PostGE2025 Rais Samia akutana na Kaimu Balozi wa Marekani

PostGE2025 Rais Samia akutana na Kaimu Balozi wa Marekani

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Mafisiemu hata kama israel mtoa roho akija watataka picha na wao watasema walikutana na ujumbe wa Mungu na kufanya naye mazungumzo yenye nia ya kujenga.

D9 ni kesho kama jakuaga basi hatopata nafasi nyingine.

Tukiwashe kwa nguvu zote.
 
Ubalozi wa Marekani wamepost kuwa Samia kajadili na kaimu balozi. Je, kunani?

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew Lentz, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 08 Desemba, 2025.

View attachment 3513082
Kuna mikataba mikubwa imesainiwa... Mange ajiandae kurudishwa tz maana USA wamesaini mikataba minono...

Naona USA wamepata walichokuwa wanataka... kupewa kipaumbele kwenye uwekezaji TZ, Sasa hutawasikia tena kuhusu haki za binadamu...
 
Akili za kuambiwa unachanganya na zako, maisha uanaendelea.
 
Ubalozi wa Marekani wamepost kuwa Samia kajadili na kaimu balozi. Je, kunani?

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew Lentz, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 08 Desemba, 2025.

View attachment 3513082
Uko TikTok watu wanazusha amekufa.
 
Kuna mikataba mikubwa imesainiwa... Mange ajiandae kurudishwa tz maana USA wamesaini mikataba minono...

Naona USA wamepata walichokuwa wanataka... kupewa kipaumbele kwenye uwekezaji TZ, Sasa hutawasikia tena kuhusu haki za binadamu...
Kabisa
 
Watu wa Protocol Ikulu wamepuyanga ama ni kutokujali?

Kwenye Picha, Rais amewekwa/amejiweka Kushoto mwa mgeni wake, Ina maana Kaimu Balozi ana Mamlaka kumzidi Rais?
Huyo hatambuliki
 
‎Wanachofeli Gen Z.

‎1.Kupata silaha za moto hapa mtakuwa mmemaliza mzizi wa fitina na hili litakokea kama kutakuwa na mgawanyiko jeshini na WA kina tesha watokee wagawie wananchi silaha.

‎2.choma majengo yote ya wizara,hifadhi,migodi,Kambi za jeshi,CCP,bandari,Ikulu zote,vituo vikuu vya Kila mkoa.kimara pale choma mitambo yote ya Tanesco choma mawasiliano Treni ya umeme piga kiberiti ,
‎Ma generator ya bwawa la Nyerere piga kiberiti ,



‎3.mimi nikishapata AK 47,72au 102 na SMG namalisha ishu zote
Mmmh hii haijakaa poa kabisa..
 
Ubalozi wa Marekani wamepost kuwa Samia kajadili na kaimu balozi. Je, kunani?

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew Lentz, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 08 Desemba, 2025.

View attachment 3513082
Tuna rais wa hovyo hata sura yake si ya kirais bali kirahisi
 
CCM na viongozi wake wameiweka Tanzania katika hali inayohatalisha sana usalama wa taifa.

Sasa hivi viongozi wamejenga mazingira ambayo wanaweza kupewa mawazo na mashinikizo ambayo hawatakuwa budi kuyakubali ili wao au taifa lipone.

Katika mazingira tuliyopo, Rais anaweza hata kuwa "blackmailed" na baadhi ya watu wa ndani au wa nje.

Nyakati kama hizi zinahitaji watu wenye "superior intelligence" ili kujua nini cha kufanya kuliokoa taifa.

NB. Nadhani leo jioni Samia atatoa hotuba. Stay tuned!
Zile sio hotuba Ile ni michambo ya kuchemshwa
 
Back
Top Bottom