Miti7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 1,378
- 2,483
Rwanda tayari wanajenga kinu cha nyukiliaBila shaka lazima mitambo ya mafuta ichukue nafasi hapo ni kuweka mafuta na kuwasha.Gas hadi uagize mitambo uje uifunge uitest sio leo na hapo ukame haukusubirii..
Hata JK aliwasha mitambo ya mafuta kwa vile MKapa na yeye mwenyewe awamu zao za mwanzo hawakuwekeza kwenye umeme wakawa wanategemea mitambo ya Maji..Hata hivyo JK hadi anaondoka ndio aliacha huu umeme wa gas 66%..Sasa ndugu yenu anawadanganya eti gas ya mabeberu kumbe anatafuta mradi wa kupiga pesa
Mwendazake was useless ,unadhani angekuwepo saizi na hali hii ya ukame angewasha Nini? Stiglaz? 😂😂..Alikuwa mjinga tuu laiti angechukua walau til.1 saizi tungekuwa na Kinyerezi 4 na hivyo no Mgao na angeendelea stiglaz yake..
Kwa taarifa yako mitambo ya umeme wa mafuta ilizimwa.huko.Dar but Rukwa,Kigoma,Songea,Katavi na baadhi ya Wilaya tunatumia magenereta kama kawa.
Nyinyi pamoja na kuwa na madini ya uranium na gesi nyingi bado mnawaza umeme wa maji
Upumbavu mtupu

