PostGE2025 Rais Samia akutana na Kaimu Balozi wa Marekani

PostGE2025 Rais Samia akutana na Kaimu Balozi wa Marekani

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
Ubalozi wa Marekani wamepost kuwa Samia kajadili na kaimu balozi. Je, kunani?

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew Lentz, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 08 Desemba, 2025.

Soma Pia: Tanzania na Marekani wakaribia kukamilisha makubaliano makubwa ya uwekezaji

Screenshot 2025-12-08 174059.png
 
CCM na viongozi wake wameiweka Tanzania katika hali inayohatarisha sana usalama wa taifa.

Sasa hivi viongozi wamejenga mazingira ambayo wanaweza kupewa mawazo na mashinikizo ambayo hawatakuwa budi kuyakubali ili wao au taifa lipone.

Katika mazingira tuliyopo, Rais anaweza hata kuwa "blackmailed" na baadhi ya watu wa ndani au wa nje.

Nyakati kama hizi zinahitaji watu wenye "superior intelligence" ili kujua nini cha kufanya kuliokoa taifa.

NB. Nadhani leo jioni Samia atatoa hotuba. Stay tuned!
 
Ubalozi wa Marekani wamepost kuwa Samia kajadili na kaimu balozi. Je, kunani?

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew Lentz, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 08 Desemba, 2025.

View attachment 3513082
Huyu Balozi wanaongea nini na muuaji! Marekani asituletee za kuleta hapa
 
Watu wa Protocol Ikulu wamepuyanga ama ni kutokujali?

Kwenye Picha, Rais amewekwa/amejiweka Kushoto mwa mgeni wake, Ina maana Kaimu Balozi ana Mamlaka kumzidi Rais?
Nadhani kuna mpasuko huko serikalini. Ni wazi mambo hayapo sawa katika mfumo mzima wa utawala wa nchi kwa sasa. Inawezekana ni presha inayomkabili kila mmoja lakini pia inawezekana ni kuhujumiana.
 
‎Wanachofeli Gen Z.

‎1.Kupata silaha za moto hapa mtakuwa mmemaliza mzizi wa fitina na hili litakokea kama kutakuwa na mgawanyiko jeshini na WA kina tesha watokee wagawie wananchi silaha.

‎2.choma majengo yote ya wizara,hifadhi,migodi,Kambi za jeshi,CCP,bandari,Ikulu zote,vituo vikuu vya Kila mkoa.kimara pale choma mitambo yote ya Tanesco choma mawasiliano Treni ya umeme piga kiberiti ,
‎Ma generator ya bwawa la Nyerere piga kiberiti ,



‎3.mimi nikishapata AK 47,72au 102 na SMG namalisha ishu zote
 
Back
Top Bottom