Rais Samia akiri miaka 45 ya CCM ndani ya 30 ya Upinzani haijawa rahisi

CCM kiuhalali uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995 ilikuwa kicked to the touch,President Nyerere wakati alishastaafu siasa akaingilia kati uchaguzi ule kuanzia ccm hadi uchaguzi mkuu akauvuruga mno(kuna watanzania walitaka atangazwe mtakatifu!!);NCCR M ilishinda uchaguzi ule na ccm kwa makusudi mazima walivuruga uchaguzi wa Dar es Salaam bila soni ,makaratasi ya kupigia kura yamefika mapema huku Lingusenguse ila yamechelewa kufika pale kariakoo!!
Tukiwa wazi Nyerere ni Baba wa kuchakachua matokea ya chaguzi. 1995 CCM haikushinda uchaguzi Zanzibar.
 
Chama ni CCM tu Tanzania
CCM siyo chama Cha siasa Sasa hivi, siasa zimewashinda wanatumia dola kubaki madarakani. Wakisema tunataka serikali za mitaa nchi nzima, dola inatekeleza inasimamia hachaguliwi wa chama kingine. Uchaguzi mkuu CCM wakataka bunge la kijani, dola wanatekeleza mawakala wa upinzani wanazuiliwa. Hii ndio njia pekee ya CCM kubaki, lakini hayo yana mwisho, hata Sudan ilikuwa hivi, machafuko hata jeshi na vifaru vyao hawakuweza, CCM kwa Sasa watajiona vidume kwa kuringia dola, lakini huko mbele watatuletea shida Kama ya Sudan.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,

Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,

Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,

Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinchojibu maswali yao yote,

Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,

View attachment 2109211

View attachment 2109217
Ujinga mtupu
 
Uimara wa CCM usitegemee TISS na Polisi, wakiacha kutegemea TISS na Polisi ndo tutaona uimara wao. Kwa Sasa CCM siyo chama Cha siasa, chama Cha siasa hutegemea sanduku la kura. CCM wakitegemea sanduku la kura kesho tu asubuhi hawapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unajidanganya mkuu wangu, CCM yenye wanachama 12M inategemeaje polisi?
 
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,

Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,

Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,

Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinachojibu maswali ya maisha yao yote,

Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,

View attachment 2109211

View attachment 2109217
Shaka jembe
 
Ndio ukweli japo mchungu.A bunch of opportunists leaders hawawezi kuleta upinzani wenye tija.Kuna gap kubwa sana ya viongozi mahiri upande wa upinzani.Baada ya baadhi yao kupata umaarufu wanaingia CCM.
Daaah
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
 
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake Mkoani Mara yalikofanyika maazimisho ya miaka 45 ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kitaifa,

Pamoja na mambo mengine Rais Samia Suluhu Hassan amekiri CCM kubakia imara ndani ya kipindi cha Vyama vingi haikuwa jambo rahisi,

Aidha, Ndg Samia Suluhu Hassan amejivunia imani kubwa waliyonayo Watanzania kwa Chama Chao cha Mapinduzi na ndio imekuwa siri ya mafanikio ya ccm-tanzania wakati wote wa Uhai wake,

Ndg Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuiamini na kuichagua CCM katika kila Uchaguzi kwani ndio Chama kinachojibu maswali ya maisha yao yote,

Zaidi,Soma hii taarifa ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka aliyeitoa kwa Watanzania muda mchache baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo ya 45,

View attachment 2109211

View attachment 2109217
Nzuri Sana
 
Back
Top Bottom