Uganda siyo mapapai!Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuna uzembe umefanyika Maabara na kupelekea Watu kuambiwa wana corona wakati hawana >> tuna maambukizi 679 ya corona hadi sasa Uganda ila kati ya hawa Watu baadhi yao wameambiwa wana corona baada ya vipimo vya Maabara pale Makerere wakati hawana, Maabara imekosa umakini, inaonekana kuna wafanyakazi wachache Maabara na huenda walichoka”
•
Museveni anatoa kauli hii ukiwa umepita mwezi mmoja tangu Rais Magufuli aliposema vipimo vya maabara ya corona vina shida na kupelekea kuundwa kwa Tume ambayo ilithibitisha kauli ya JPM na hatua kuchukuliwa ikiwemo kuanza kutumika kwa Mabaara mpya, JPM alitoa kauli hiyo akiwa Chato May 03,2020 .
•
Rais Magufuli alisema>> "Kama tunapeleka Sampuli za wanyama bila wao kujua na zinakuwa positive inawezekana wafanyakazi wa Maabara wanatumika na Mabeberu, Kama mapapai, mbuzi wana corona, basi WHO wanapaswa kufanya kazi kubwa ya ziada, kwa hili lililotokea lazima Kuna watu wameambiwa wana corona wakati hawana"
#MillardAyoUPDATES
Uganda siyo mapapai!
Umeanza matusi eh! Muulize mama yako atakueleza kama mimi bodyline!Kwel ww akili yako ni bodyline
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuna uzembe umefanyika Maabara na kupelekea Watu kuambiwa wana corona wakati hawana >> tuna maambukizi 679 ya corona hadi sasa Uganda ila kati ya hawa Watu baadhi yao wameambiwa wana corona baada ya vipimo vya Maabara pale Makerere wakati hawana, Maabara imekosa umakini, inaonekana kuna wafanyakazi wachache Maabara na huenda walichoka”
Museveni anatoa kauli hii ukiwa umepita mwezi mmoja tangu Rais Magufuli aliposema vipimo vya maabara ya corona vina shida na kupelekea kuundwa kwa Tume ambayo ilithibitisha kauli ya JPM na hatua kuchukuliwa ikiwemo kuanza kutumika kwa Mabaara mpya, JPM alitoa kauli hiyo akiwa Chato May 03,2020 .
Rais Magufuli alisema>> "Kama tunapeleka Sampuli za wanyama bila wao kujua na zinakuwa positive inawezekana wafanyakazi wa Maabara wanatumika na Mabeberu, Kama mapapai, mbuzi wana corona, basi WHO wanapaswa kufanya kazi kubwa ya ziada, kwa hili lililotokea lazima Kuna watu wameambiwa wana corona wakati hawana"
HahahahahaMzee wa watu kavumilia weee.kaona mbona Kila siku wagonjwa wanazidi.
A kaona bora ajilipue
Nafikiri ni matatizo ya vipimo dunia nzima.Hata takwimu xa mabukixi yavorona mvhini Merikani xinatia shaka sana - si ajabu wapinzani wa Trump wamekula njama na baadhi ya wafanyakazi wa maabara ku-inflate idadi ya wagonjwa wa corona lengo lao likiwa ni kuwatia hofu wananchi ili wamuone Trump kashindwa kukabili maambukizi ya corona hivyo katika uchaguzi wa October Trump ashindwe katika kura za kuwania Uraisi kwa term ya pili, sioni kama Trump amekwisha shitukia mbinu hizo za wapinzani wake.
ASKOFU NI NANI?Usikariri
Gwajima hajawahi kuwa askofu.
Ni self proclaimed bishop ambaye wasiojielewa wanamuamini
Wewe ni Trumpet? Hii ni Lugha ya Trumpets.Hata takwimu xa mabukixi yavorona mvhini Merikani xinatia shaka sana - si ajabu wapinzani wa Trump wamekula njama na baadhi ya wafanyakazi wa maabara ku-inflate idadi ya wagonjwa wa corona lengo lao likiwa ni kuwatia hofu wananchi ili wamuone Trump kashindwa kukabili maambukizi ya corona hivyo katika uchaguzi wa October Trump ashindwe katika kura za kuwania Uraisi kwa term ya pili, sioni kama Trump amekwisha shitukia mbinu hizo za wapinzani wake.
Hii aina ya uandishi wa hivi,peleka huko Fesibuku sio humu JF.Hata takwimu xa mabukixi yavorona mvhini Merikani xinatia shaka sana - si ajabu wapinzani wa Trump wamekula njama na baadhi ya wafanyakazi wa maabara ku-inflate idadi ya wagonjwa wa corona lengo lao likiwa ni kuwatia hofu wananchi ili wamuone Trump kashindwa kukabili maambukizi ya corona hivyo katika uchaguzi wa October Trump ashindwe katika kura za kuwania Uraisi kwa term ya pili, sioni kama Trump amekwisha shitukia mbinu hizo za wapinzani wake.
*xa, mabukixi, yavorona mvhini,huu ujinga peleka kwenye magroup ya vikobaHata takwimu xa mabukixi yavorona mvhini Merikani xinatia shaka sana - si ajabu wapinzani wa Trump wamekula njama na baadhi ya wafanyakazi wa maabara ku-inflate idadi ya wagonjwa wa corona lengo lao likiwa ni kuwatia hofu wananchi ili wamuone Trump kashindwa kukabili maambukizi ya corona hivyo katika uchaguzi wa October Trump ashindwe katika kura za kuwania Uraisi kwa term ya pili, sioni kama Trump amekwisha shitukia mbinu hizo za wapinzani wake.
Wewe hapoASKOFU NI NANI?
Ndio mi ni Askofu.Wewe hapo