babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,148
- 16,079
Kila siku teua,temesha hamna kazi zingine? Du kwa kweli tumepatikana
Kazi iendelee
Nachelea kusema hii ni chuki binafsi. Ingekuwa wewe katika position yake usinge teua? Na unawezaje kuteua wapya bila kutengua au kustaafisha? Kwani Mwendazake alikuwa anafanyaje? Nadhani aliteua na kutengua mpaka mwezi wa mwisho wa uhai wake. Mpeni mama space ajipange.Kila siku teua,temesha hamna kazi zingine? Du kwa kweli tumepatikana
Yah Mama atakuwa alipigwa vita sana na watu wa karibu na hayati. Na hii safari ya pili ya Mwanza itakuwa ni maana fulani zaidi ya hizo shughuli maalum za kiserikali.Kumbe kulikuwa na Vita kubwa Mama asiwe Rais?. Hata hivyo Mama ana Utu Sana kumwacha nyoka Bashiru.Hii Vita ya eti Majambazi yamezidi waasisi ni hao hao waliotaka Mama ajiuzulu ili apewe mwingine waliemtaka.
Sasa asipoteua atafanya kazi na nani?Haka kamama
Sanasana toka kashike kijiti cha mwendazake
Kanafanya Ziara na Kufanya Teuzi.
Acha kumdharau raisi wetuu.Haka kamama
Sanasana toka kashike kijiti cha mwendazake
Kanafanya Ziara na Kufanya Teuzi.
Ukitaka kuishi maisha ya furaha Jamhuri ya Jamii Forums, hakikisha unaishi kama kinyonga, ya mbele ya nyuma,Nachelea kusema hii ni chuki binafsi. Ingekuwa wewe katika position yake usinge teua? Na unawezaje kuteua wapya bila kutengua au kustaafisha? Kwani Mwendazake alikuwa anafanyaje? Nadhani aliteua na kutengua mpaka mwezi wa mwisho wa uhai wake. Mpeni mama space ajipange.
kazi zingine anzifanya kama kawaida, ila haziendi kwnye press kama hivi..Haka kamama
Sanasana toka kashike kijiti cha mwendazake
Kanafanya Ziara na Kufanya Teuzi.
Acha upumbavu wakoHaka kamama
Sanasana toka kashike kijiti cha mwendazake
Kanafanya Ziara na Kufanya Teuzi.
hapo ni kama vile unabet tu kwa muhindi mechi ijayo itakuwaje..Ukitaka kuishi maisha ya furaha Jamhuri ya Jamii Forums, hakikisha unaishi kama kinyonga, ya mbele ya nyuma,
Alichokifanya Magufuli kwa Chadema atakifaya na Samia hicho hicho na ndipo mtakapokuja kufahamu CCM, ni wale wale.
UNFORTUNATELY PROF MWAGENI TAYARI AMECHUKULIWA NA KORONA LEO ASUBUHI KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI. MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI AMENIRais Samia amemteua Prof. Eleuther Anthony Mwageni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Elimu ya Biashara(CBE). Uteuzi umeanza Juni 7
Pia amemteua Dkt. Neema Bhoke Mwita kuwa mjumbe wa Baraza la Ushindani (Fair Competition Tribunal). Uteuzi unaanza Juni 8, 2021
Dkt. Mwita amechukua nafasi ya Dkt. Theodora Nemboyao Mwenegoha ambaye ameteuliwa kuwa Jaji Mahakama Kuu ya Tanzania
View attachment 1812588
Hii ni habari ya kweli au? Aisee. Imenigusa. Niliwahi kufanya nae kazi kipindi cha nyuma. He was indeed a very good and humble man. MHSRIPUNFORTUNATELY PROF MWAGENI TAYARI AMECHUKULIWA NA KORONA LEO ASUBUHI KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI. MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI AMENI
Amateur kila kitu, tuteulie mama ntilie hapa Dodoma sokoniSawa sawa ni teuzi sahihi na muhimu sana kazi iendelee
Really so they don’t even cross check this appointments before announcing. Normally you consult wth the person if he accepts the appointment before announcing. Now we know how it goes, it’s useless system. RIPUNFORTUNATELY PROF MWAGENI TAYARI AMECHUKULIWA NA KORONA LEO ASUBUHI KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI. MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI AMENI