Hivi kuna kiongozi wa Tanzania ambaye keshawahi kupingwa na kukosolewa humu kumzidi Kikwete?
Uhai karibu wote wa JF Kikwete ndo alikuwa rais na watu tumemsema sana humu.
Sasa sijui unazungumzia watu gani hasa ambao walikuwa kimya wakati wa enzi zake.
..anayesema Nyani Ngabu ulikuwa kimya wakati wa JK anakuonea.
..lakini Magufuli si ndiyo alikuwa kinara wa kumsifia Kikwete na kumponda na kumbeza kila aliyekuwa akikosoa utawala wa Kikwete?
..sasa yupi ana afadhali? Yule aliyekaa kimya, au yule aliyekuwa akimsifia Kikwete?
..wa-Tz tuna a very short memory. Na ni wepesi zaidi kutekwa kimawazo.
Cc macho_mdiliko