Jacob Zuma ajiunga na upinzani ili kupambana na chama kinachotawala cha ANC!

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,869
Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma (82), amezuiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Afrika Kusini ili asigombea Ubunge wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 29 Mei 2024. Mh. Jacob Zuma alitaka kugombea kupitia uMkhontho weSizwe (MK), chama kipya kilichosajiliwa karibuni kikitumia jina la Jeshi la msituni la zamani la ANC wakati wa kupigania Uhuru. Juhudi za ANC kutumia mahakama ili kuzuia usajili wa MK zimegonga mwamba baada ya mahakama kutupilia mbali hoja zao.

Katika Uchaguzi wa Afrika Kusini, wapiga kura hawachagui Rais, bali huchagua Wabunge 400 ambao baada ya siku 30 hukutana kumchagua Rais. Kwa ujumla, kiongozi wa chama ambacho kitapata Wabunge wengi ndiye aliye na fursa ya kuchaguliwa kuwa Rais na kuunda Serikali.

Kitendo cha Jacob Zuma kukiunga mkono MK kinafanya wachambuzi wa masuala ya siasa za Afrika Kusini waone Zuma anaweza kupunguza kura za ANC hasa pia katika Jimbo la Kwazulu Natal anakotoka yeye na kuifanya ANC kukosa kufikisha kura 50% kwa mara ya kwanza katika historia ya Uchaguzi wa kidemokrasia kutoka mwaka 1994.

Hayo yakitokea, inaweza kupelekea pia vyama vingine kuungana dhidi ya ANC kuunda Serikali mseto ili kuiondoa ANC kutoka madarakani. Hata hivyo, hata ANC yenyewe inaweza kuunda umoja na vyama vidogo vidogo ili pia kufikisha idadi ya kura ya asilimia 50% ili kuunda serikali.

Jacob Zuma alifungwa jela miezi 15 kwa kosa la kudharau mahakama. Sheria za Afrika Kusini zinamzuia mtu yeyote kugombea nafasi ye yote katika Uchaguzi Mkuu kama aliwahi kupatikana na jinai ya kifungo cha miaka miezi 12. Jacob Zuma anayo nafasi ya kuukatia rufaa uamuzi wa kumzuia kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Mei 2024.

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Machi 2024; saa 3:24 usiku

FB_IMG_1711722159033.jpg
 
Mwaka huu ni mwaka wenye chaguzi nyingi zaidi duniani kuliko wakati mwingine wowote ule!

Mwezi ujao India watakuwa na uchaguzi utakaodumu kwa siku 44!

Uingereza nao baadaye mwaka huu watakuwa na uchaguzi mkuu ambapo wanaelekea kumpasta waziri mkuu mpya, Sir Keir Starmer.

Funga kazi itakuwa Jumanne, Novemba 5, ambapo super bowl la chaguzi zote duniani litafanyika Marekani katika rematch kati ya Sleepy Joe Biden dhidi ya Donald J. Trump.

Hii ndo siku dunia nzima itasimama kuangalia mpambano utakaompata kiongozi ajaye wa Marekani, na by default, kiongozi wa dunia nzima.
 
Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma (82), amezuiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Afrika Kusini ili asigombea Ubunge wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 29 Mei 2024. Mh. Jacob Zuma alitaka kugombea kupitia uMkhontho weSizwe (MK), chama kipya kilichosajiliwa karibuni kikitumia jina la Jeshi la msituni la zamani la ANC wakati wa kupigania Uhuru. Juhudi za ANC kutumia mahakama ili kuzuia usajili wa MK zimegonga mwamba baada ya mahakama kutupilia mbali hoja zao.

Katika Uchaguzi wa Afrika Kusini, wapiga kura hawachagui Rais, bali huchagua Wabunge 400 ambao baada ya siku 30 hukutana kumchagua Rais. Kwa ujumla, kiongozi wa chama ambacho kitapata Wabunge wengi ndiye aliye na fursa ya kuchaguliwa kuwa Rais na kuunda Serikali.

Kitendo cha Jacob Zuma kukiunga mkono MK kinafanya wachambuzi wa masuala ya siasa za Afrika Kusini waone Zuma anaweza kupunguza kura za ANC hasa pia katika Jimbo la Kwazulu Natal anakotoka yeye na kuifanya ANC kukosa kufikisha kura 50% kwa mara ya kwanza katika historia ya Uchaguzi wa kidemokrasia kutoka mwaka 1994.

Hayo yakitokea, inaweza kupelekea pia vyama vingine kuungana dhidi ya ANC kuunda Serikali mseto ili kuiondoa ANC kutoka madarakani. Hata hivyo, hata ANC yenyewe inaweza kuunda umoja na vyama vidogo vidogo ili pia kufikisha idadi ya kura ya asilimia 50% ili kuunda serikali.

Jacob Zuma alifungwa jela miezi 15 kwa kosa la kudharau mahakama. Sheria za Afrika Kusini zinamzuia mtu yeyote kugombea nafasi ye yote katika Uchaguzi Mkuu kama aliwahi kupatikana na jinai ya kifungo cha miaka miezi 12. Jacob Zuma anayo nafasi ya kuukatia rufaa uamuzi wa kumzuia kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Mei 2024.

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Machi 2024; saa 3:24 usiku

View attachment 2948306
Fisi hata likizeeka haliachi tamaa ndio asili yake!
 
Mwaka huu ni mwaka wenye chaguzi nyingi zaidi duniani kuliko wakati mwingine wowote ule!

Mwezi ujao India watakuwa na uchaguzi utakaodumu kwa siku 44!

Uingereza nao baadaye mwaka huu watakuwa na uchaguzi mkuu ambapo wanaelekea kumpasta waziri mkuu mpya, Sir Keir Starmer.

Funga kazi itakuwa Jumanne, Novemba 5, ambapo super bowl la chaguzi zote duniani litafanyika Marekani katika rematch kati ya Sleepy Joe Biden dhidi ya Donald J. Trump.

Hii ndo siku dunia nzima itasimama kuangalia mpambano utakaompata kiongozi ajaye wa Marekani, na by default, kiongozi wa dunia nzima.
Nadhani ni just a week ago supa pawa Russia kulikuwa na general election Putin akichaguliwa kimya kimya kama monitor wa F2B.
 
Mwaka huu ni mwaka wenye chaguzi nyingi zaidi duniani kuliko wakati mwingine wowote ule!

Mwezi ujao India watakuwa na uchaguzi utakaodumu kwa siku 44!

Uingereza nao baadaye mwaka huu watakuwa na uchaguzi mkuu ambapo wanaelekea kumpasta waziri mkuu mpya, Sir Keir Starmer.

Funga kazi itakuwa Jumanne, Novemba 5, ambapo super bowl la chaguzi zote duniani litafanyika Marekani katika rematch kati ya Sleepy Joe Biden dhidi ya Donald J. Trump.

Hii ndo siku dunia nzima itasimama kuangalia mpambano utakaompata kiongozi ajaye wa Marekani, na by default, kiongozi wa dunia nzima.
Umesahau hapo jirani kwa mr slim PAKA mwaka huu.
 
Ziko nyingi this year (2024) - kule Senegal "kinda" machachari kaingia Ikulu na wake zake wawili. Kule Cameron Biya (91) anaombwa sana akubali kugombea tena kuelekea muongo wa 5 maana hakuna mwenye uwezo wa kuiongoza nchi zaidi yake!
Bangladesh walifanya uchaguzi wao January. Pakistan walifanya uchaguzi wao mwezi February!

Kwa ujumla, nchi 64, ziwakilisha takriban asilimia 49 ya idadi yote ya watu duniani, zitakuwa na chaguzi.
 
Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma (82), amezuiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Afrika Kusini ili asigombea Ubunge wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 29 Mei 2024. Mh. Jacob Zuma alitaka kugombea kupitia uMkhontho weSizwe (MK), chama kipya kilichosajiliwa karibuni kikitumia jina la Jeshi la msituni la zamani la ANC wakati wa kupigania Uhuru. Juhudi za ANC kutumia mahakama ili kuzuia usajili wa MK zimegonga mwamba baada ya mahakama kutupilia mbali hoja zao.

Katika Uchaguzi wa Afrika Kusini, wapiga kura hawachagui Rais, bali huchagua Wabunge 400 ambao baada ya siku 30 hukutana kumchagua Rais. Kwa ujumla, kiongozi wa chama ambacho kitapata Wabunge wengi ndiye aliye na fursa ya kuchaguliwa kuwa Rais na kuunda Serikali.

Kitendo cha Jacob Zuma kukiunga mkono MK kinafanya wachambuzi wa masuala ya siasa za Afrika Kusini waone Zuma anaweza kupunguza kura za ANC hasa pia katika Jimbo la Kwazulu Natal anakotoka yeye na kuifanya ANC kukosa kufikisha kura 50% kwa mara ya kwanza katika historia ya Uchaguzi wa kidemokrasia kutoka mwaka 1994.

Hayo yakitokea, inaweza kupelekea pia vyama vingine kuungana dhidi ya ANC kuunda Serikali mseto ili kuiondoa ANC kutoka madarakani. Hata hivyo, hata ANC yenyewe inaweza kuunda umoja na vyama vidogo vidogo ili pia kufikisha idadi ya kura ya asilimia 50% ili kuunda serikali.

Jacob Zuma alifungwa jela miezi 15 kwa kosa la kudharau mahakama. Sheria za Afrika Kusini zinamzuia mtu yeyote kugombea nafasi ye yote katika Uchaguzi Mkuu kama aliwahi kupatikana na jinai ya kifungo cha miaka miezi 12. Jacob Zuma anayo nafasi ya kuukatia rufaa uamuzi wa kumzuia kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Mei 2024.

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Machi 2024; saa 3:24 usiku

View attachment 2948306
Muisraeli anawawinda ANC vibaya mno. Kachukia sana Africa kusini kuipeleka Israel mahakaman ya kimataifa.
 
Bangladesh walifanya uchaguzi wao January. Pakistan walifanya uchaguzi wao mwezi February!

Kwa ujumla, nchi 64, ziwakilisha takriban asilimia 49 ya idadi yote ya watu duniani, zitakuwa na chaguzi.
Sahihi! Dunia ina nchi 195, ukiondoa chache, most of them uchaguzi ni kila baada ya miaka 5.

That means approx. kila mwaka nchi 195/5 = 39 zingepaswa kuwa na general elections.

But because of exceptions like nyingine uchaguzi ni kila baada ya miaka 4, 6, 7; au hadi kifo cha kiongozi; baada ya miaka kadhaa, kuna mwaka ambao nchi nyingi hujikuta zinafanya chaguzi. And 2024 happened to be one of those years!
 
Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma (82), amezuiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Afrika Kusini ili asigombea Ubunge wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 29 Mei 2024. Mh. Jacob Zuma alitaka kugombea kupitia uMkhontho weSizwe (MK), chama kipya kilichosajiliwa karibuni kikitumia jina la Jeshi la msituni la zamani la ANC wakati wa kupigania Uhuru. Juhudi za ANC kutumia mahakama ili kuzuia usajili wa MK zimegonga mwamba baada ya mahakama kutupilia mbali hoja zao.

Katika Uchaguzi wa Afrika Kusini, wapiga kura hawachagui Rais, bali huchagua Wabunge 400 ambao baada ya siku 30 hukutana kumchagua Rais. Kwa ujumla, kiongozi wa chama ambacho kitapata Wabunge wengi ndiye aliye na fursa ya kuchaguliwa kuwa Rais na kuunda Serikali.

Kitendo cha Jacob Zuma kukiunga mkono MK kinafanya wachambuzi wa masuala ya siasa za Afrika Kusini waone Zuma anaweza kupunguza kura za ANC hasa pia katika Jimbo la Kwazulu Natal anakotoka yeye na kuifanya ANC kukosa kufikisha kura 50% kwa mara ya kwanza katika historia ya Uchaguzi wa kidemokrasia kutoka mwaka 1994.

Hayo yakitokea, inaweza kupelekea pia vyama vingine kuungana dhidi ya ANC kuunda Serikali mseto ili kuiondoa ANC kutoka madarakani. Hata hivyo, hata ANC yenyewe inaweza kuunda umoja na vyama vidogo vidogo ili pia kufikisha idadi ya kura ya asilimia 50% ili kuunda serikali.

Jacob Zuma alifungwa jela miezi 15 kwa kosa la kudharau mahakama. Sheria za Afrika Kusini zinamzuia mtu yeyote kugombea nafasi ye yote katika Uchaguzi Mkuu kama aliwahi kupatikana na jinai ya kifungo cha miaka miezi 12. Jacob Zuma anayo nafasi ya kuukatia rufaa uamuzi wa kumzuia kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Mei 2024.

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Machi 2024; saa 3:24 usiku

View attachment 2948306
Ameishiwa pumzi
 
Kazi ya Zuma uchaguzi ujao ni kupunguza kura za ANC. Hii ni fursa nzuri kwa DA kuchukua nchi endapo wataitumia fursa vyema.
 
Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma (82), amezuiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Afrika Kusini ili asigombea Ubunge wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 29 Mei 2024. Mh. Jacob Zuma alitaka kugombea kupitia uMkhontho weSizwe (MK), chama kipya kilichosajiliwa karibuni kikitumia jina la Jeshi la msituni la zamani la ANC wakati wa kupigania Uhuru. Juhudi za ANC kutumia mahakama ili kuzuia usajili wa MK zimegonga mwamba baada ya mahakama kutupilia mbali hoja zao.

Katika Uchaguzi wa Afrika Kusini, wapiga kura hawachagui Rais, bali huchagua Wabunge 400 ambao baada ya siku 30 hukutana kumchagua Rais. Kwa ujumla, kiongozi wa chama ambacho kitapata Wabunge wengi ndiye aliye na fursa ya kuchaguliwa kuwa Rais na kuunda Serikali.

Kitendo cha Jacob Zuma kukiunga mkono MK kinafanya wachambuzi wa masuala ya siasa za Afrika Kusini waone Zuma anaweza kupunguza kura za ANC hasa pia katika Jimbo la Kwazulu Natal anakotoka yeye na kuifanya ANC kukosa kufikisha kura 50% kwa mara ya kwanza katika historia ya Uchaguzi wa kidemokrasia kutoka mwaka 1994.

Hayo yakitokea, inaweza kupelekea pia vyama vingine kuungana dhidi ya ANC kuunda Serikali mseto ili kuiondoa ANC kutoka madarakani. Hata hivyo, hata ANC yenyewe inaweza kuunda umoja na vyama vidogo vidogo ili pia kufikisha idadi ya kura ya asilimia 50% ili kuunda serikali.

Jacob Zuma alifungwa jela miezi 15 kwa kosa la kudharau mahakama. Sheria za Afrika Kusini zinamzuia mtu yeyote kugombea nafasi ye yote katika Uchaguzi Mkuu kama aliwahi kupatikana na jinai ya kifungo cha miaka miezi 12. Jacob Zuma anayo nafasi ya kuukatia rufaa uamuzi wa kumzuia kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Mei 2024.

Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 28 Machi 2024; saa 3:24 usiku

View attachment 2948306

Ingekuwa kwetu makamanda uchwara wangemnyanyapaa.
 
Back
Top Bottom