JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Rais Mstaafu Kikwete ashangaa kuibuka kwa Machifu Tanzania "Yarabi Toba"
Enzi za utawala wake:
Enzi za utawala wake:
SAMIA anam dissapoint mpaka Kikwete !!!
She is such a lightweight. No brains.
Unarudisha kitu ambacho hata mashuleni kilifundishwa kilifutwa kwa tangazo rasmi la kisheria na sababu zake zikaelezwa ??
Ila kama kuna kitu tunajivunia kama Watanzania ni kutokuwa wakabila na wadini.
CHADEMA wanajitahidi sana kuturudisha huko, kamwe tusiwaruhusu aisee.
Tusione dini na kabila kwenye kila kitu.
Asituletee mambo ya karata tatu, huyu na Hangaya lao moja.
Aendelee kushangaa,Chief mkuu wao ni Hangaya..
Ila kama kuna kitu tunajivunia kama Watanzania ni kutokuwa wakabila na wadini.
CHADEMA wanajitahidi sana kuturudisha huko, kamwe tusiwaruhusu aisee.
Tusione dini na kabila kwenye kila kitu.
kudos Kikwete kwa hili!