Vugu-Vugu
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 1,106
- 1,265
HakikaNi Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,
Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100
Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,
HakikaNi Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,
Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100
Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,
Ndio ukweli japo mchungu.A bunch of opportunists leaders hawawezi kuleta upinzani wenye tija.Kuna gap kubwa sana ya viongozi mahiri upande wa upinzani.Baada ya baadhi yao kupata umaarufu wanaingia CCM.Ni Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,
Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100
Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,
Hata Lowassa alipoona ana fight a losing battle akarudi CCM. Na sidhani kuna anayeweza ku doubt uwezo alikua nao Lowassa.Hakika
Chama ni CCM tu TanzaniaHata Lowassa alipoona ana fight a losing battle akarudi CCM. Na sidhani kuna anayeweza ku doubt uwezo alikua nao Lowassa.
Uchochezi huu mkuu, Tatizo lako kiswahili kinakupa shida,Miaka 45 ya CCM, sasa ufisadi ni jambo la kuhamasisha na la kujivunia katika Taifa!🐒🐒🐒
View attachment 2110043
Ni Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,
Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100
Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,
Lowassa na Maalimu ni kweli walijipambanua vema,Ulikuwa wapi wakati wa Lyatonga Mrema 1995?
Maalim Seif 1995 na 2015?
Si kweli ujinga ndio bebeo kubwa kwa ccm. Kama watoto wanaosoma shule za kata wataerevuka ujue graph ya ccm kiukubalika itashukaNi Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,
Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100
Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,
Hakuna Rais duniani ambae anapaswa kuongea kwa mafumbo labda awe ni Rais mwendawazimu kutokea kuzimu.Uchochezi huu mkuu, Tatizo lako kiswahili kinakupa shida,
MsisitizoChama ni CCM tu Tanzania
Chama mufilsi, kimeishiwa sera kimebaki kutegemea dola kubaki madarakaniChama ni CCM tu Tanzania
CCM chama chenye ushawishi wa sera,Chama mufilsi, kimeishiwa sera kimebaki kutegemea dola kubaki madarakani
Karibu sana CCM mkuuCCM ni chama cha kambo.
FactCCM chama chenye ushawishi wa sera,
#CCM CHAMA IMARA===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake leo Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya CCM kitaifa,
Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,
Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote,
Zaidi,Soma taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka kwa Watanzania
View attachment 2109211
View attachment 2109217
I like this vibrant Politics,===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,
Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,
Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,
Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinchojibu maswali yao yote,
Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,
View attachment 2109211
View attachment 2109217
Upinzani tutawashinda tu wakati wote,===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,
Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,
Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,
Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinchojibu maswali yao yote,
Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,
View attachment 2109211
View attachment 2109217
Uimara wa CCM usitegemee TISS na Polisi, wakiacha kutegemea TISS na Polisi ndo tutaona uimara wao. Kwa Sasa CCM siyo chama Cha siasa, chama Cha siasa hutegemea sanduku la kura. CCM wakitegemea sanduku la kura kesho tu asubuhi hawapo.Ni Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,
Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100
Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,