Nyani Ngabu ,
..mimi huyu nilishamshtukia tangu zamani.
..nilishaonya hapa JF kwamba Magu haamini ktk demokrasia ya vyama vingi na uhuru wa kutoa mawazo.
..nilishaonya kwamba ana dalili za ukatili. Kwamba akitekeleza sheria anafanya hivyo huku akikomoa.
..tulizungumzia tabia yake ya kutopima madhara ya kauli zake ktk majukwaa.
..tukio la mwisho lilikuwa lile la kuvaa KOMBAT za JWTZ. Binafsi tukio lile confirmed my suspicions kuhusu namna ambavyo atatawala.
..Ni kweli tulihitaji kiongozi who is very ASSERTIVE. lakini tumefanya makosa kutokuchagua wabunge wengi wa upinzani ambao wangeweza kumrudisha ktk mstari pale anapovuka mipaka ya madaraka yake.
NB.
..kuna tatizo ktk process ya kumpata Raisi kuanzia kwenye vyama vyetu vya siasa.
..mchakato ungekuwa wa wazi tungeweza kutambua tabia na mwelekeo wa wagombea Uraisi mapema.
..DEBATES pia zingetusaidia kuchuja wagombea na kupata mtu sahihi.