ANC ya Afrika Kusini yaazimia kujitoa mahakama ya ICC

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,628
46,274
ANC, Chama tawala cha muda wote nchini Afrika Kusini kimeazimia kujitoa katika mahakama ya ICC sababu mojawapo ikiwa ni mahakama hiyo kutoa waranti ya kukamatwa kwa Putin, Rais wa Urusi.

Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Rais wa Africa Kusini, Cyril Ramaphosa. Huu ni muendelezo wa uharibifu wa nchi hiyo kutokana na chama hicho kukumbatia uhalifu, rushwa na ufisadi.

Hata hivyo hii sio mara ya kwanza kwa ANC kusema hivyo, iliwahi kuazimia jambo kama hilo mwaka 2015.
 
ANC ni kama Ccm tu, walishapoteza muelekeo kitambo.
ANC, Chama tawala cha muda wote nchini Afrika Kusini kimeazimia kujitoa katika mahakama ya ICC sababu mojawapo ikiwa ni mahakama hiyo kutoa waranti ya kukamatwa kwa Putin, Rais wa Urusi.

Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Rais wa Africa Kusini, Cyril Ramaphosa. Huu ni muendelezo wa uharibifu wa nchi hiyo kutokana na chama hicho kukumbatia uhalifu, rushwa na ufisadi.

Hata hivyo hii sio mara ya kwanza kwa ANC kusema hivyo, iliwahi kuazimia jambo kama hilo mwaka 2015.
 
ANC, Chama tawala cha muda wote nchini Afrika Kusini kimeazimia kujitoa katika mahakama ya ICC sababu mojawapo ikiwa ni mahakama hiyo kutoa waranti ya kukamatwa kwa Putin, Rais wa Urusi.

Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Rais wa Africa Kusini, Cyril Ramaphosa. Huu ni muendelezo wa uharibifu wa nchi hiyo kutokana na chama hicho kukumbatia uhalifu, rushwa na ufisadi.

Hata hivyo hii sio mara ya kwanza kwa ANC kusema hivyo, iliwahi kuazimia jambo kama hilo mwaka 2015.
Nadhani wazungu wanajuta kubaki south africa, wanatamani wangekuwa wameenda nchi nyingine sio kwa upuuuzi unaofanywa na wazawa
 
Nadhani wazungu wanajuta kubaki south africa, wanatamani wangekuwa wameenda nchi nyingine sio kwa upuuuzi unaofanywa na wazawa
Wazungu wanaishi kwenye maeneo salama sana yenye ulinzi mkali, wanaendelea na biashara zao za ndani ya nchi na kimataifa vizuri tu, watu weusi wanaoishi huko changanyikeni ndio maisha ya hovyo. Ajira, usalama, maji, umeme vyote ni kupambania kufa na kupona.
 
ANC, Chama tawala cha muda wote nchini Afrika Kusini kimeazimia kujitoa katika mahakama ya ICC sababu mojawapo ikiwa ni mahakama hiyo kutoa waranti ya kukamatwa kwa Putin, Rais wa Urusi.

Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Rais wa Africa Kusini, Cyril Ramaphosa. Huu ni muendelezo wa uharibifu wa nchi hiyo kutokana na chama hicho kukumbatia uhalifu, rushwa na ufisadi.

Hata hivyo hii sio mara ya kwanza kwa ANC kusema hivyo, iliwahi kuazimia jambo kama hilo mwaka 2015.
Ukro nazi unaumia
 
Acha wajitoe. hiyo mahakama ni ya tutaifa tudogodogo... mataifa yote makubwa hayahusiki na hiyo mahakama... South Africa sasa imekua hiyo mahakama waziachie nchi ndogondogo kama Tanzania.
 
ANC, Chama tawala cha muda wote nchini Afrika Kusini kimeazimia kujitoa katika mahakama ya ICC sababu mojawapo ikiwa ni mahakama hiyo kutoa waranti ya kukamatwa kwa Putin, Rais wa Urusi.

Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Rais wa Africa Kusini, Cyril Ramaphosa. Huu ni muendelezo wa uharibifu wa nchi hiyo kutokana na chama hicho kukumbatia uhalifu, rushwa na ufisadi.

Hata hivyo hii sio mara ya kwanza kwa ANC kusema hivyo, iliwahi kuazimia jambo kama hilo mwaka 2015.
Mbona kiongozi wa demokrasia duniani amekataa kujiunga na mahakama hiyo anacho hofia ni nini?
 
ANC, Chama tawala cha muda wote nchini Afrika Kusini kimeazimia kujitoa katika mahakama ya ICC sababu mojawapo ikiwa ni mahakama hiyo kutoa waranti ya kukamatwa kwa Putin, Rais wa Urusi.

Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Rais wa Africa Kusini, Cyril Ramaphosa. Huu ni muendelezo wa uharibifu wa nchi hiyo kutokana na chama hicho kukumbatia uhalifu, rushwa na ufisadi.

Hata hivyo hii sio mara ya kwanza kwa ANC kusema hivyo, iliwahi kuazimia jambo kama hilo mwaka 2015.
Safi sana na nina imani nchi nyingi zitafuata mkondo. South Africa imeonysha mfano. Mahakama ya kipumbavu sana hii na inatumika kisiasa sana
 
Wazungu wanaishi kwenye maeneo salama sana yenye ulinzi mkali, wanaendelea na biashara zao za ndani ya nchi na kimataifa vizuri tu, watu weusi wanaoishi huko changanyikeni ndio maisha ya hovyo. Ajira, usalama, maji, umeme vyote ni kupambania kufa na kupona.
Wasipojiangalia wazungu watarudi madarakani
 
Kijana wa Putin uyo hakuna wa kumgusa. Ana full guarantee ya ulinzi.
Gadafi alikuwa mtu wa karibu sn na Putin hadi draft walikuwa wanacheza pamoja lkn wkt ulipofika na west kumchoka lilitengenezwa zengwe na Sasa hayupo duniani.

Urusi hajaweza kuwa protect watu wake hata yy mwenyewe anahitaj kujilinda kwakuwa NATO tayari wameshamkaribia ss.
 
Rama atapigwa figisu moja matata sana...Dunia ya leo inataka acheze kwa makini sana siyo kutaka kuonekana kwa majirani.
Ofisi ya Rais SA imekanusha kuwa SA inataka kujitoa ICC.
..matamshi ya Rais yalikuwa maoni yake na sio ya Nchi au ya ANC.

Afrika Kuna shida ya afya ya akili kwa Viongozi wake
 
Back
Top Bottom