Rais Samia aagiza wote waliotajwa kwa wizi wa Fedha za Umma kwenye Ripoti ya CAG washughulikiwe

Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
 
Anaweza? Hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..

Vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Acha kujifurahisha wewe....
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Mama tunaomba awashughulikie Barabara hao wahuni wanaoihujumu nchi Mimi namkubali Sana bi mkubwa anaweza Fanya kitu kikubwa kikabadilisha mustakabari wa Taifa letu maana najua yeye hayupo kwenye Ile cabinet ya mafisadi na wahuni hivyo achukue hatua Kali tuanze kujenga taifa jipya lisilo na makandokando ya wale wahuni wa awamu zilizopita!
Lala nao mbele aiseee tuna Imani nanyi!
Asante!
Naunga mkono hoja yako
 
Anaagiza washughulikiwe baada ya kuiita serikali yake kuwa ni serikali ya kifisadi.

Huu ni unafiki lakini pia ni indicative kuwa Samia siyo kiongozi kwa sababu huwezi kushughulikia wahalifu wanaofuja mali za uma baada ya hao waalifu kukuchukiza.

Hii maana yake ni kwamba hawa mafisadi wangetulia kimya na kula na kipofu wala wasingeguswa.She is hopeless inept.
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone

Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
Tutaelewana tu
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone

Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
Tanzania kama hizi report za CAG tungekuwa tunazifanyia kazi,nina uhakika wizi ungepungua. Tatizo letu mtu akipiga anahamishwa taasisi nyingine au anapelelwa mkoa mwingine. Matokeo unakuwa huja litatua tatizo.
 
Rais fisadi anaehamasisha ufisadi kwenye Serikali yake tena kupitia TV ya Taifa hana credibility ya kupambana na mafisadi.Akae kimya.
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone

Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
 
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...

"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"


==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,

Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.

Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone

Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Back
Top Bottom