Rais Magufuli unawatesa walinzi wako

Rais Magufuli unawatesa walinzi wako

Acha kusifia Ujinga. Kuna msemo unasema " Kama Elimu ni gharama, Jaribu Ujinga"

Kumbuka Usalama ni gharama. Ili uweze kuwa Salama ni lazima uwe stable, reliable and trustworthy. Ni lazima usome Mazingira na nyakati hata kama unawalinzi wa namna gani...,

Unadhani "Commando Mamadou Toure" hakuwa na walinzi pale Beni wakati anauwawa? Uliza aliuliwa na watu gani? Na kifaa gani kilimuua?

Hakuna watu wanafki kama warwanda. Nimekaa Congo na jirani ya maeneo ya Rwanda; I understand these people very well.

Kuna vitu vya kupunguza gharama , na vitu vingine sio vya kupunguza gharama.

Anachofanya Rais ni kutafuta sifa kwa kujifanya baharia ( kurisk maisha) ; kuishi kwa mazoea wakati ulimwengu umebadilika.

Waovu wa sasa wanatafuta headlines na si kitu kingine. Safari kama hizo hapaswi kuzitangaza , ; atangeze zile anazokwenda na ndege.

Mnawapa Magaidi opportunity na hamu ya kuwekeza TANZANIA...,

Ushauri; Afanye kama Rais wa Cameron, yeye huwa anasafiri , mfano ;- kutoka Mwanza hadi dodoma hupanda gari huku akiwa na wanajeshi wakutosha then wakati wa kurudi hupanda ndege; safari zake za gari huwa hazitangazwi

MAGUFULI aache kutafuta sifa mpaka kwenye mambo ya Usalama. Ukibana gharama mpaka kwenye Usalama maana yake nini?
kaka ndivyo atakavyo famya wakati wa kuridi atapanda mdege. over
 
Mkuu nenda kajaribu kujificha kichakani na propela lako kesho uje utupe mrejesho! kama kabla ya kutoka nyumban kwako ushakalishwa chini ya ulinzi

..nadhani mtoa mada katoa kama angalizo tu, tusimbeze ana maanisha katika hilo
 
Walinzi ndio washauri wake wa hayo mambo wanaoshauri hivyo kuwa asafirije.Fani za watu hizo achana nazo.

Usafiri hata wa anga kabla ya kusafiri wanausalama lazima wakwambie tumia.Hata angani si salama hujasikia maraisi ndege zao kutunguliwa.

Walinzi wanajua cha kufanya waachie kazi yao.Si watu wa kuchoka hovyo.Walinzi wa RAISI UNAFIKIRI ni sawa na walinzi wa CHADEMA wale wanaovaa miwani ya kuchomea magrill?

CHEKI WALINZI WA CHADEMA NA MIWANI YAO YA KUCHOMEA VYUMA
Mbeya3.jpg

YEHODAYA hata mtu akishauri jambo la msingi we unaiwaza CDM inaonekana wanakunyima usingizi eh.
Vumilia tu utazoea kuishi na mtoto wa kambo kwani hawaepukiki
 
Acha kusifia Ujinga. Kuna msemo unasema " Kama Elimu ni gharama, Jaribu Ujinga"

Kumbuka Usalama ni gharama. Ili uweze kuwa Salama ni lazima uwe stable, reliable and trustworthy. Ni lazima usome Mazingira na nyakati hata kama unawalinzi wa namna gani...,

Unadhani "Commando Mamadou Toure" hakuwa na walinzi pale Beni wakati anauwawa? Uliza aliuliwa na watu gani? Na kifaa gani kilimuua?

Hakuna watu wanafki kama warwanda. Nimekaa Congo na jirani ya maeneo ya Rwanda; I understand these people very well.

Kuna vitu vya kupunguza gharama , na vitu vingine sio vya kupunguza gharama.

Anachofanya Rais ni kutafuta sifa kwa kujifanya baharia ( kurisk maisha) ; kuishi kwa mazoea wakati ulimwengu umebadilika.

Waovu wa sasa wanatafuta headlines na si kitu kingine. Safari kama hizo hapaswi kuzitangaza , ; atangeze zile anazokwenda na ndege.

Mnawapa Magaidi opportunity na hamu ya kuwekeza TANZANIA...,

Ushauri; Afanye kama Rais wa Cameron, yeye huwa anasafiri , mfano ;- kutoka Mwanza hadi dodoma hupanda gari huku akiwa na wanajeshi wakutosha then wakati wa kurudi hupanda ndege; safari zake za gari huwa hazitangazwi

MAGUFULI aache kutafuta sifa mpaka kwenye mambo ya Usalama. Ukibana gharama mpaka kwenye Usalama maana yake nini?
Wabongo bana ni sheeedah!!!

Mwaka jana Serikali ilinunua magari ya washawasha mamia...mkatokwa na mapofu hapa eti ni gharama kubwa....

Leo mnasema haijarishi gharama kubwa katika kuwekeza kwenye usalama...vijana wa ufipa acheni uzwazwa...
 
Ni hatari kwa umbali huo kusafiri kwa njia ya barabara hasa ukanda huo ambao una matukio ya utekaji wa Mara kwa Mara
Inaelekea mleta mada ana nia njema japo heading ingefaa iwe...safari ya saa 6 si salama kwa rais kwa kutumia barabara...badala ya kusema anatesa walinzi
 
Tena Kwa TAARIFA Yako Presidential Protection TEAM Yake Inafurahi Mno Kutembea Kwa Barabara Na Mkubwa Wao Ili Wamwonyeshe Kuwa SERIKALI Yake Kamwe Haikupoteza Pesa Zake Kuwapekeleka Kusoma au Kufanya Hayo MAFUNZO Yao Ya KIULINZI. Sitaki Niende Deep Kwani Watakuja Humu Wenyewe WABOBEZI Wa Hii Kitu Ila Kwa UPEO Wangu Mdogo au Haba Wa Masuala Ya ULINZI Wa Marais Ni Kwamba KIITIFAKI Kila Kitu Chake HURATIBIWA Mapema Sana Na Kwa UANGALIFU Mkubwa Wa Madhara au Faida Na Ukiona Mpaka Rais Anapita Mahala Fulani Basi Jua WANAMUME Walishajiridhisha KIUSALA Kwa Mapana Yake. Na Usisahau Pia Kuwa Hata Anapokuwa Anasafiri Kwa Barabara AMINI USIAMINI Humo Njiani Kote Hasa Yale Maeneo HATARISHI ( Kijajusi Huita POTENTIAL TARGETS ) Zote WANAMUME Huwa Hapo Huku Maeneno Mengine Na Hata Katika MSAFARA Wake Wakiwemo WANAMUME Kadhaa Wa Njia Panda Na Mdaula au Bwawani Ambao WAKIAMUA Dar es Salaam Wote TULALE Saa 12 Jioni Inakuwa Hivyo Kutokana Na Shughuli Yao Ya KUTUKUKA Ambayo Hata WAASI Wa M23 Kule Congo Kinshasa WANAIJUA Na KUITAMBUA. Mwisho Usisahau Mkuu Kuwa Hakuna Watu LOYAL Na Patriotic Kwa Nchi Yao au AMIRI JESHI MKUU Wao Kama Hao ( WANAMUME ) Wa Makumbusho Na Makao Makuu Upanga Na Amini Kuwa Rais Wako Yupo 100% Safe Na Hakuna TAKATAKA Yoyote Awe Yupo Tanzania au Nje Ya Tanzania Anaweza KUMDHURU Kwa Njia Yoyote Ile. INTELLIGENCE Ya TANZANIA Ni Very Extraordinary Hasa Katika VIP PROTECTION. Sisi Wenyewe Huku Kwetu Nchini Rwanda Nilipo Sasa Tunawaonea WIVU!
Makumbusho wanaume kweli hasa waleeee ......
 
yaani ninyi watu waajabu kweli....sasa mlitegeshea apande ndege....muanze kumponda juu ya kauli yake kuwa 'haiwezekani abiria kutoka sehemu fulan kwenda sehemu nyingine wasafirishwe kwa ulinzi wa askari...."

Rais anasema anachokitembea/ he talks the walks.
 
Kwani RPG hazifiki angani? Acheni watu wafanye kazi zao
 
Nahisi kuna kikundi Fulani cha watu wabaya mipango yako ya kumdhuru JPM imetibuliwa.walidhani atatumia usafiri wa anga kwenda Rwanda.hongereni wanausalama wetu kwa kutibua mipango ovu ya maadaui wa rais.
 
Asilimia zaidi ya 95 ya watu wa Usalama Tanzania wanaishi chini ya Hisia zao. Wengi sana wana amini katika Elimu ya vitu vinavyoonekana, ; hawana Elimu ya vitu visivyoonekana; Wengi hawana Visions ( Sense Knowledge Truth + Revelation Truth) . Wengi sana ni wajuaji, walevi, Malaya, wabishi, wala Rushwa,

Hayo ndiyo yanaendelea kuwafanya akili zao kuwa tegemezi; I mean , kila kitu kutegemea kufundishwa na Adui au kuiga kutoka kwa watu wengine. Sio wabunifu !!!

Duu huu uzi nilitaka nipite kimya ila huku unakoelekea sasa sijui
 
ni kweli ni risk sana,unajua kuna watu wanadhani wale walinzi ni miungu watu.na hao pia wanafanya sana makosa kiutendaji na issue ya usalama wako kwa wenye imani ni Mungu pekee ndie anajua.Juzi hapa Marekani wamekiri kuwa suala usalama kwa dunia ya sasa na technology ni threat kubwa sana.
 
Magufuli anawatesa kila mtu kwa moja kwa moja au indirect..... mambo mtaani magumu .... biashara haziend... mzigo hautoki kama zamani dukani... ni miez sita tu kashika hatamu na mambo yashaanza kuzingua.
wadhamini wetu washaanza kusepa, bandarini shughuli za kibiashara zinashuka kwa asilimia kubwa tu....

niko nje ya mada lakini Rais wangu inabidi aangalie vizuri kuhusu kupunguza government expenditure kuna athali gani kwa sekta binafsi

Hahahah!!! Mkwere ni noumaah kishawasokomezea Fupa la Mdomo hilo halimezeki halitemeki mpaka 2025!!
 
Urais ni taasisi inayojengwa na inayojitosheleza. Ina walinzi, waandishi, wapishi, madaktari, waganga wa kienyeji, wachungaji, watabiri nyota n.k

Labda kuna idara iliyoelekeza JPM asipande ndege kwenda Rwanda utajuaje.

JPM wee chapa kazi achana na hao waoga, kwani kuna nafsi haitaonja mauti?
 
Ya kawaida Haya kaka. Sio uongo! Maisha ya kubahatisha.
Haya mkuu wacha mimi niendelee kuchoma senene haya mambo sina ujuvi nayo
Halafu na swali dogo hivi ni kila mwanausalama anapata nafasi kuwa mlinzi wa raisi ???
 
Safari ya barabara itamfungua macho kuona matatizo ya wananchi, anastahili kuhakikisha anatembea kila kona ya nchi. Anajifundisha mengi ya kuyatekeleza.

Ama kweli katibu Mkuu kinana amekuwa somo zuri la KUIGWA, sasa utendaji wa WM na Mawaziri wote wapo mikoani
 
Back
Top Bottom