Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,711
- 6,033
Tukiwa wazi Nyerere ni Baba wa kuchakachua matokea ya chaguzi. 1995 CCM haikushinda uchaguzi Zanzibar.CCM kiuhalali uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995 ilikuwa kicked to the touch,President Nyerere wakati alishastaafu siasa akaingilia kati uchaguzi ule kuanzia ccm hadi uchaguzi mkuu akauvuruga mno(kuna watanzania walitaka atangazwe mtakatifu!!);NCCR M ilishinda uchaguzi ule na ccm kwa makusudi mazima walivuruga uchaguzi wa Dar es Salaam bila soni ,makaratasi ya kupigia kura yamefika mapema huku Lingusenguse ila yamechelewa kufika pale kariakoo!!