Tunaambiwa kila mtu ana uhuru wa kuabudu hivyo wewe amini tu huyo mungu wako haina shida na mimi nitamwamini ninayemwamini. Upo hapo..?Mungu ni dhana na shetani ni dhana. Usifungwe na utamaduni wa kimagharibi. Hata sisi tunaweza kuwa na mungu wetu siyo lazima huyo mungu aliyeletwa na wazungu na wewe ukakalilishwa bila kujua