Makamu Rais wa Cuba amekuja Nchini kwa ziara ya siku 3, hapo hapo Rais wetu ameondoka Nchini. Wajuzi wa protokali imekaaje hii?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,772
Makamu Rais wa Cuba ameanza ziara ya Kiserikali ya siku 3 Jana tarehe 23
IMG_9137.jpeg


Hapo hapo leo tarehe 24, Rais Samia ameanza ziara ndefu Nje ya Nchi akianzia Indonesia .
IMG_9138.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia tarehe 24 Januari, 2024.

Kana kwamba haitoshi juzi aliwasili Naibu Waziri Mkuu wa China Kwa ziara ya Siku 3 pia hapa Nchini.

IMG_9139.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Liu Guozhong na Ujumbe wake, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Januari, 2024.
**

Swali.
Je inamaana sio Kila Kiongozi wa Nje akija Nchi halazimiki kukutana na Rais?

Hii Kwa Wataalamu wa Protokali imekaaje? Elimu Tafadhari.
 
VP wa Cuba ameanza ziara ya kiserikali ya siku 3 Jana tarehe 23

View: https://www.instagram.com/p/C2c_wzir8im/?igsh=MWlvbjd3ZDFkNjhpZA==

Hapo hapo Leo tarehe 24 Rais Samia ameanza ziara ndefu Nje ya Nchi akianzia Indonesia .

View: https://www.instagram.com/p/C2d5PUniQjF/?igsh=aW9iazdnZjNya2xn

Kana kwamba haitoshi juzi aliwasili Naibu Waziri Mkuu wa China Kwa ziara ya Siku 3 pia hapa Nchini.

View: https://www.instagram.com/p/C2aE7DdrgLW/?igsh=bHA4M294NTAyMTN4

Swali.
Je inamaana sio Kila Kiongozi wa Nje akija Nchi halazimiki kukutana na Rais?

Hii Kwa Wataalamu wa Protokali imekaaje? Elimu Tafadhari.

Bibi kakimbia maandamano Dar leo tar 24
 
VP wa Cuba ameanza ziara ya kiserikali ya siku 3 Jana tarehe 23

View: https://www.instagram.com/p/C2c_wzir8im/?igsh=MWlvbjd3ZDFkNjhpZA==

Hapo hapo Leo tarehe 24 Rais Samia ameanza ziara ndefu Nje ya Nchi akianzia Indonesia .

View: https://www.instagram.com/p/C2d5PUniQjF/?igsh=aW9iazdnZjNya2xn

Kana kwamba haitoshi juzi aliwasili Naibu Waziri Mkuu wa China Kwa ziara ya Siku 3 pia hapa Nchini.

View: https://www.instagram.com/p/C2aE7DdrgLW/?igsh=bHA4M294NTAyMTN4

Swali.
Je inamaana sio Kila Kiongozi wa Nje akija Nchi halazimiki kukutana na Rais?

Hii Kwa Wataalamu wa Protokali imekaaje? Elimu Tafadhari.


Maza kakimbia maandano ya Chadema ili kujisafisha.
 
Back
Top Bottom