Rais Mstaafu Jacob Zuma aichoma mkuki wa moyoni ANC Afrika ya Kusini

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,305
24,200
JACOB ZUMA NA MKUKI WA UMKHOTO WeSIZWE NDANI YA ANC

Rais mstaafu Jacob Zuma wa South Africa aleta mtikisiko katika chama cha ANC baada ya kusema hataiunga mkono chama cha ANC bali atakiunga mkono chama kipya cha Umkhoto WeSizwe.

Tamko hilo ni kuwaambia watu kuwa wale wote ambao wanaunga mkono ANC, DA, EFF, PAC lakini hawafurahishwi sera za vyama hivyo basi want nafasi kuingia katika Umkhoto We Sizwe.

Rais mstaafu Jacob Zuma anasema ANC ya sasa siyo ile asilia bali kimetekwa nyara na Cyril Ramaphosa na mabwanyenye hivyo kuifanya ANC halisi kufa. Hivyo anatoa rai kwa wanaANC kuiunga mkono Umkhoto We Sizwe kuonesha kupiga ANC kunyakuliwa na mafisadi.

Je matamko ya Jacob Zuma kuelekea uchaguzi wa 2024. Tuangalie jimbo la KwaZulu Natal matokeo ya ANC yalianguka kutoka asilimia 66% Jacob Zuma alipokuwa rais lakini sasa ANC inacheza na asilimia 50% hivyo hii ina maana kuwa kwa kuangalia matokeo ya 2019 na 2021 ya KwaZulu Natal (KZN) chaguzi ndogo za serikali ya mitaa kupata asilimia 41.

Asasi tajwa ya EPOS POLL inabashiri kuwa uchaguzi wa 2024 ANC uchaguzi wa serikali za mitaa itaambulia asilimia 22 tu na hii itaipa wakati mgumu katika uchaguzi wa kitaifa.




Na pia tamko hili lina maana gani kwa chama kongwe ANC, pamoja na chama hiki kongwe kuwa na kila rasilimali na mifumo ya kukiwezesha kushinda uchaguzi lakini mgawanyiko atakaoleta Jacob Zuma kukuza makundi ndani ya ANC ndiyo umiza kichwa kwa uongozi wa ANC mpya chini ya rais Cyril Ramaphosa .

2017 ANC ilisisitiza umoja na mabadiliko (Unity and Changes), ndani ya chama. Msisitizo huo unaonesha sasa kutishia umoja na mabadiliko waliyokuwa wanayanadi kwa wanachama na mashabiki wa ANC baada ya shutuma nzito za rais mstaafu Jacob Zuma kuwa ANC ya sasa imesaliti maagano ya mwanzo juu ya sababu za kuunda ANC huko nyuma.

How Jacob Zuma’s announcement of MK Party could shake up SA’s 2024 election…


View: https://m.youtube.com/watch?v=f8EcoWPAf2M
Source : SMWX
 
Johannesburg, South Afrika

2024 Elections : ANC, alliance partners note Zuma's move to support The New MK PARTY


View: https://m.youtube.com/watch?v=uOgw5cD5snE
The governing party has noted its former President Jacob Zuma ditching the ANC electorally for the new MK party. ANC President Cyril Ramaphosa says his predecessor is free to express his political views and vote like all other South Africans. COSATU says Zuma's decision not to campaign or vote for the ANC is a non-issue.
Source : SABC News
 
CHAMA CHA ANC CHATISHIA KWENDA MAHAKAMANI JUU YA JACOB ZUMA KUTUMIA NEMBO NA JINA LA NEW MK PARTY

Mawakili wa chama kongwe cha ANC - African National Congress wamemwandikia mwanzilishi wa chama cha siasa cha Umkhonto weSizwe wakikitaka kukomesha kutumia jina na nembo ya MK, au hatua za kisheria zitachukuliwa.

Rais wa zamani Jacob Zuma alitangaza kukiunga mkono Chama cha Umkhonto weSizwe katika uchaguzi mkuu wa 2024 kiliposajiliwa na IEC mwezi Septemba 2023.

ANC inadai kuwa jina hilo ni chapa ya haki miliki ya kisiasa ya mrengo wa jumuiya ya wapiganaji vita wa ANC uliyovunjwa wa uMkhonto weSizwe War Veterans.
1703344902274.png

Image and history of Umkhoto WeSizwe ("Spear of the Nation") or 'MK' ..... source : uMkhonto weSizwe (MK) | South African History Online


View: https://m.youtube.com/watch?v=WsE-_XPy_0k

Legal representatives of the African National Congress have written to the founder of the uMkhonto weSizwe political party demanding that it cease to use the MK name and logo, or legal action will be instituted.Former president Jacob Zuma announced his endorsement for the uMkhonto weSizwe Party in the 2024 general elections when it was registered with the IEC in September. The ANC argues that the name is a trademark of the party’s now disbanded uMkhonto weSizwe War Veterans wing.
 
ANC KZN JIMBO LA KWA-ZULU -NATAL LATOA TAMKO ZITO , HATUA YA JACOB ZUMA NI UTOVU WA KINIDHAMU


View: https://m.youtube.com/watch?v=MdWxxladtdY

ANC jimbo la KwaZulu Natal kupitia katibu wa chama Bw. Bheki Mtolo yasema hatua hiyo ya mwanachama wao rais mstaafu Jacob Zulu ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu na adhabu yake ni kufutiwa na kutimuliwa kutoka chama hicho kongwe cha ukombozi cha ANC wamesema viongozi katika press conference.

Chama kongwe cha kisiasa cha ANC kina matawi na mitandao katika majimbo yote nchini Afrika ya Kusini na inategemewa viongozi wengine wa chama kuendelee kutoa matamko ya kulaani, hatua ya kada huyo kingunge kigogo mkongwe maarufu kwa raia wanyonge wa Afrika ya Kusini rais mstaafu veterani komredi Jacob Zuma.

Ma veterani na makomredi akiwemo Dennis Bloem waongea kuhusu uamuzi wa mkongwe mwenzao Jacob Zuma


View: https://m.youtube.com/watch?v=LQdafwg7zsM
 
09 April 2024

Jacob Zuma ashida Rufaa yake Dhidi ya Tume Ya Uchaguzi IEC iliyoengua jina lake .


View: https://m.youtube.com/watch?v=esGw__mAKDw

Msemaji wa MK Party bwana Nhlamulo Ndhlela amesema ushindi huu siyo kwa Jacob Zuma tu bali pia kwa chama chake cha MJ Party pia raia wengine wa South Africa waliochoka utawala wa chama cha ANC.

Wanasheria wa Zuma wameweza kuishawishi mahakama kuwa jukumu la Tume ya Uchaguzi ni kusimamia mchakato wa uchaguzi na kupokea majina ya wagombea na wala siyo kukata majina au kusema huyu au yule hafai.

Jukumu la kumuengua mgombea huamuliwa na mahakama pekee huku mujibu wa Section 47 ya sheria ya ikiyounda Tume ya Uchaguzi imesema wazi ni kusimamia uchaguzi, mchakato wa uchaguzi na kupokea majina ya wagombea .

2024 Elections | Zuma wins appeal against IEC disqualification: MK party Spokesperson weighs in

We are joined here in studio by the MK Party Spokesperson Nhlamulo Ndhlela.
 
Yeah definitely ANC wamepelekwa kwa naughty corner,uchaguzi wa 29th May,kuna kila dalili watapata chini ya 50%,majimbo ya Gauteng na Natal ni battle grounds,wakipoteza mikoa hii itakua pigo sana kwao maana Western province walishapoteza miaka kibao iliyopita,,hope's chairman wangu wa NEC hapa nchini atakwenda kule ajionee jinsi uchaguzi huru na wa haki unavyofanyika SIO ushenzi wa hapa halafu tunauita eti ni uchaguzi
 
JACOB ZUMA NA MKUKI WA UMKHOTO WeSIZWE NDANI YA ANC

Rais mstaafu Jacob Zuma wa South Africa aleta mtikisiko katika chama cha ANC baada ya kusema hataiunga mkono chama cha ANC bali atakiunga mkono chama kipya cha Umkhoto WeSizwe.

Tamko hilo ni kuwaambia watu kuwa wale wote ambao wanaunga mkono ANC, DA, EFF, PAC lakini hawafurahishwi sera za vyama hivyo basi want nafasi kuingia katika Umkhoto We Sizwe.

Rais mstaafu Jacob Zuma anasema ANC ya sasa siyo ile asilia bali kimetekwa nyara na Cyril Ramaphosa na mabwanyenye hivyo kuifanya ANC halisi kufa. Hivyo anatoa rai kwa wanaANC kuiunga mkono Umkhoto We Sizwe kuonesha kupiga ANC kunyakuliwa na mafisadi.

Je matamko ya Jacob Zuma kuelekea uchaguzi wa 2024. Tuangalie jimbo la KwaZulu Natal matokeo ya ANC yalianguka kutoka asilimia 66% Jacob Zuma alipokuwa rais lakini sasa ANC inacheza na asilimia 50% hivyo hii ina maana kuwa kwa kuangalia matokeo ya 2019 na 2021 ya KwaZulu Natal (KZN) chaguzi ndogo za serikali ya mitaa kupata asilimia 41.

Asasi tajwa ya EPOS POLL inabashiri kuwa uchaguzi wa 2024 ANC uchaguzi wa serikali za mitaa itaambulia asilimia 22 tu na hii itaipa wakati mgumu katika uchaguzi wa kitaifa.




Na pia tamko hili lina maana gani kwa chama kongwe ANC, pamoja na chama hiki kongwe kuwa na kila rasilimali na mifumo ya kukiwezesha kushinda uchaguzi lakini mgawanyiko atakaoleta Jacob Zuma kukuza makundi ndani ya ANC ndiyo umiza kichwa kwa uongozi wa ANC mpya chini ya rais Cyril Ramaphosa .

2017 ANC ilisisitiza umoja na mabadiliko (Unity and Changes), ndani ya chama. Msisitizo huo unaonesha sasa kutishia umoja na mabadiliko waliyokuwa wanayanadi kwa wanachama na mashabiki wa ANC baada ya shutuma nzito za rais mstaafu Jacob Zuma kuwa ANC ya sasa imesaliti maagano ya mwanzo juu ya sababu za kuunda ANC huko nyuma.

How Jacob Zuma’s announcement of MK Party could shake up SA’s 2024 election…


View: https://m.youtube.com/watch?v=f8EcoWPAf2M
Source : SMWX

Safi sana
 
Hivi na kile Chama cha Oparesheni Dudula bado kinataka kufukuza Wageni wote Waafrika kutoka Sauzi?
 
Msemaji wa MK Party bwana Nhlamulo Ndhlela amesema ushindi huu siyo kwa Jacob Zuma tu bali pia kwa chama chake cha MJ Party pia raia wengine wa South Africa waliochoka utawala wa chama cha ANC.

Wanasheria wa Zuma wameweza kuishawishi mahakama kuwa jukumu la Tume ya Uchaguzi ni kusimamia mchakato wa uchaguzi na kupokea majina ya wagombea na wala siyo kukata majina au kusema huyu au yule hafai.

Jukumu la kumuengua mgombea huamuliwa na mahakama pekee huku mujibu wa Section 47 ya sheria ya ikiyounda Tume ya Uchaguzi imesema wazi ni kusimamia uchaguzi, mchakato wa uchaguzi na kupokea majina ya wagombea .

TUME HURU YA UCHAGUZI YA TAIFA

Tanzania ina la kujifunza kuputia hukumu hii ya kihistoria ya mahakama ya Afrika ya Kusini kuwa Tume ya Uchaguzi isiwe kikwazo bali majukumu yake ni wezeshi kufanikisha mchakato mzima wa uchaguzi na kama kuna malalamiko juu ya majina ya wagombea basi Mahakama tu ndiyo inaweza kusema nani anafaa na nani ametimiza vigezo kukiwepo pingamizi
 
Safi sana

Kuna la kujifunza Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania kuhusu ya uchafuzi wa uchaguzi wa 2020

Wagombea Ubunge wa CHADEMA walioenguliwa wapo zaidi ya wiki moja Dodoma Ofisi za Tume ya Uchaguzi​

1 September 2020
Dodoma, Tanzania

Bila Uwoga SUGU ailipua TUME ya UCHAGUZI, Amtaja Katibu wa CCM, - "Amani ya nchi Ipo mikinoni Mwao"



Wabunge Wa CHADEMA Walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi Katika Majimbo Mbalimbali Wamekutana Na Waandishi Wa habari jijini Dodoma Kuiomba Tume Ya Uchaguzi Kutoa Majibu Ya Rufaa Walizokata... kwa ujumla kuna wabunge na madiwani jumla yao zaidi ya 1, 000 wapo Dodoma wakifuatilia rufani walizokata Tume ya Uchaguzi.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi abainisha Mbeya mjini madiwani 16 wameenguliwa, aiasa Tume ya Uchaguzi Taifa kuwa wana dhamana kubwa kuhakikisha rufani za wagombea ubunge walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo mbalimbali zinatendewa haki kwa haraka ili wakaendelee na kampeni za kunadi sera na kuomba kuchaguliwa na wananchi.

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA anasema Hali ya kisiasa ni mbaya sana inatishia amani kutokana na Ma-DC na DED kuvuruga mchakato wa uchaguzi na ndiyo maana wapo Dodoma kuipatia Tume ya Uchaguzi ukweli wa kilichofanyika ktk kuenguliwa kihuni na Wasimamizi wa Uchaguzi walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi kusimamia zoezi hilo muhimu ktk majimbo mbalimbali nchini.


2 September 2020

Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea

 

09 April 2024​

DEFEND TRUTH​

ROAD TO 2024 ELECTIONS​

MK party wins Electoral Court case to allow Jacob Zuma onto the ballot to contest elections​

MK party wins Electoral Court case to allow Jacob Zuma onto the ballot to contest elections

Illustrative image | Former South African president Jacob Zuma. (Photos: Ihsaan Haffejee / AFP | Gallo Images / Fani Mahuntsi)
By Queenin Masuabi

09 Apr 2024


The Electoral Court has upheld the appeal by the MK party in its bid to keep former president Jacob Zuma on its parliamentary candidate list.​


Listen to this article


0:00 / 5:59
1X
BeyondWords
The uMkhonto Wesizwe (MK) party has continued its winning streak in the courts and will ensure that the face of its campaign, former president Jacob Zuma, is not removed from its Parliamentary lists.


The Electoral Court ruled on Tuesday afternoon that it was granting the MK party leave to appeal and that the objection against Zuma’s candidacy to become a Member of Parliament had been set aside.

“The application for leave to appeal is granted. The appeal succeeds. The decision of the Electoral Commission of 28 March 2024 in terms of which the Electoral Commission upheld Dr [Maroba] Matsapola’s objection to the second applicant’s candidacy (Mr Zuma) is set aside and substituted with the following: ‘The objection is hereby dismissed’,” the order reads.
Zuma is an integral part of the MK party’s campaign as he has drawn large crowds and support for the party, which was officially registered in September 2023.

However, his appearance on the party’s candidate list came under scrutiny as Zuma appeared to violate the provision in the Constitution that bars candidates who have received a 12-month or more prison sentence, without the option of a fine, within the last five years. A member of the public objected to Zuma’s nomination and the IEC upheld the objection, leading to the MK party appealing in the matter.

Appeal ‘futile’

Election expert and former IEC commissioner Terry Tselane told Daily Maverick that the order handed down by the Electoral Court came as no surprise.

“For me, instead of actually dealing with the merits, just in terms of the procedure after saying that the IEC has the legal powers to administer section 47 of the Constitution that deals with the National Assembly, it has nothing to do with the IEC.

“This is not the first time that a case like this has gone to the Electoral Court. Remember there was an objection against the candidacy of Winnie Mandela in 2009 and the Electoral Court also dismissed the objection and allowed Mrs Mandela to become a candidate,” he said
 
9 April 2024

📚 Today’s Episode Features:

1. Former President Jacob Zuma
2. Electoral Court Case

Zuma vs IEC: MK Party scores major VICTORY in Electoral Court case​

In today’s emergency episode, we unpack the Former President Jacob Zuma's victory in the Electoral Court today. Dr Sizwe Mpofu-Walsh unpacks the arguments that were presented before court and the potential consequences we could see as a result of this order that was delivered today Zuma makes it onto the MK list for Parliament.


View: https://m.youtube.com/watch?v=TWjQg0Iz04c
Source : SMWX
 
Back
Top Bottom