Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,798
- 28,465
Job creation inafanywa na serikali kupitia sera ya chama husika,huwezi kulazimisha watu wafanye kazi ambazo hazipo! au wewe unadhani watu wote wanao graduate kila mwaka ni wavivu wa kutaka kufanya kazi?? la hasha ni sababu kazi hazipo.Jamani ukweli ni kwamba tufanye kazi ili zituletee kipato cha kuendana na mazingira.
Pia naishauri serikali iliangalie suala la kodi kwa raia wake. Jodi ziendane na upatikanaji wa pesa. Sio upatikanaji wa pesa ni mgumu, alafu ukiipata yote inaishia kwenye matumizi. Hii ni mbaya kwani kwa nijuavyo mimi, ni muhimu sana kujiwekea akiba.
Najua hakuna anayepata hela pasipo kufanya kazi. Ila zama zimebadilka. Kipindi hiki unafanya kazi ngumu alafu ujira kidogo. Wakati vipindi vilivyopita, unafanya kazi nyepesi alafu ujira wa kutosha. Ndio maana hela ilikua na mzunguko mzuri kiasi kwamba uliwanufaisha mpaka wauza mchicha
swala la unemployment ni tatizo namba la kiuchumi ktk kila nchi iliyo chini ya dunia ila Tatizo huli limezidi kwa asilimia kubwa kwa Nchi za ulimwengu wa 3 kutokana na sera mbovu za watu tunao wapa dhamana ya kutupa mwanga wa kutatua matatizo yetu