Wewe ni taahira, unaongoza nchi kwa kutegemea mungu? Si ungeacha basi huyo mungu mwenyewe aiongoze? Kwa hiyo sasa lawama zinahamia kwa mungu kwa kuleta ukame?😂Yeye ni Mungu wa kuzuia ukame? Kwa akili zake sasa ndio unaona anakomaa na gas Ili hata ukame ukija usipate Mgao.
Samia anawanyima usingizi,go Samia go hadi nyongo ziwatokee puani 👇
View attachment 2018239
View attachment 2018240
View attachment 2018241
View attachment 2018242
View attachment 2018243
View attachment 2018244
View attachment 2018245
View attachment 2018246
View attachment 2018247
Ugumu wa maisha Mbaya zaidi to ka uhuru?Hilo jarida linaongelea watanzania kama watanzania au watu gani? Maana mtaani kila mtu analia gharama za maisha na mfuko wa bei mbaya zaidi kuwahi kutokea tangu tupate uhuru.
Walioongoza nchi kwa kutegemea kudra za Mungu ni awamu ya 5,,sasa hivi awamu ya 6 tunaweka mipango ambayo haitategemea kudra za Mungu huku tukimuomba Mungu Hali itengamae tupate mda wa kujitayarisha..Wewe ni taahira, unaongoza nchi kwa kutegemea mungu? Si ungeacha basi huyo mungu mwenyewe aiongoze? Kwa hiyo sasa lawama zinahamia kwa mungu kwa kuleta ukame?😂
Shida siyo hela, shida ipo kwenye matumizi ya hovyo kama hayo ya kununua ndege wakati hata maji hamnaUgumu wa maisha Mbaya zaidi to ka uhuru?
We jamaa itakuwa hujui historia ya tz ama umezaliwa juzi haf una komenti tu,
We ulikuwepo miaka ya 80 huko ukaona hali ya uchumi ilivyo kuwa?
Mbona changamoto za uchumi za tanzania kila nchi inazo
Hata enzi za magufuli watu walilia uchumi mgumu, na kupita 'vyuma vimekaza', au hamkumbuki
Aulizwe Mwendazake na walimu wa uongozi akina pole pole..Mto rufiji upo km 150 kutoka Dar una maji mengi sana na yote yanaishia baharini na kupotea bure
Tulikuwa tunaambiwa tuna gesi nyingi sana huko Mtwara, imeshindikana nini kuzalisha umeme kwa kutumia gesi hiyo badala yake mnaenda kuwasha mitambo ya kuzalisha umeme inayotumia mafuta ya iptl?
Kwanini serikali inaendelea kununua ndege wakati wananchi wake hawana maji wala umeme?
Tuna serikali kweli au tuna kikundi cha watu wapumbavu na wezi?
Sasa hapo ndio u natakiwa ujue, wana morogoro wachague wabunge na madiwani wanaojitumaMi nipo morogoro mjini,kwa kipindi cha march hadi leo hakuna hata barabara ya km moja iliyojengwa.TARURA na TANROAD wao ni kazi za kuzibua mifereji,kuchora alama za barabara na kuziba viraka tu...
Some time so that iptl takes her portionAulizwe Mwendazake na walimu wa uongozi akina pole pole..
Mama keshasema wanageukia gas ku rescue ni vile will take some time.
Halafu wewe nawe, unataka zitumike bilioni ngapi kuleta maji ya miujiza, na Ushaambiwa jua linawaka la ukame vyanzo vinakauka,Shida siyo hela, shida ipo kwenye matumizi ya hovyo kama hayo ya kununua ndege wakati hata maji hamna
Hayo mahela waga ni ya nini kama kila siku tunaenda kukopa, maji umeme full mgao na plus hakuna ajira wala dalili za watu kuajiriwa huwa kuna point gani ya kuwa na hizo hela sasaKazi kubwa na nzuri anazozifanya Rais Samia Suluhu Hassan zimewaduwaza wachumi,
Hii ni baada ya akiba ya fedha za kigeni ( Gross official foreign reserves ) kuongezeka zaidi ndani ya miezi miwili tu nakufikia $6.7BL sawa na TZS 15.41 kutoka $5.9BL sawa na TZS 13.57 mwezi Septemba...
Mpaka wapate majanga ndiyo wageukie gesi wakati walikuwa wakiimba kila siku tumepata gesi umeme utakuwa historia cha ajabu wanawasha iptl halafu ndiyo wajipange kugeukia gesiSasa hapo ndio u natakiwa ujue, wana morogoro wachague wabunge na madiwani wanaojituma
Hivi unadhani samia anaijua barabara ya kingolwira kwenda panga we ama njia ya nane nane kwenda tungi? Hapo zigo la lawama ni la akina abood na wana morogoro na manispaa yao sio samia
Mpumbavu pekee ndiyo anaweza kusubiri mvua zinyeshe huku ana mito mikubwa mingi na maziwa makubwa kila kona ya nchi yake ila sababu ya upumbavu wake anasubiri mvua na wakati huo huo anaendelea kununua ndegeHalafu wewe nawe, unataka zitumike bilioni ngapi kuleta maji ya miujiza, na Ushaambiwa jua linawaka la ukame vyanzo vinakauka,
Sasa ukame kuna ujanja gani wa kupambana nao? Zaidi ya kusubiri mvua zinyeshe,
Watu ka nyie utakuta hajawahi kuongoza hata Kikao cha familia, kazi kukomaa kukosoa watu wanao giza nchiMpaka wapate majanga ndiyo wageukie gesi wakati walikuwa wakiimba kila siku tumepata gesi umeme utakuwa historia cha ajabu wanawasha iptl halafu ndiyo wajipange kugeukia gesi
Ni upumbavu mtupu
Sasa hiyo miradi hata ikianza itakamilika kwa wiki mbili hizi izi za kusubiri mvua zinyeshe,Mpumbavu pekee ndiyo anaweza kusubiri mvua zinyeshe huku ana mito mikubwa mingi na maziwa makubwa kila kona ya nchi yake ila sababu ya upumbavu wake anasubiri mvua
Bila shaka lazima mitambo ya mafuta ichukue nafasi hapo ni kuweka mafuta na kuwasha.Gas hadi uagize mitambo uje uifunge uitest sio leo na hapo ukame haukusubirii..Some time so that iptl takes her portion
Watanzania wengi hawajui wala hawajali foreign reserves, wanachotaka ni maji, umeme , barabara, dawa hospitalini n.kWatakwambia hamna kitu sijui maushungi kumbe wivu na chuki zinawasumbua..
Reserve toka 4.7 to 6.7 bil.tena zimetokana na exports ni jambo linaonyesha nchi iko kwenye uelekeo mzuri Sana ..
Go Samia Go
View attachment 2018225
View attachment 2018226