watashtukiwa. Kwenye mkeka wamemuanzia
PALELA MSONGELA NITU
Hivi ni kwamba Hii Nchi Haina watu? Mpaka muwarudishe madaraka watu ambao mliwatumbua Kwa makosa yako ya kibadhirifu, wizi wa Pesa za umma, usimamizi mbovu wa miradi?
Hivi Rais Samia yeye Huwa hajipi muda wa Kusoma na kupitia anacholetewa?
Unamtumbua mtu mwenyewe Kwa sababu ya Makosa makubwa aloyatenda, Ndani ya miezi minne, unamchagua upya? Kwamba kakuomba msahama? Kakiri hatorudia, alisingiziwa?
Mama Samia jamani, mbona unatutia hasira sana sisi wananchi? Kwanini watu wasiseme, Nchi inaongozwa na JK?
Yaan DED alipata Hati Chafu, ukamtumbuaga baadae, tena baada ya Waziri Bashungwa akiwa TAMISEMI kugundua matakataka ya DED huyu, Leo unamrudisha?
Sawa, ngoja waendelee kula, ngoja wananchi Tuendelee kutaabika.
2. Msongela Palela wa zamani.
80 Palela Msongela Mpya🤣
Mambo ya Ovyo kabisa !!.