Rais Samia aduwaza wachumi nchini

CM 1774858

JF-Expert Member
May 29, 2021
4,984
4,083
Kazi kubwa na nzuri anazozifanya Rais Samia Suluhu Hassan zimewaduwaza wachumi.

Hii ni baada ya akiba ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kuongezeka zaidi ndani ya miezi miwili tu nakufikia $6.7BL sawa na TZS 15.41 kutoka $5.9BL sawa na TZS 13.57 mwezi Septemba.

Ongezeko hili ni karibu TZS 2 trilioni linalomfanya Rais Samia ndani ya kipindi chake hiki kifupi kuongeza Jumla ya TZS 4Trilion kwenye hifadhi ya fedha za kigeni,rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na Rais yeyote wa awamu yeyote

Ongezeko hili linachangizwa zaidi na uuzaji nje (Exports) wa bidhaa pamoja na huduma hasa mazao ya Chakula kama mchele, Mahindi, maharagwe na mboga mboga.

Kwamsiojua,ongezeko hili ni mbali ya ongezeko la gharama za uagizaji mafuta nje zilizokua kwa 18.3% nakufikia $1.7BL

Jambo la Pili ni Uwekezaji mkubwa kutoka inje Foreign Direct Investments (FDIs) uliofikia $2.9BL sawa na TZS 6.7Trilioni.

Ukuaji huu wa uwekezaji ni sawa na mara sita zaidi ya uwekezaji wote uliofanywa mwaka uliopita katika kipindi kama hicho cha kati ya Mwezi Machi na Agosti.

Ongezeko hili linaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua karibu miezi saba rekodi ambayo haijawahi kufikiwa tangu kuwako wa Taifa hili miaka sitini (60) iliyopita.

Tanzania kwa sasa ndio nchi inayokuza hifadhi yake kwa kasi Ukanda mzima wa Africa Mashariki na Tumevuka lengo la EAC lakuwa na akiba ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua miezi 4.5

photo_2021-11-21_07-14-01.jpg
 
Economists in Tanzania are excited following significant increase in the country's foreign reserves

Economists in Tanzania are excited following significant increase in the country's foreign reserves

The significant increase was due to export diversification.

Increased exportation of rice, maize, beans, vegetables, etc., helped to cushion the effect of COVID on the country's tourism sector.

Meanwhile, Tanzania has been advised to consider taking advantage of the foreign reserves boom to offset its external debts.
The Bank of Tanzania (BoT) said in its latest monthly economic review that foreign reserves jumped to $6.7 billion up from $4.9 billion in September, marking a historic high for the East African country.

the significant increase was due to export diversification. The BoT report, a copy of which was seen by Business Insider Africa, explained that there was increased exportation of some food items including rice, maize, beans and vegetables. This was in addition to the exportation of minerals, finished products and others.

"Export of rice, in particular, amounted to 303,4 million US Dollars compared with 97,4 million US Dollars, reflecting efforts made to improve cross-border trade...The increase was observed in all import categories, except fertilisers," the BoT said.

These exports helped to cushion the adverse effects which the Coronavirus pandemic had on the country's tourism sector.

READ: Tanzania’s exports to Kenya set to exceed $200 million in 2021

It should also be noted that the increase recorded in Tanzania's foreign reserves was despite the high forex demand for imports during the period under review. For instance, there was an 18.3% increase in oil imports to $1.7 billion due to price increase. And this accounted for a significant portion of the import bill.

Meanwhile, in reaction to the good news, some Tanzanian economists have expressed both excitement and optimism over the country's economic prospects going forward. One of these economists is Dr Hildebrand Shayo. He recommended that Tanzania should consider paying off its external debt now, making adequate use of the increase in foreign reserves. He also recommended how to ensure future increases.

"To ensure these reserves increase further in future, there is a need for the country to maintain exports competitive prices but more important to continue to be firm on building confidence for investors."

Ahmed Nganya, a manager at Vertex International Securities, said the increase in foreign reserves, coupled with the fact that Tanzania attracted $2.9 billion worth of Foreign Direct Investments (FDIs) between March and August this year, all point to the Tanzanian economy is poised for future growth.
 
Hilo jarida limeongelea kuhusu umeme? Ama maji?

Kuongeza reserve huku hakuna maji wala umeme kuna faida gani kwa watanzania?

Juzi wamewgiza ndege nne za zaidi ya Bilioni 780 wakati watu hawana maji wala umeme, hii nchi ina vituko.

Huyu mama uwezo wa kuongoza nchi hana.

Faida ya hiyo reserve ni kua na shule kama hizi.
 
Watakwambia hamna kitu sijui Rais Samia kumbe wivu na chuki zinawasumbua😂😂..

Reserve toka 4.7 to 6.7 bil.tena zimetokana na exports ni jambo linaonyesha nchi iko kwenye uelekeo mzuri Sana ..

Go Samia Go 👇👇


Screenshot_20211121-070907.png


Screenshot_20211120-164615.png
 
Hilo jarida limeongelea kuhusu umeme? Ama maji?

Kuongeza reserve huku hakuna maji wala umeme kuna faida gani kwa watanzania?

Juzi wamewgiza ndege nne za zaidi ya Bilioni 780 wakati watu hawana maji wala umeme, hii nchi ina vituko.

Huyu mama uwezo wa kuongoza nchi hana.
Umeme umefanya nini? Kabla ya mwaka huu kuisha umeme utakuwa umesharekebishwa. Mama ana akili sio sawa na yule zwazwa wenu.
 
Mi nipo morogoro mjini, kwa kipindi cha march hadi leo hakuna hata barabara ya km moja iliyojengwa. TARURA na TANROAD wao ni kazi za kuzibua mifereji, kuchora alama za barabara na kuziba viraka tu.

Ninachohofia ni akimaliza muda wake pasiwepo na barabara zinazounganisha mji mmoja na mwengine.na hili ni muhimu zaidi.mfano tunapenda kusikia watu wakitamka barabara hii ya pangawe kingolwira, au barabara ya tungi nane nane zimejengwa na SSH, yaani barabara za eneo moja kwenda lengine na sio hayo matakwimu ya makaratasini. Wote tunajua kila mtu anahangaika na mkate wake basi serikali idhibiti mfumuko sio hizo namba namba.
 
Umeme umefanya nini? Kabla ya mwaka huu kuisha umeme utakuwa umesharekebishwa. Mama ana akili sio sawa na yule zwazwa wenu.
Angekua na akili tusingekua na mgao wa umeme na maji, ama akili imemtoka sasa ila kabla ya mwisho wa mwaka itamrudia? Huyo unaemuita zwazwa yeye hakukua na mgao wa maji wala umeme.

Kwa akili yako ndogo hapo nani zwazwa?
 
Economists in Tanzania are excited following significant increase in the country's foreign reserves

Economists in Tanzania are excited following significant increase in the country's foreign reserves...
Uchumi haupo zaidi katika unakusanya nini bali unafanyia nini

Akili ya matumizi ndiyo inayo mfanya mtu kuwa na maendeleo makubwa, tatizo kwa viongozi wetu kubwa lipo kwenye akili ya matumizi
 
Angekua na akili tusingekua na mgao wa umeme na maji. Huyo unaemuita zwazwa yeye hakukua na mgao wa maji wala umeme.

Kwa akili yako ndogo hapo nani zwazwa?
Yeye ni Mungu wa kuzuia ukame? Kwa akili zake sasa ndio unaona anakomaa na gas Ili hata ukame ukija usipate Mgao.

Samia anawanyima usingizi,go Samia go hadi nyongo ziwatokee puani 👇

Screenshot_20211119-151238.png


Screenshot_20211119-151311.png


Screenshot_20211112-093702.png


Screenshot_20211111-174547.png


Screenshot_20211110-085639.png


Screenshot_20211108-204642.png


Screenshot_20211110-085524.png


Screenshot_20211112-093908.png


Screenshot_20211107-201041.png
 
Back
Top Bottom