Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 961
- 2,345
Duh!, pole Mkuu yani kama Gongo vile
yaaani mkuu acha kabisa yaaani vile viroba hakyani vimerudi kwa mwendokasi mtoroko
Duh!, pole Mkuu yani kama Gongo vile
Na sukari ilikuwa 5000 na sasa hivi nasikia inakimbilia 1000!!
Tuvute subira tu!!
kazi sio ajira mkuu.Kazi zenyewe ziko wapi
Mkuu badala ya kuongelea daily needs unaongelea soda?!Yuko sahihi! Mfano soda ilikuwa inakimbilia 1000, sasa hivi imeshuka imekuwa mia tano
yaaani mkuu acha kabisa yaaani vile viroba hakyani vimerudi kwa mwendokasi mtoroko
Mchumi hawezi kujiongelea tu! Jibu unalo kuwa sio mchumi!Theory gani ya uchumi inasema hivyo? Uchumi sio kujiongelea tu, uchumi unaendeshwa kwa theory.
Mchumi hawezi kujiongelea tu! Jibu unalo kuwa sio mchumi!
Wampige msasa hata kidogo jamani kwenye principles za uchumi!!
huyu ni CEO wa airfrance akila kichapo baada ya kutangaza redundancy. Hizi ni nchi zilizoendelea na zenye uchumi imara , hasira za wananchi, kupunguza wafanyakazi haizifanyi kuwa za hovyo au uchumi kupinda siku zote, inaweza kuwa season ya mud mfupi.
NMB sijui sababu lkn kama ni sehemu ya transition ktk kuupokea mfumo mpya ipo siku mambo yatakaa sawa.
Apewe tu hata katuisheni ka mambo ya kiuchumi katakakompa mwanga.., na sio kwa kauli tata kama hizo!!Umesahau kuwa Mtukufu huwa hashauriki ?...
1usd=35000Iranian Rial hapo vp,,na wana nuclear hao
nje ya wigo wa kinachojadiliwaMkuu jamaa alisema 2018 ni mwisho wetu kuvaa mitumba, je hayo ni kweli au huwa anasema ili ww na wenzako mshangilie? Sasa unaposema uchumi utakuwa mzuri ni kuanzia mwaka kesho tutakapoacha kuvaa mitumba?
Apewe tu hata katuisheni ka mambo ya kiuchumi katakakompa mwanga.., na sio kwa kauli tata kama hizo!!
We hujui lolote! Hata sasa uchumi unakua kwa asilimia 7+,na hiyo hazijaanza kipindi hiki cha magufuli,ukuaji wa uchumi umetokea mbali sana! Tofauti ni kuwa kipindi cha mr dhaifu uchumi ulikuwa ukipanda kwa 7.1 % na mzunguko ulikuwa mzuri! Ila sasa ukuaji wake upo chini zaidi na mzunguko upo hoi!!kumbuka pia ukubwa au udogo wa sarafu si issue as long as ipo constant/certainity!! Kile tunachopata kutoka kwenye uchumi is all that matter!! Sasa kama hakuna unachokipata kwenye uchumi mkubwa na ambacho ulikuwa unakipata kwenye uchumi mdogo funga,usali na kumuuliza Mungu kosa lako nini!Tatizo wa Tanzania tunapenda kulalamika bila kuwa na sababu. Nani aliitoa hela ya Tanzania toka noti ya shs 100 mpaka noti ya shs 10,000
Je hapo uchumi ulipanda au ulishuka??
nje ya wigo wa kinachojadiliwa
Chizi wetu karogwa tena.“Ninapowaeleza kuwa uchumi wetu ni mzuri, ni mzuri kweli kuwa na uchumi mzuri hauna maana kuwa na mahela umeyajaza chumbani. Uchumi ni pamoja na kuwa na hela ngumu kuipata, kizuri hakipatikani hovyo hovyo, ni lazima utoe jasho. Nilikuwa nazungumza juzi pale Mwanza kuwa bajeti ya Afya imepanda kutoka bilioni 31 hadi bilioni 269 na Tanzania tukapewa nafasi ya kuuza madawa katika nchi zote za SADC.“amesema Rais Magufuli Tarehe 6 Novemba 2017 mkoani Kagera wakati wa ufunguzi wa mradi wa wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Bukoba, mkoani Kagera.
Chanzo: Bongo 5
ccmTatizo wa Tanzania tunapenda kulalamika bila kuwa na sababu. Nani aliitoa hela ya Tanzania toka noti ya shs 100 mpaka noti ya shs 10,000
Je hapo uchumi ulipanda au ulishuka??
Ni kweli uchumi unapimwa kwa uzalishaji,ambapo huzalishaji huo hupelekea thamani ya hela ya nchi husika kupanda!kusema uchumi wa nchi haupimwi kwa thamani ya fedha sio kweli sababu mazingira ya nchi kwa nchi yanatofautiana mfano china ana export sana bidhaa hivyo ni wazi kutokana na nguvu za demand na supply ktk soko la dunia ni lazima sarafu yao itapanda zaidi ya sarafu zingine.kwa kuwa china unahitaji kuuza zaidi ndio maana anaingilia sarafu yake.Uchumi wa nchi haupimwi kwa hela kuwa na thamani kubwa au ndogo.
Unapimwa kwa uzalishaji.
China ni nchi ya pili kwa ukubwa wa uchumi, lakini hela yao haina thamani sana. Na kwa kweli serikali yao inapigania hela yaoisiwe na thamani, kwa sababu hilo linavutia exports.
Nchi isiyo na exports ikiwa na hela yenye thamani sana ni vibaya, ikiwa na hela isiyo na thamani sana ni vibaya pia.
Uchumi haupimwi kwa thamani ya hela, thamani ya hela inaweza kupangwa na serikali tu, by "fiat".
Uchumi unapimwa kwa uzalishaji.
Mimi napenda kuangalia fundamentals.Ni kweli uchumi unapimwa kwa uzalishaji,ambapo huzalishaji huo hupelekea thamani ya hela ya nchi husika kupanda!kusema uchumi wa nchi haupimwi kwa thamani ya fedha sio kweli sababu mazingira ya nchi kwa nchi yanatofautiana mfano china ana export sana bidhaa hivyo ni wazi kutokana na nguvu za demand na supply ktk soko la dunia ni lazima sarafu yao itapanda zaidi ya sarafu zingine.kwa kuwa china unahitaji kuuza zaidi ndio maana anaingilia sarafu yake.
unaposema serikali inaweza kupanga thamani ya sarafu zao sio mara zote hilo nalo inategemeana na mazingira kama ilivyo kwa china.Je leo unaweza sema B.O.T wanawaza kusema dola moja ya USA iwe sawa na Shilingi 1 ya Tanzania