Rais Magufuli unawatesa walinzi wako

Rais Magufuli unawatesa walinzi wako

Sifa ya nini sasa kama sio kwamba una low thinking capacity
wewe una high thinking capacity kwa pombe hiyo ya kuchanganya soda na gongo ukiwa lumumba co ltd unauza kofia uko juu kama waimba taarabu
 
Kwani nani kakwambia raisi hapokei ushauri... au nani kakwambia usafiri wa barabara sio salama...

Sio lazima kuongea uonekane na wewe upo
 
Tabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?

Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.

Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.

Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?

Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
UKAWA mmekosa hoja 😀 😀
 
Tabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?

Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.

Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.

Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?

Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
Wale marais wa rwanda na burundi waliotunguliwa kwenye ndege miaka ile hivi walikuwa wanatumia barabara wakati wa tukio?
 
Tunaongea tu kwenye blogs! Wajua wasafisha barabara wanafanyaje kazi yao? Na kina nani? Hasa yale mapori makubwa na milima? Wao wanajua zaidi wapi wanaweza kuwa attached na wanao attack watakuja possible njia ipi na mbinu zipi! Zote wamedhibiti amini usiamini! Week 2 kabla mapori yale yote yako salama Sikia tu!!
 
Mi namshangaa mleta hoja! Ina maana hajui kama tanzania ni nchi ya amani na hakuna mtu anayeweza kuleta fyoko?
 
Kuna uwezekano tz na Dr Congo mahusiano yakapungua

sidhani sana kwa sababu...kaka yake Joseph Kabange[Kabila] ni WAZIRI WA ULINZI WA RWANDA...,Kuna wakati majeshi ya Tanzania Congo yalipiga sana ....utashangaa serikali ya congo ndio ilianza kufanya juhudi za kuzuia..unapopigana kwenye mazingira kama hayo inabidi usimuamini mtu.....Tuna JESHI ZURI SANA
 
Jamani nna swali, gharama ya gari na ndege kutoka dar kwenda mwanza ipi kubwa? APA nazungumzia gharama za mafuta kwa magari yote ya msafara na gharama nyinginezo.
 
Raisi amechukua hatua safi!
Kama Amiri jeshi wa majeshi ya Ulinzi na Usalama kuvuka mpaka wa nchi kwenda nchi nyingine kwa gari ilikuwa jambo sahihi. Haitoshi huko nako anajione hali halisi ya maisha ya wananchi wa pande zote mbili ya Nchi . Kutembea unajifunza na kuona mengi na kama uko sawa kichwani lazima kuna kuifanyia kazi mbele ya safari.
 
Mbeya3.jpg

Mpaka kufikia uchaguzi mkuu wa mwaka jana hizi uniform, pamoja na wavaaji wake, ilikuwa ni viraka vitupu na sasa hivi ukiitaka hata ya dawa kuipata 'ISSUE'!
comrade upo?
 
Tabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?

Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.

Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.

Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?

Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
Hivi angepita angani ubovu wa barabara au kero ya vizuizi angeionaje?
 
Wanalipwa mshahara mkubwa ili wateseke.
Kwani kila siku atakuwa kwenye hiyo route ya Rusumo?
 
Kwa hiyo mtazamo wako unadhani, yeye Rais ameamua kutumia barabara hivi hivi tu bila kujiandaa na kuandaliwa?!

Unafikiri suala la kumlinda anajiamulia yeye!?

Naiamini system yetu ya usalama! Ukiona wameruhusu, jua wamejiandaa; Wanajua wanachokifanya.

Au movie za porini za akina Van Damme zinakupa mawazo hayo?!

Bachi! Mimi nichicheme mengi (In mmakonde's voice)!
Kila kitu anachofanya magufuli hata kama ni cha kizwazwa mnakitetea tu!
 
Walinzi ndio washauri wake wa hayo mambo wanaoshauri hivyo kuwa asafirije.Fani za watu hizo achana nazo.

Usafiri hata wa anga kabla ya kusafiri wanausalama lazima wakwambie tumia.Hata angani si salama hujasikia maraisi ndege zao kutunguliwa.

Walinzi wanajua cha kufanya waachie kazi yao.Si watu wa kuchoka hovyo.Walinzi wa RAISI UNAFIKIRI ni sawa na walinzi wa CHADEMA wale wanaovaa miwani ya kuchomea magrill?

CHEKI WALINZI WA CHADEMA NA MIWANI YAO YA KUCHOMEA VYUMA
Mbeya3.jpg

Duh,Mzee Una hasira Na walinzi wa CDM!
 
Walinzi ndio washauri wake wa hayo mambo wanaoshauri hivyo kuwa asafirije.Fani za watu hizo achana nazo.

Usafiri hata wa anga kabla ya kusafiri wanausalama lazima wakwambie tumia.Hata angani si salama hujasikia maraisi ndege zao kutunguliwa.

Walinzi wanajua cha kufanya waachie kazi yao.Si watu wa kuchoka hovyo.Walinzi wa RAISI UNAFIKIRI ni sawa na walinzi wa CHADEMA wale wanaovaa miwani ya kuchomea magrill?

CHEKI WALINZI WA CHADEMA NA MIWANI YAO YA KUCHOMEA VYUMA
Mbeya3.jpg
Hahaha we mjing Sana dah mm mpinzania lkn ulipoaema miwani ya jua umeniacha hoiii
 
Tabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?

Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.

Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.

Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?

Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
Kwa nin inawawia vigumu baadhi ya watu kupost kitu bila kuwaza mara mbili nin wanataka kupost!!? Raisi si mjinga na trip zote anazofanya anakuwa assured usalama 100%
 
Back
Top Bottom