Ndugu, MTU mwenye uelewa hawezi kupoteza muda wakati Taifa linanuka kiasi hiki.Okay, nimekuelewa!
Je! Yeye ni rais wa kwanza kutumia barabara Tanzania?! Unakumbuka Nyerere, na Mwinyi na hata Ben walitumia usafiri gani mara nyingi?!Navyojua, rais aliyetumia anga mara nyingi ni JK.
Labda uniambie ni nini kimebadilika kwa watanzania wa leo, kiasi cha kuanza kutilia shaka usalama wa Rais wetu huyu kipenzi?!
Je! Ni chuki zenu binafsi kwa namna anavyojaribu kuitengeneza Tanzania au nini?!
Mnanishangaza sana! Kila atakachofanya rais, ninyi mnasema anatafuta sifa! Mnataka afanye nini?!
Issue, hata usafiri wa anga, unaweza kutunguliwa tu.
By the way, sijaelewa hapo mwisho ulipowaingiza Wanyarwanda!
hasa lumumba co ltd!Mkuu sentensi yako ya mwisho ni kama unachekesha hivi....lakini kuna Ujumbe mzito sana!!!!!!!!!!!
wachache wataelewa hiyo kauli
Sasa si bora angepanda hiyo chopaKutakuwa na helkopta angani ikiimarisha usalama.
Mkuu hao peke Yao bila nguvu za Mizimu hawawezi kupambana na watu wa kazi pindi wakiamua kuleta Majanga , walinzi wakubwa wasioonekana kwenye macho ya kawaida ndiyo wanafanya kazi kubwa, kumbuka Kipindi cha Nyerere alikuwa akibadili njia ghafra na hata alipofika sehemu watu wote miili iliwasisimuka .
Hakuna mlinzi wa usalama zaidi ya mungu, usafiri kwa ungo, ndege treni, basi au pikipiki kama mungu aepanga hakuna njia kifo kiko palepaleNafikiri ndege was a better option for security reason it has less risk and fast
Hahhhahaa umesema point muhimu kweli, au pengine anataka apate muda wa kuchati kidogo na kuangalia movie kwenye simu na kusikiliza vipindi vyake vile vya TV Mawingu....Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
Tahadhari ni jambo jema.Vitu vyengine tusitake kumsingizia mungu.Hakuna mlinzi wa usalama zaidi ya mungu, usafiri kwa ungo, ndege treni, basi au pikipiki kama mungu aepanga hakuna njia kifo kiko palepale
Naam ila yooote tunamkabidhi yeyeTahadhari ni jambo jema.Vitu vyengine tusitake kumsingizia mungu.
kiukweli tunapishana,kwa mfano kwenye mpira sisi tunakaba mtu ,wenzetu mpira wao wanakaba nafasi,hivyo hivyo kwa wazungu ulinzi wao hulinda eneo zima na sio kikitokea tukio. Sasa eneo la kysafiri masaa6unaweza kulidhibiti lote? Atumie ndege tu.
Sawa mkuu......hivi Mh Rais bado tu hajafika huko kwenu RWANDA ???Akhsante Mkuu ILA Pole Sana Na Naomba Mno RADHI Kwa Kukusababishia Hiyo BAN Ila Tambua Tu Kuwa Hata Mimi Vile Vile Hizo BAN Nazipata Sana Hata Hivyo SIZICHUKII Bali Nazipenda Kwani ZINANITIA ADABU Kimtindo Lakini ZINANIJENGA Pia Kwa Namna Moja au Nyingine Hasa Katika Suala Zima La NIDHAMU Humu. Kama Utagundua GENTAMYCINE Yule Uliyemzoea Siyo Huyu Tena Nikimaanisha Kuwa NIMEJIREKEBISHA Kwa Kiasi Fulani Japo Sometimes MNANIKERA Ila Nawavumilieni. Nisamehe Mimi Kwa " Kukupigisha Shoti " Ukala Umeme ( BAN ) Wa JF.
Kuna msemo unasema " Don't tempt the devil to tempt you " .mkuu umeandika vyema....kuna watu humu wanaushabiki wakijinga, wao wanasifia kila kitu, mtoa mada hakusema kama usalama ni dhaifu kiasi cha kushindwa kumlinda rais lkn alichosema anawapa kazi kubwa kuliko angetumia usafiri wa anga.... hapo kosa lake nn mpaka wanamshambulia?
kiukweli tunapishana,kwa mfano kwenye mpira sisi tunakaba mtu ,wenzetu mpira wao wanakaba nafasi,hivyo hivyo kwa wazungu ulinzi wao hulinda eneo zima na sio kikitokea tukio. Sasa eneo la kysafiri masaa6unaweza kulidhibiti lote? Atumie ndege tu.
Rais Magufuli akiwa njiani kuelekea Rwanda atakuwa akisalimiana na wananchi kwa kushutukiza.Sasa si bora angepanda hiyo chopa