SamTu160
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 624
- 568
Walinzi ndio washauri wake wa hayo mambo wanaoshauri hivyo kuwa asafirije.Fani za watu hizo achana nazo.
Usafiri hata wa anga kabla ya kusafiri wanausalama lazima wakwambie tumia.Hata angani si salama hujasikia maraisi ndege zao kutunguliwa.
Walinzi wanajua cha kufanya waachie kazi yao.Si watu wa kuchoka hovyo.Walinzi wa RAISI UNAFIKIRI ni sawa na walinzi wa CHADEMA wale wanaovaa miwani ya kuchomea magrill?
CHEKI WALINZI WA CHADEMA NA MIWANI YAO YA KUCHOMEA VYUMA
![]()
Rais ni wa Watanzania sio CCM, uchama wako hautasaidia pale Rais atakapouwawa... Pili ni hatari inaweza zua vita dhidi ya nchi ambayo Rais anatakuwa ameuwawa.
Ndege ni ngumu sana kutungua, tofauti na usafiri wa barabara. Wanaweza kutega mines, etc... Hali ya ki usalama sio nzur ukanda huo.