Rais Magufuli unawatesa walinzi wako

Rais Magufuli unawatesa walinzi wako

Mbali na utani, nadhani ushauri wake si mbaya. Watu wanaofahamu mapoli ya Biharamulo na Ngara (Njia ya Kwenda Rusumo) na historia ya matukio katika mapoli hayo watakubaliana naye kuwa Mr. President inabidi awe makini.
 
Tabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?

Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.

Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.

Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?

Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
Wameajiriwa kwa ajili gani?
 
Hivi mkuu nikuulize kidogo wewe na Mheshimiwa Magufuli nani anachungu wa maisha yake? hivi unadhani yeye ni mjinga wa kiasi unachofikiri kwani vita na watu kaanza baada ya kuwa Rais kumbuka alivyokuwa ujenzi ni watu wangapi walilia baada ya kuvunjiwa na wakajiapiza kuwa ataona hatimaye amekuwa Rais ulisha sikia hata gari yake imepata pancha kama ya mkwere ilivyokuwa inachomoka matairi ???? Sasa kwa taarifa yako amini Magufuli habahatishi kokote anakokwenda na kila analofanya ana uhakika nalo mimi sina hata chembe ya shaka juu yake wale walinzi ni kama kiungo tu kwenye mboga ila ulinzi ni wa Mungu ambao anao Magufuli. Keep in mind that No one can protect you than yourself.
historia ipo ili ivunjwe kujiamini kupita kiasi ni kuharibu kazi
 
Tabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?

Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.

Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.

Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?

Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
Hata Uhuru Kenyatta alisafiri kwa Barabara kutoka Nairobi, mpaka Arusha, then akapitia Moshi, Rombo, Nairobi.. Hakuna jipya
 
Walinzi ndio washauri wake wa hayo mambo wanaoshauri hivyo kuwa asafirije.Fani za watu hizo achana nazo.

Usafiri hata wa anga kabla ya kusafiri wanausalama lazima wakwambie tumia.Hata angani si salama hujasikia maraisi ndege zao kutunguliwa.

Walinzi wanajua cha kufanya waachie kazi yao.Si watu wa kuchoka hovyo.Walinzi wa RAISI UNAFIKIRI ni sawa na walinzi wa CHADEMA wale wanaovaa miwani ya kuchomea magrill?

CHEKI WALINZI WA CHADEMA NA MIWANI YAO YA KUCHOMEA VYUMA
Mbeya3.jpg
Wanapozungumzia ulinzi wa Rais halafu unaleta habari za walinzi wa Chadema ni ujinga wa kiwango cha juu has a.
Ni sawa na US ulinzi wa Obama ulete habari za Reoublican, juha wee
 
Walinzi ndio washauri wake wa hayo mambo wanaoshauri hivyo kuwa asafirije.Fani za watu hizo achana nazo.

Usafiri hata wa anga kabla ya kusafiri wanausalama lazima wakwambie tumia.Hata angani si salama hujasikia maraisi ndege zao kutunguliwa.

Walinzi wanajua cha kufanya waachie kazi yao.Si watu wa kuchoka hovyo.Walinzi wa RAISI UNAFIKIRI ni sawa na walinzi wa CHADEMA wale wanaovaa miwani ya kuchomea magrill?

CHEKI WALINZI WA CHADEMA NA MIWANI YAO YA KUCHOMEA VYUMA
Mbeya3.jpg

Mbeya3.jpg

Mpaka kufikia uchaguzi mkuu wa mwaka jana hizi uniform, pamoja na wavaaji wake, ilikuwa ni viraka vitupu na sasa hivi ukiitaka hata ya dawa kuipata 'ISSUE'!
 
Mambo mengne yapo juu ya uwezo wako huwez na hutoweza kuyajua mpaka unaenda kaburin..

Suala la ulinzi na usalama kwako ww ni sawa na mtu aliyehai kuelezea yalio ndan ya umauti..

Ww bwabwaja tu hapa jf lakn wapo wenye nchi hii ambao kila nukta inayopita wanajua yote yanayotokea na yatakayo tokea
Tabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?

Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.

Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.

Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?

Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
Hajui kitu..Ajiulize wale maraisi waliouawa kabla ya genocide Rwanda walikuwa wamepanda nini..
 
Walinzi wa Rais sasa hivi wana kula shushu tu, walinzi waliteseka awamu fulani walipokuwa wanasindikiza unscheduled private visit tena usiku , Kinondoni, Magomeni, Sinza, Masaki, Mbagala na kokote kwingine kulikokuwa na vishori vya hamu, ukitaka ushahidi watafute waliotolewa kitengo au wastaafu
 
MALEYSIA airline nikiikumbuka aaahh,rais Mmoja wa MAREKANI alisema wakinitaka watanipata,haikuchukua hata miezi wakampoteza,sometimes tuwe waelewa kama kashauriwa na Dr wake je asipande PIPA je? hao walinzi ni kazi yao
 
Mnadhani wakuu wa mikoa ya Geita, Kagera na Kigoma wamepangiwa huko kwa kubahatisha?
 
Tabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?

Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.

Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.

Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?

Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
Hakuna ulinzi salama asilimia 100; mwache ajitanue na walinzi wafanye kila linalowezekana; mwisho wa siku hakuna mlinzi bora na salama zaidi kuliko Mwenyezi Mungu; atakuwa salama kwa jina la Yesu!
 
Ukiona hivyo ujuwe wamejipanga sio kwamba kakurupuka tu kusafili kwa gari;
 
Si anataka sifa hili watu waone anabana matumizi? Ila yote yanawezekana mchana kula ugari na nyanya chungu, (si wote tunaona?) usiku (tukilala) ukala wali kuku! Hapa kazi tu!
Yawezekana ana matatizo ya kiafya pia. It means akipanda ndege ni matatizo
 
Hakuna ulinzi duniani mlinzi ni Mungu tu.kwani Roho mtakatifu na Malaika wanakazi gani.jpm ni chaguo la Mungu mbona hamtaki kuamini
 
Huyo mlinzi aliyekuambia anateseka kwa sababu rais anatumia usafiri wa barabara muambie aache kazi.
Hivi kuandika pumba kumeshindikana kabisa kutokomezwa hapa nchini??????
 
Si anataka sifa hili watu waone anabana matumizi? Ila yote yanawezekana mchana kula ugari na nyanya chungu, (si wote tunaona?) usiku (tukilala) ukala wali kuku! Hapa kazi tu!
Siku zote watu hawanaga zuri hata angeenda na ndege au mguuuu ungesema pia najuwa wtu hatunaga kizuri
 
Inawezekana mheshimiwa rais anaphobia ya ndege maana inasemekana hata alipokuwa waziri alikuwa hasafiri. Na kama kweli basi itabidi atafute wataalam wa Msaidie kwani nchi nyengine hazifikiki kwa gari.
 
Back
Top Bottom