CHIEF MASALAKULANGWA
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 794
- 646
KUTUMBUA ndiyo kuchekea!
Hizi ni dalili, muonekano na ishara wazi za CHUKI BINAFSI!Wakiongozwa na mhuni mkuu Humphrey Polepole
Kunaweza kuwa na ukweli kwenye hiyo TWIT kwani hata mapesa ya Walimu kutoka CWT nasikia wanazikomba pia hasa hao mawaziri - walimu!
Kama kuna Rais wa Ukweli Tanzania tumepata basi ni huyu mama,Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
#nakupenda TanzaniaRais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
#Kaziiendelee TanzaniaRais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzaniaRais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzaniaRais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Samia Suluhu Hassan
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Poa Mama " sasa wakae mkao wa kunyolewa
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia asiowataka tu
Hata yeye muhuni tu... nadhani ndio wale wahuni aliosema Polepole! Wote hao wana green cards mifukoni na kwenye mikoba yao.
Chawa kama ChawaHata yeye muhuni tu
Mama tunaomba awashughulikie Barabara hao wahuni wanaoihujumu nchi Mimi namkubali Sana bi mkubwa anaweza Fanya kitu kikubwa kikabadilisha mustakabari wa Taifa letu maana najua yeye hayupo kwenye Ile cabinet ya mafisadi na wahuni hivyo achukue hatua Kali tuanze kujenga taifa jipya lisilo na makandokando ya wale wahuni wa awamu zilizopita!Hata yeye muhuni tu
Uko sahihi 100%Mama tunaomba awashughulikie Barabara hao wahuni wanaoihujumu nchi Mimi namkubali Sana bi mkubwa anaweza Fanya kitu kikubwa kikabadilisha mustakabari wa Taifa letu maana najua yeye hayupo kwenye Ile cabinet ya mafisadi na wahuni hivyo achukue hatua Kali tuanze kujenga taifa jipya lisilo na makandokando ya wale wahuni wa awamu zilizopita!
Lala nao mbele aiseee tuna Imani nanyi!
Asante!
TutaheshimianaRais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
Huu mfumo wa kusubiri mpaka rais atoe maelekezo ya nani ashuhulikiwe na nani aachwe ni mfumo uliopitwa na wakati zamani hizi na ni kasi ya mwendo wa trakta kuyaendea maendeleo kwenye dunia inayoenda kwa kasi ya Km 300+ kwa saa.Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
Safi Sana kwakweliRais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
Wakiongozwa na mhuni mkuu Humphrey Polepole
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
Awe anatoa maamuzi sio kuacha swali tena raisi gani huyuRais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"