TheMeek
JF-Expert Member
- Mar 12, 2016
- 460
- 400
Sio kweli.Haya mkuu wacha mimi niendelee kuchoma senene haya mambo sina ujuvi nayo
Halafu na swali dogo hivi ni kila mwanausalama anapata nafasi kuwa mlinzi wa raisi ???
Sio kweli.Haya mkuu wacha mimi niendelee kuchoma senene haya mambo sina ujuvi nayo
Halafu na swali dogo hivi ni kila mwanausalama anapata nafasi kuwa mlinzi wa raisi ???
Siku zote watu hawanaga zuri hata angeenda na ndege au mguuuu ungesema pia najuwa wtu hatunaga kizuri
Kama sio kweli kuna sababu gani ya kuwaita walevi,wala rushwa, hawana maono nk ??Sio kweli.
Aliyepanda ndege kila uchao tulimsema, kaja huyu mpanda gari kwa nadra, tunamchukia! Kumridhisha binadamu ni kazi ngumu sana.
muheshimiwa rais anasabau zake nyingi tu,labda angekuwa ameziweka wazi naiman tungepata chakuongea!! Tofauti na hapo,tz ulinzi upo wakutosha tena sana
Sababu zipo nyingi sana. Moja ni hii hapa..Kama sio kweli kuna sababu gani ya kuwaita walevi,wala rushwa, hawana maono nk ??
Aisee nlifikiria utakuja na sababu kwamba hao unaowaita walevi ,wala rushwa ,sijui hawana maono walishindwa kumlinda raisi akadhurika nk ,unaleta picha ya Magufuli akiwa na silaha yake aliyotoka kuihakiki ku justify kwamba wana usalama wote hawana maono ,walevi,sio wabunifu ...haya bana mkuu asante sana kwa darasa lakoSababu zipo nyingi sana. Moja ni hii hapa..
![]()
Majibu ya HisiaAisee nlifikiria utakuja na sababu kwamba hao unaowaita walevi ,wala rushwa ,sijui hawana maono walishindwa kumlinda raisi akadhurika nk ,unaleta picha ya Magufuli akiwa na silaha yake aliyotoka kuihakiki ku justify kwamba wana usalama wote hawana maono ,walevi,sio wabunifu ...haya bana mkuu asante sana kwa darasa lako
Sifa kubwa ya MTU wa Usalama ni kuishi juu ya Hisia zake. MTU wa namna hii lazima awe na Visions.
Vision ni Mama wa Usalama. Mwl. NYERERE alikuwa mwana Usalama mzuri sana.
Kiufupi; Huwezi kuwa na sifa hizo kama wewe ni Malaya, mzinzi, mlevi, muongo, sio Mcha Mungu, etc
Tabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?
Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.
Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.
Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?
Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.
cheki yule jamaa kwenye ukuta..hivi walikua wanalipwa sh. ngap hawaWalinzi ndio washauri wake wa hayo mambo wanaoshauri hivyo kuwa asafirije.Fani za watu hizo achana nazo.
Usafiri hata wa anga kabla ya kusafiri wanausalama lazima wakwambie tumia.Hata angani si salama hujasikia maraisi ndege zao kutunguliwa.
Walinzi wanajua cha kufanya waachie kazi yao.Si watu wa kuchoka hovyo.Walinzi wa RAISI UNAFIKIRI ni sawa na walinzi wa CHADEMA wale wanaovaa miwani ya kuchomea magrill?
CHEKI WALINZI WA CHADEMA NA MIWANI YAO YA KUCHOMEA VYUMA
![]()
hii picha ndio inatoka taswira halisi ya wafuasi wa cdm..mchana wa jua na koti la mvua si unyumbu huo..kisa kuonekana mfia chamaWalinzi ndio washauri wake wa hayo mambo wanaoshauri hivyo kuwa asafirije.Fani za watu hizo achana nazo.
Usafiri hata wa anga kabla ya kusafiri wanausalama lazima wakwambie tumia.Hata angani si salama hujasikia maraisi ndege zao kutunguliwa.
Walinzi wanajua cha kufanya waachie kazi yao.Si watu wa kuchoka hovyo.Walinzi wa RAISI UNAFIKIRI ni sawa na walinzi wa CHADEMA wale wanaovaa miwani ya kuchomea magrill?
CHEKI WALINZI WA CHADEMA NA MIWANI YAO YA KUCHOMEA VYUMA
![]()
Umesahau JK alipanda Ngalawa na nini? Wanaachaga hawa baada ya muda n huyu JPM ataacha tu muda si mrefuTabia yako ya kusafiri kwa gari umbali mrefu hujui ni mbaya kiusalama?
Unawapa wakati mgumu sana walinzi wako kukulinda.Uwe unapokea na ushauri mheshimiwa Rais.
Hivi huko maporini mtu akijificha na Rocket-Propelled Grenade akakuvizia itakuwaje wakati unajua fika ukanda huo silaha kibao toka Congo zinapatikana.
Hujui pale unapopanga na mahasimu wako wanapanga pia?
Halafu pia kutumia masaa 6 barabarani wakati ungeweza kutumia saa 1, matano ukafanya kazi nyingine ni,jipu au uvivu.