Rais Samia akiri miaka 45 ya CCM ndani ya 30 ya Upinzani haijawa rahisi

Ni Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,

Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100

Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,
Ndio ukweli japo mchungu.A bunch of opportunists leaders hawawezi kuleta upinzani wenye tija.Kuna gap kubwa sana ya viongozi mahiri upande wa upinzani.Baada ya baadhi yao kupata umaarufu wanaingia CCM.
 
Ulikuwa wapi wakati wa Lyatonga Mrema 1995?

Maalim Seif 1995 na 2015?

Ni Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,

Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100

Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,
 
Ni Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,

Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100

Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,
Si kweli ujinga ndio bebeo kubwa kwa ccm. Kama watoto wanaosoma shule za kata wataerevuka ujue graph ya ccm kiukubalika itashuka
 
Uchochezi huu mkuu, Tatizo lako kiswahili kinakupa shida,
Hakuna Rais duniani ambae anapaswa kuongea kwa mafumbo labda awe ni Rais mwendawazimu kutokea kuzimu.

Marais wanapaswa kuongea moja kwa moja bila mafumbo ili kila mtu hadi watoto wadogo na watu ambao hawajaenda shule waelewe kauli ya Rais na ndicho alichofanya Samia.

Ninyi ambao mnamtetea Rais baada ya kuhamasisha ufisadi hadharani ndiyo mnalazimisha kuwa Rais aliongea kwa mafumbo ili kumtoa katika mkwamo huo.

Unachofanya wewe ni kupaka ufisadi mafuta kwa kutumia mgongo wa Samia.
 
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake leo Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya CCM kitaifa,

Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,

Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote,

Zaidi,Soma taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka kwa Watanzania

View attachment 2109211

View attachment 2109217
#CCM CHAMA IMARA
 
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,

Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,

Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,

Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinchojibu maswali yao yote,

Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,

View attachment 2109211

View attachment 2109217
I like this vibrant Politics,
 
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,

Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,

Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,

Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinchojibu maswali yao yote,

Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,

View attachment 2109211

View attachment 2109217
Upinzani tutawashinda tu wakati wote,

wanatamaa tu wale, wasaka tonge wakubwa Wale,

watanzania msidanganywe kwa hawa
 
Ni Lowassa tu ndio aliweza kuitingisha CCM,

Ila kwa Upinzania uliopo CCM itatawala zaidi ya miaka 100

Karibu CCM kama unataka kufanya Siasa za matokeo,
Uimara wa CCM usitegemee TISS na Polisi, wakiacha kutegemea TISS na Polisi ndo tutaona uimara wao. Kwa Sasa CCM siyo chama Cha siasa, chama Cha siasa hutegemea sanduku la kura. CCM wakitegemea sanduku la kura kesho tu asubuhi hawapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom