MZALENDO ORIGINAL
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 375
- 151
MTANYOOKA TU BADO MLIZOEA KUBEMBELEZA HERE KAMA MMEFANYA UFSADIHivi ni mimi tu au na wengine mpo mnaoona kama vile mambo yashamshinda huyu Magufuli?
Kuna hali fulani hivi naiona ambapo jamaa ni kama anaamka tu kila asubuhi na kutoa maamuzi ya kukurupuka kurupuka.
Yaani yeye ni amri tu....fanya hivi....fukuza huyu....twende kule...nk.
Yapo baadhi ambayo ni mazuri ambapo mtu unaona kabisa hapa nia ni nzuri lakini mengine yana ukakasi kidogo.