AKASINOZO
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 1,367
- 2,217
Mseven adressing the nation
======
Rais Yoweri Museveni amewaonya wananchi wanaoenda kinyume na taratibu wakati huu wa vita dhidi ya #CoronaVirus akisema, Mungu ana kazi nyingi na hawezi kuwa Uganda tu akiwaangalia wajinga
Ameongeza kuwa Mungu amewalinda na hakuna kifo mpaka sasa, lakini anahitaji kuwaangalia watu wengine walio katika wakati mgumu
Amesema wamepewa taarifa za kutosha ili kujua namna ya kujilinda na kama watu hawafuati maelekezo, Mungu na Serikali hawawezi kulaumiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
======
Rais Yoweri Museveni amewaonya wananchi wanaoenda kinyume na taratibu wakati huu wa vita dhidi ya #CoronaVirus akisema, Mungu ana kazi nyingi na hawezi kuwa Uganda tu akiwaangalia wajinga
Ameongeza kuwa Mungu amewalinda na hakuna kifo mpaka sasa, lakini anahitaji kuwaangalia watu wengine walio katika wakati mgumu
Amesema wamepewa taarifa za kutosha ili kujua namna ya kujilinda na kama watu hawafuati maelekezo, Mungu na Serikali hawawezi kulaumiwa
Sent using Jamii Forums mobile app